mapenzi

  1. JamiiForums Tanzania Hii picha ya Familia ya Saut Sol inathibitisha juu ya tetesi za mmoja wao kushiriki mapenzi ya jinsia moja?

    Picha hii imewekwa kwenye akaunti yao ya Twitter huku wakiweka caption isomekayo Sauti Sol Family. Maswali yameibuka kuwa mbon akuna Mwanaume na Mwanaume je nao ni wapenzi kama hao wa jinsia tofauti? Kwa muda mrefu zimekuwepo taarifa za mmoja wa wanakikundi hiki cha muziki kutoka Kenya...
  2. JamiiForums Tanzania Kwa mapenzi ya wananchi kwa Tundu Lissu, wamechapisha T-shirt hii

  3. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi halisi toka kwa mwanamke

    Zama za leo wanaume tumekuwa tukilalamika kukosekana kwa mapenzi halisi toka kwa wanawake! Ni dhahiri zama zimebadilika,ule upendo halisi umefifia Ila haujapotea!. Kilichopotea ni kile ambacho hakipo kabisa! na kilichofifia ni kile kipo Ila kwa uchache. Hatuwezi kuzungumzia mapenzi bila kuiweka...
  4. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini Ukiota unafanya mapenzi na mwanamke matokeo yake huwa tofauti sana na mwanamke katika uhalisia?

    habari za muda huu wakuu? naomba kuleweshwa kidogo, tukiacha habari za majini mahaba na wenziwe. ni kwa nini mtu ukiota unafanya mapenzi na mwanamke kwenye ndoto raha yake huwa ni kubwa mara mbili mpaka tatu kuliko ya mwanamke wa halisia?
  5. JamiiForums Tanzania Sheria mpya za TCRA : Vipindi vya mapenzi kama Ala za Roho na Chombeza Time kuanza saa 6 usiku

    Kumbe sasa vinatakiwa kuanza saa 6 usiku badala ya saa 4 usiku , labda uchumi wa kati umesababisha watoto kuchelewa kulala .
  6. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama kazi tunastaafu kwa nini mapenzi tusistaafu?

    Mapenzi ni kitu kingine, huwezi kufananisha na kitu chochote kile; Kwa wale waliofanikiwa kupendwa ni vigumu kuamini kuwa, kuna wengine mapenzi yamewagharimu maisha yao yote au yamepoteza dira ya maisha ya watu wengine. Wapo ambao mapenzi yamewachapa mpaka kupoteza mwelekeo na hawatamani tena...
  7. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna mapenzi kweli hapa?

    Habari wadau, kuna binti nipo kwenye mahusiano naye na amenizalia mtoto. Sasa kajipangia na mahari kabisa kwamba nisipo toa hiyo pesa bora tuachane. Sasa najiuliza kweli hapo kuna mapenzi?
  8. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siamini kama leo naumwa kwaajili ya mapenzi

    Nilikuwa najiamini kuwa mimi ni mtu mgumu sana haitakuja siku mwanamke aniyumbishe hisia na furaha yangu. Yet nikakutana na huyu mwanamke asee nilimpenda sioni kama dunia hii kuna mwanamke mzuri zaidi yake. Omba yasikukute ndugu kupenda sana mwanamke, nimeamini wanaume sisi ni wadhaifu sana...
  9. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume ambaye hajafanya mapenzi kwa muda mrefu vs mwanaume mfanya mazoezi

    Wakuu naomba kujua kati ya mwanamme ambaye hajafanya mapenzi kwa muda mrefu vs anayefanya mazoezi ya viungo kila siku ni yupo anasukuma pampu vizuri wakati wa kula tunda au kugegeda? Mfano mwanaume ambaye ameoa alafu amekaa miaka miwili bila kupump vs mwanaume anayekwenda jim kila siku
  10. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushawahi kufiwa na mpenzi wako wakati mnafanya Mapenzi?

    Nipo namsikiliza Mtu anasema kuwa wakati mnafanya Mapenzi, dyu dyu ukiingia kwenye sehemu za siri za mwanamke, na mambo yakakolea, wakati mwingine dyu dyu unazama inagoma kutoka kwahiyo ule mizunguko wa damu na presha na nini Mtu anaweza akafa Sa nimelala hapa, najaribu kupata picha ivi wakati...
  11. JamiiForums Tanzania Mapenzi ya Chuo

    Inasikitisha ila pia inafurahisha🤣🤣 Mapenzi moto moto Waliendelea na mapenzi na kufaulu kwenda mwaka wa pili. Walipendana SANA😄😄 Na pete ya Uchumba juu🤣🤣 Ila kandege kalipeperuka kwa wenye fweza. Bora nipooze machungu
  12. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usilolijua kuhusu Mapenzi/Mahusiano, hisia za mapenzi kwa ujumla

    Mahusiano ni kama Gari la masafa marefu, Tena lenye linapitia barabara yenye mashimo, milima na mabonde. Inabidi muda wote ucheze na usukani, ukilala tu utajikuta ulisha acha barabara mda mrefu ulio pita na unaelekea shimoni. Hii ikiwa na maana usijisahau, kumbuka hisia zinapotea kutokana na...
  13. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Athari za kufanya mapenzi kila siku

    Kuna watu ambao hawawezi kulala bila kufanya mapenzi na huku wengine wakikosa uwezo wa kuvumilia hata kwa siku mbili au tatu. Katika hali ya kawaida kufanya mapenzi kuna faida Nyingi, lakini linapo kuja swala la kuzidi kiasi tunapata matatizo ya msingi ambayo huleta madhara kwa watu...
  14. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa ni jambo la Kheri lakini wa dada msiache ndoa iwafanye muwe watumwa wa mapenzi

    Kila mtu anapenda kufunga ndoa na kuwa na familia. Bahati mbaya kwetu wanawake ni mwanaume anaefanya maamuzi kuwa huyu ndiye ananifaa katika safari ya maisha. Hapa hakuna formular wengine watapenda binti mzuri, wengine wanapenda kwasababu ni kabila moja, wengine wanapenda msomi ni mambo...
  15. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini mapenzi ni muhimu kwa wanandoa

    Why lovemaking is important to couples 1. It is a celebration of the love the two have 2. It meets the sexual needs of both. When your needs are met you feel taken care of 3. It is God's gift to your marriage. Make the most out of this gift 4. It makes you two connect better 5. It makes...
  16. JamiiForums Tanzania Somo la mapenzi lifundishwe mashuleni

    Leo nakuja kivingine ka mwanamke wa kitanzania niliefundwa nikafundika iko changamoto kubwa nayo ni uelewa hafifu au hata tuseme ujinga katika uga wa mapenzi. Migogoro mingi katika jamii ina-root back to love affairs mafunzo ya mapenzi hayafundishwi kokote katika mifumo rasmi tukiacha...
  17. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kudanganywa kwenye mahusiano?

    Habari wana JF leo nina bonge moja la tukio ambalo sijawahi kulipitia maisha yangu yote. Mahusiano ni moja ya kitu chenye changamoto sana katika maisha yetu haswa sisi wanaume. Kutokana na asili ya wanaume tulivyo basi kuingia katika mahusiano ni committment na sio mazaha kwa sababu unajua zile...
  18. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dharau, kuto kulala nyumbani na kukuta meseji za mapenzi kwa mkeo kunastahili adhabu gani?

    Wadau hebu tujuzane kidogo adhabu zinazoendana na situation pale mke wako anapokudharau, Halali nyumbani na akirudi hataki kuuliza maswali na kukuta meseji anachati na wanaume wengine na hataki umuingilie. Tuachane kidogo na ulimwengu wa wazungu maana wao sio mfano wa kuigwa wanaruhusu hata...
  19. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuendekeza mapenzi ni dhambi?

    Wapo wanaoponda fulani anapenda sana mapenzi! Sasa je, wewe unayeingia kwenye ndoa au mapenzi huwa unafuata nini? Kule hakuna kazi ya kuuza mihogo wala viazi, kazi kubwa kule ni mapenzi tu. Na mapenzi yasipotekelezwa vizuri ipasavyo ndani ya ndoa, lazima migogoro iwepo. Tunasoma, tunatafuta...
  20. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Swali la kufikirisha: Hivi mwanaume unaweza kumgundua mke/girlfriend wako kuwa hapa ametoka kufanya mapenzi na mtu mwingine?

    Naskia wamama hasa kwa watoto wao wa kike wanauwezo mkubwa wa kujua kua huyu binti yangu ametoka kudinyana. Pia, naskia mademu zetu au wake zetu wana exceptional capability ya kueza kutugundua vidume kua tumetoka ku chepuka. Ila swali hapa ni je sisi wanaume tunaweza kigundua kuwa mademu/wake...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…