Athletes...wanamichezo wa bongo hawafiki mbali sababu ya kipochi

Athletes...wanamichezo wa bongo hawafiki mbali sababu ya kipochi

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
17,380
Reaction score
19,278
Kibongo bongo ukiacha wasanii kuna hili kundi la wachezaji na wanamichezo mbalimbali ikiwemo ngumi and so on
udhaifu wao ni kipochi....
aiseee

Hatuwezi kuwa na watu wengi wawakilishi nje huko au wazuri wakadumu

Sabbu ya pale kati...nimestaajabu baada ya kujua jambo hili mapenzi yanaua nguvu sana
 
nimestaajabu baada ya kujua jambo hili
mapenzi yanaua nguvu sana
6427454bb279217e53711fbec0ce6f04.jpg
 
Kila mtu kwa nafasi yake anaweza kufika mbali au level za kimataifa, tusiwape pressure au kuwapangia wengine kufika mbali wakati sisi tumeshindwa. Qumer mnapenda kuisingizia sana.
 
Mimi naona ni kwa sababu ya kukosa management nzuri.

Wasanii wasio na mgt wengi huishia kupoteza kwenye ramani.

Kikubwa ni kuwa na management nzuri itakayo mfanya athletee ajitume zaidi na kukua kwenye career yake
 
Kila mtu kwa nafasi yake anaweza kufika mbali au level za kimataifa, tusiwape pressure au kuwapangia wengine kufika mbali wakati sisi tumeshindwa. Qumer mnapenda kuisingizia sana.
wanaofanya mazoezi watakwambia
inamaliza uroto wa miguuni
so inapunguza ubira wa mwanamichezo
 
Back
Top Bottom