masoko

Kilwa Masoko is a port town on the Indian Ocean in southeastern Tanzania. Kilwa Masoko is the current major town of Kilwa District and includes all the hotels in the area as well as a bustling market, beautiful beaches, small fishing communities and is the gateway to the ruins of Kilwa Kisiwani. On nearby Kilwa Kisiwani island there are ancient Swahili ruins which were declared a UNESCO World Heritage Site in 1981.
The hotels in Masoko are spread along the coastline but there is a group close to town on JImbiza beach and the newer hotels are on the beautiful Masoko Pwani.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    JamiiForums Tanzania Biashara ya mbuzi na masoko

    Habarini ndugu zangu, Nataka kufanya biashara ya mbuzi. Ninaomba yeyote mwenye uzoefu na biashara hii anifunulie fursa za masoko na changamoto zake.
  2. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Halmashauri zote zatakiwa kusimamia uondoaji wa takataka kwenye masoko ili kulinda afya za Watu

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Ummy Mwalimu amezielekeza halmashauri zote kuwa na miundombinu bora ya kukusanya, kuhifadhi na kusafirisha taka ili kulinda afya za wananchi. Alitoa maelekezo hayo baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika Soko la Majengo jijini...
  3. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Tanzania tumepiga hatua kwenye masoko ya dhahabu bado katika Gold reserve

    Itakuwa vema sana kwa awamu hii ya mwisho ya Rais Magufuli akaanzisha Gold reserve ili ziwe zinanunua dhahabu na gamestone na kuzihifadhi kama ilivyo kwa wenzetu mabeberu walioendelea faida zipo sitaweka hapa list of gold reserve in the world...
  4. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Kibandamaiti, Zanzibar: Uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif usipime

    Ni hivi , kama kuna Mwanaccm yeyote anayetegemea Hussein Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya sanduku la kura basi ni vema akaendelea na shughuli zingine , kwa hali ilivyo Zanzibar tangu asubuhi ya leo, ambayo ndio siku ya uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif wa ACT WAZALENDO hakuna namna...
  5. Kakke

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tundu Lissu aahidi neema kwa Madaktari, Walimu na Vyombo vya Dola

    Mgombea wa Urais wa JMT kwa tiketi cha CHADEMA, Tundu Lissu aahidi neema kwa watu Watumishi wa Umma ikiwemo Madaktari, Malimu na Vyombo vya Dola kwa kulipwa mara mbili ya mshahara wa sasa. Katika mazungumzo yake na viongozi wake wa ngazi za juu ameeleza kipaumbele chake kikubwa ni kuongeza...
  6. I

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtu mzuri kwa ajili ya masoko

    Habari Wana JF. Natafuta mtu mzuri kwa ajili ya Masoko, Mimi n mfanyabiashara Nina kampuni yangu inajihusisha na ku supply bidhaa za chakula Kama unga, Maharage, Mchele, Mbogamboga, Matunda n.k. Naomba tuwasiliane tuongee zaidi. Napatikana kwa namba hizi 0738-665702. Napatikana Dar es Salaam
  7. G

    JamiiForums Tanzania Naomba mnijulishe bei ya iliki iliyopo sokoni kwa sasa kwa maeneo mliopo

    Habari ndugu.!! Mwenye kuelewa bei ya iliki sokon kwa sasa inaendaje (nijuze bei ya sokoni kwa sasa pamoja na mkoa husika uliopo)
  8. English Learner

    JamiiForums Tanzania Anahitajika Afisa Masoko - Pombe Kali

    Habari Wadau, Anahitajika mtu mwenye sifa zifuatazo: Awe na uzoefu wa kuuza pombe kali (Spirits) walau boksi 2,000 kwa mwezi Awe mwaminifu na muadilifu Awe tayari kufanya kazi Singida, Dodoma na Rukwa Awe na umri kati ya miaka 25-35 Kama una sifa zilizotajwa nitumie email kupitia...
  9. T

    JamiiForums Tanzania Marekani kuondoa kampuni zote za kichina kwenye masoko yake ya hisa kwa kukiuka masharti ya CAG wa Marekani

    Kwa kile kinachoitwa muendelezo wa Marekani kuiwekea mbinyo China, sasa Marekani inatarajia kuziondoa kampuni zote za kichina kwenye masoko ya hisa ya Marekani kwa kutofuata kanuni za ukaguzi wa Marekani. Kanuni za ukaguzi wa Marekani zinataka kila kampuni inayouza hisa zake Marekani ikaguliwe...
  10. CARIFONIA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania inaweza kuwa ndiyo nchi inayoongoza kwa kuboresha miundobinu ya masoko na vituo vya mabasi ya abiria kwa nchi za East Africa

    Kwa juhudi zilizochukuliwa na serikali ya TZ katika uboreshaji wa miundombinu ya masoko na vituo vya mabasi ya abiria na thubutu kusema kwa sasa TZ ndio inaongoza kwa kua na miundombinu bora katika nyanja za masoko na vituo vya mabasi ya abiria kwa nchi za East Africa. Ukizingatia project hizi...
  11. Kipilipili

    JamiiForums Tanzania China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

    Habari wana jukwaa, Kumekuwa na ongezeko kubwa la wafanyabishara kutoka Tanzania kwenda China kufanya biashara mbalimbali kama nguo, vipuri vya magari na pikipiki, vifaa vya electronics nk. Najua kuna thread nyingi zimewahi kuzungumzia biashara za China, lakini nimuombe mkuu Invisible...
Back
Top Bottom