masoko

Kilwa Masoko is a port town on the Indian Ocean in southeastern Tanzania. Kilwa Masoko is the current major town of Kilwa District and includes all the hotels in the area as well as a bustling market, beautiful beaches, small fishing communities and is the gateway to the ruins of Kilwa Kisiwani. On nearby Kilwa Kisiwani island there are ancient Swahili ruins which were declared a UNESCO World Heritage Site in 1981.
The hotels in Masoko are spread along the coastline but there is a group close to town on JImbiza beach and the newer hotels are on the beautiful Masoko Pwani.

View More On Wikipedia.org
  1. Logikos

    SoC01 Mitaji, Mikopo, Masoko na kuzalisha Faida kwa WanaJamiiForums

    MITAJI / MIKOPO a) Wakopaji Kuna wadau wengi katika Jamvi letu wanakuwa na uhitaji wa pesa kwa wakati Fulani lakini hawana pa kuzipata. Pia sababu watu hatujuani ni vigumu kuaminiana ila JF inaweza kutumika kama platform ya kuwaunganisha wahitaji (kwa kuwa-verify wakopaji) ili waweze...
  2. J

    Waziri Ummy: Masoko na Stendi zote zinazomilikiwa na TAMISEMI kujengewa Visima vya Maji ili kukabiliana na moto

    Waziri wa TAMISEMI, Mhe. Ummy Mwalimu amesema Serikali itajenga visima vya maji kwenye masoko na stendi za mabasi zote zinazomilikiwa na Halmashauri ili kukabiliana na majanga ya moto pindi yanapojitokeza. Chanzo: Radio One
  3. M

    Watalamu wa masoko system za Afya (IS health services marketing) na masoko ya systems za uhasibu Tanzania

    Wadau wote, wanahitajika wasomi wenye degree walau za masoko au za afya aina yoyote au ofisa mauzo wenye weledi kwa ajili ya masoko ya huduma za afya, lengo ni kuuza system za IT kwenye hospitals za private na za serikali na kwamba maofisa hawa watafanya kwa mikataba ya muda mfupi mfupi wenye...
  4. Master Kutu

    Natafuta kazi ya afisa masoko ama usimamizi wa biashara

    Habari ya leo wakuu, Mimi ni kijana wa kiume, umri wangu miaka 29 . Nna mke na mtoto 1, Naishi Dar Es Salaam Elimu yangu kidato cha nne Nimejitokeza hapa kuomba kazi ya sales and marketing ama usimamizi wa biashara na masoko. UZOEFU WANGU Mwaka 2013 nilianza kazi ya kusajili laini kampuni ya...
  5. Buza Kwa Mpalange

    Changamoto za Mtandao wa TTCL kwa wateja wake

    Hatimaye TTCL wameanza kukosa ubunifu kabisaaa 👉Now wapowapo tu ubunifu ni 0.05%. Badala ya kuumiza kichwa kuboresha huduma, wameenda kumsainisha Nandy kwenye lebo yao ya Rudi Nyumbani Kumenoga ili wazurure kufanya shoo mikoani. 👉Unapiga menyu yao ya kuangalia salio. Ujumbe unakuja kuletewa...
  6. Y

    Natafuta soko la kuku wa kisasa wa mayai Dodoma

    wadau habarini? Msaada kwa mtu anaeishi Dodoma, natafuta mtu anaeuza kuku wa kisasa anaetaga mwezi kwa mwezi. Nahitaji kupata hio bidhaa mara moja. Kama yupo humu anitafute dm.
  7. moto nkali

    Kilimo na Masoko ya Ukwaju

    Waungwana... Natumaini Mungu anazidi kutupigania kila siku, na maisha yanasonga.. Niende kwenye mada.. 👇 Ninaomba mwenye kufahamu anisaidie maarifa nitoe tongotongo... maana tunatofautiana uzoefu na access to information. Biashara ya ukwaju ipoje? Masoko yake yakoje hapa kwetu? Na je taratibu...
  8. John Gregory

    Je,Unatafuta mtu wa masoko kwa malipo ya commission?

    Habari wakuu, Bila kupoteza muda, Nawasilisha ombi langu la ridhaa ya kutafuta masoko na kuuza bidhaa yoyote halali kama vile ardhi,magari, au bidhaa mbalimbali kutoka kwenye kampuni,taasisi au maduka binafsi kwa makubaliano maalum ya malipo kwa commission ya asilimia kadhaa kadri...
  9. Username 20

    Rais Samia Suluhu Hassan, bei za mazao zimeshuka tunaomba urudishe masoko ya nje ili bei ipande

    Kwako Mheshimiwa. Samia Suluhu Hassan Pole na majukumu mama, mtangulizi wako ambaye pia ulikuwa msaidizi wake aliua kabisa matumaini ya wakulima kutajirika Mama yaani miaka yake(yenu ukiwa msaidizi wake) bei za mazao zimekuwa chini sana wakulima wanaumia wanaonufaika ni wanunuzi(walaji) Hebu...
  10. Alib01

    INAUZWA Nimelima mihogo ekari 3, masoko tatizo kidogo. Nataka kuuza ekari tatu zote

    Nimelima mihogo hekari 3 , masoko tatizo kidgo nataka kuuza hekar tatu zote.0719688404
  11. N

    Natafuta Dalali wa Masoko ya mazao

    Habari wakubwa naomba msaada wa dalali au masoko ya mazao ya kilimo kama vile maharage na mahindi katika mkoa wa Dar es Salaam. Asante
  12. MPUNGA MMOJA

    Rais mama Samia Suluhu: Wizara ya kilimo hamjali wakulima wanateseka wanalima soko hakuna nendeni watafutieni masoko ya nje

    "Wizara ya kilimo kuna shida, Mkulima anazalisha mazao yake hana kwa kuuza, Nendeni watafutieni masoko Nje na mkipata masoko ya mazao msiwapangie WAKULIMA waacheni wakauze wenyewe"
  13. Suley2019

    Prof. Kabudi awataka Mabalozi kujipanga na kutafuta fursa za masoko ya bidhaa za Tanzania

    Mabalozi wanaoiwakilisha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nje ya Nchi wameelekezwa kujipanga, kushiriki na kutafuta fursa zitakazowezesha bidhaa mbalimbali za Tanzania kupata masoko ya uhakika katika nchi walizopo. Agizo hilo limetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...
  14. J

    Nini maana ya masoko ya mitaji na dhamana?

    Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) ni taasisi ya serikali iliyo chini ya Wizara ya Fedha na Uchumi iliyoanzishwa na Sheria ya Masoko ya Mitaji na Dhamana ya mwaka 1994 ili kusimamia na kuendeleza masoko ya mitaji hapa Tanzania. Majukumu makubwa ya mamlaka hiyo ni pamoja na:- a)...
  15. A

    Biashara ya mbuzi na masoko

    Habarini ndugu zangu, Nataka kufanya biashara ya mbuzi. Ninaomba yeyote mwenye uzoefu na biashara hii anifunulie fursa za masoko na changamoto zake.
  16. Miss Zomboko

    Halmashauri zote zatakiwa kusimamia uondoaji wa takataka kwenye masoko ili kulinda afya za Watu

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Ummy Mwalimu amezielekeza halmashauri zote kuwa na miundombinu bora ya kukusanya, kuhifadhi na kusafirisha taka ili kulinda afya za wananchi. Alitoa maelekezo hayo baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika Soko la Majengo jijini...
  17. MakinikiA

    Tanzania tumepiga hatua kwenye masoko ya dhahabu bado katika Gold reserve

    Itakuwa vema sana kwa awamu hii ya mwisho ya Rais Magufuli akaanzisha Gold reserve ili ziwe zinanunua dhahabu na gamestone na kuzihifadhi kama ilivyo kwa wenzetu mabeberu walioendelea faida zipo sitaweka hapa list of gold reserve in the world...
  18. Erythrocyte

    Kibandamaiti, Zanzibar: Uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif usipime

    Ni hivi , kama kuna Mwanaccm yeyote anayetegemea Hussein Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya sanduku la kura basi ni vema akaendelea na shughuli zingine , kwa hali ilivyo Zanzibar tangu asubuhi ya leo, ambayo ndio siku ya uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif wa ACT WAZALENDO hakuna namna...
  19. Kakke

    GE2020 Tundu Lissu aahidi neema kwa Madaktari, Walimu na Vyombo vya Dola

    Mgombea wa Urais wa JMT kwa tiketi cha CHADEMA, Tundu Lissu aahidi neema kwa watu Watumishi wa Umma ikiwemo Madaktari, Malimu na Vyombo vya Dola kwa kulipwa mara mbili ya mshahara wa sasa. Katika mazungumzo yake na viongozi wake wa ngazi za juu ameeleza kipaumbele chake kikubwa ni kuongeza...
  20. I

    Natafuta mtu mzuri kwa ajili ya masoko

    Habari Wana JF. Natafuta mtu mzuri kwa ajili ya Masoko, Mimi n mfanyabiashara Nina kampuni yangu inajihusisha na ku supply bidhaa za chakula Kama unga, Maharage, Mchele, Mbogamboga, Matunda n.k. Naomba tuwasiliane tuongee zaidi. Napatikana kwa namba hizi 0738-665702. Napatikana Dar es Salaam
Back
Top Bottom