mapenzi

  1. Kuendekeza mapenzi ni dhambi?

    Wapo wanaoponda fulani anapenda sana mapenzi! Sasa je, wewe unayeingia kwenye ndoa au mapenzi huwa unafuata nini? Kule hakuna kazi ya kuuza mihogo wala viazi, kazi kubwa kule ni mapenzi tu. Na mapenzi yasipotekelezwa vizuri ipasavyo ndani ya ndoa, lazima migogoro iwepo. Tunasoma, tunatafuta...
  2. Swali la kufikirisha: Hivi mwanaume unaweza kumgundua mke/girlfriend wako kuwa hapa ametoka kufanya mapenzi na mtu mwingine?

    Naskia wamama hasa kwa watoto wao wa kike wanauwezo mkubwa wa kujua kua huyu binti yangu ametoka kudinyana. Pia, naskia mademu zetu au wake zetu wana exceptional capability ya kueza kutugundua vidume kua tumetoka ku chepuka. Ila swali hapa ni je sisi wanaume tunaweza kigundua kuwa mademu/wake...
  3. Kuhesabu na kuandika hufundishwa. Je,kufanya mapenzi nani alikufundisha?

    Nilisikiliza BBC London wakatangaza wanataka Waingereza kuingiza mtaala wa mapenzi kuanzia shule za msingi. Na chuo kikuu cha Dar es Salaam ktk kozi ya DS (Developing Study). Niliyosoma first year 2007, Professor wa kozi hiyo alitufundisha kuwa Umoja wa Mataifa unatambua kuwa kufanya mapenzi ni...
  4. Pandisha Mzuka wa Tendo la Ndoa Kwa Misamiati ya kimapenzi

    Juzi nilipelekwa Buza, Kwa mara ya pili maana Buza NI kubwa Sana Nikaenda kuulizia maana ya mparange sijui Kwa mparange nikapata maana nilicheka sana Sijui mambo ya kiswede mambo ya Ambaruti Basi akapita binti mwenye Shepu yake, babu mmoja akamwambia Yule binti, "Mariam nakuja huko huko...
  5. Simulizi : Nguvu ya Mapenzi

    Simulizi: NGUVU YA MAPENZI Mwandishi: ATUGANILE MWAKALILE Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Mdada mmoja mrembo sana aliyeitwa Angel alionekana siku hii akiwapeleka wadogo zake kuripoti katika shule mpya maana wadogo zake hao walikuwa ndio wanaanza kidato cha kwanza na yeye alikuwa...
  6. Ujumbe kutoka Tundu Lissu kwa wote wenye mapenzi mema

    na #TUNDU_LISSU Kuhusu sarakasi za Mahakama ya Kisutu, nina haya ya kusema; Acheni hofu. Kama nitakamatwa na kuwekwa mahabusu, hilo litakuwa ni jambo jema kuliko jambo lingine lolote Magufuli na watu wake watayatendea mapambano ya kudai demokrasia katika nchi yetu. Wakifanya hivyo basi...
  7. Kisa cha kweli: Kumbe mapenzi yaliyozaliwa Tanga ni fake

    Wanajamvi habarini? Wanandoa kwema?. Muhtasari: nikiwa tineja nilijiwekea mipaka ya makabila ambayo sitao,kila kabila na sababu zake. Wakurya: ukatili Wachaga:kutojua mapenzi sana Wazaramo: wavivu Tanga(makabila yote): sababu ya ushirikina. Jambo la kushangaza hao ndio nikawa nawapata sana hasa...
  8. Simulizi: Nini maana ya mapenzi

    Simulizi: NINI MAANA YA MAPENZI Mwandishi: ATUGANILE MWAKALILE Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Alikuwa binti mpole ila muongeaji sana, aliyelelewa katika mazingira ya dini, nyumba yao ilijihusisha zaidi na maswala ya dini kiasi kwamba hakutaka kujihusisha na maswala ya mapenzi kwa...
  9. Mapenzi hayana Google, vijana jifunzeni kwa watu walio watangulia

    Sio maneno yangu ni maneno ya huyu Kaka anaeongea Sana 🙆🙆 Anasema Eti vijana Mapenzi jifunzeni Kwa wakubwa waliowatangulia Umri, sio mnaenda Google au Porn Hub Ila huyu Kaka anaongea balaa, kiru 🏃🏃🏃
  10. Vijana wenzangu, nani aliwaambia kunyonyana ndio mapenzi?

    Hivi wanawake mnadhani kunyonya uume wa mwanaume ndio kumridhisha kimapenzi Au kigezo cha kupendwa? wengine mnaenda mbali zaidi yaani mechi inapigwa ikiwa imekolea mkuyenge unachomolewa mdada anaweka mdomoni:cool::cool: na ile miutelezi sasa:(, wengine mpaka wanakojolewa humo mdomoni na asilimia...
  11. Y

    Je, kuzaa mtoto mwenye mapungufu fulani ni tatizo la kibailojia or mapenzi ya Mungu?

    Natumai hamjambo wakuu, Wakuu naombeni usaidizi wenu katika hili, je kumzaa mtoto akiwa mlemavu wa ngozi, macho, kiziwi, bubu, kilema or hata sura mbaya inatokana na sababu za kibailojia or mipango ya mungu?
  12. Pale tunaposema kuwa siku hizi hakuna tena Mapenzi muwe mnatuelewa vyema tafadhalini

    Pale tunaposema kuwa Siku hizi hakuna tena Mapenzi bali kuna Upuuzi, Utoto na Usanii tupu muwe mnatuelewa vyema tafadhalini Jackline Wolper na mchumba wake wameachana ikiwa hata wiki haijaisha tangu walipovishana pete. Chanzo: East Africa Televison - News Wale Team No Kuoa Daima wala...
  13. Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

    Ndugu zanguni ni kweli pesa ina mvuto wa Mapenzi mpaka ikafikia kipindi mtu ukavutiwa kimapenzi na mtu flani kwa sababu ana pesa? Ni kweli pesa ni moja ya chambo katika mapenzi? Pesa unaweza ukaitumia kuvuta wapenzi wengi na wakakubali kutokana na pesa yako? Ni kweli pesa ina mvuto katika penzi...
  14. Ukiona sura yako haina mfanano na mke/mume wako jua hapo hakuna mapenzi ya dhati, bali mnaishi kwa kulazimishana tu

    Wakuu mlishawahi kusikia, watu wakisema fulani amefanana na mkewe/mumewe? Ile inatokana na nguvu za nafsi zao kupendana, na kila mmoja kumhisi mwenzake ndio chaguo sahihi. Na hata katika maisha yao wanakuwa hawachepuki, wala hawatengani, hata migogoro ya hapa na pale inakuwa haipo. Akiugua...
  15. Wapenzi wakifanya mapenzi ndani kwao usiku kwenye dirisha ambalo halijafungwa wanaweza kushtakiwa?

    Katika kesi ya Smith v Hughes , washtakiwa hawa ambao walikuwa wapenzi, walishtakiwa chini ya Sheria ya Makosa ya Mtaa kwa kosa la kufanya mapenzi hadharani ijapokuwa walikuwa ndani ya nyumba yao lakini walikuwa wakifanya huku dirisha likiwa wazi umma ukiwaona. Wakati wa kesi, washtakiwa...
  16. P

    Historia yangu ya mapenzi iliyoniachia Makovu kiuchumi na kisa cha Maskini akipata matako hulia Mbwata

    Ukisikia usemi “ Maskini akipata matako hulia Mbwata” basi mimi ni mfano halisi wa hili, 2010 mwishoni kabisa nikiwa bado bwana mdogo tu, around 20’s na Bahati ikawa upande wangu nikawa tayari nimepata ajira katika moja ya taasisi inayolipa vizuri mno hapa nchini. Account yangu ya bank ikawa...
  17. Kwenye ndoa ya wake wengi, mwenye mapenzi ya kweli ni mke mkubwa tu

    Kwenye ndoa ya wake wengi, mwenye mapenzi ya kweli ni mke mkubwa tu. Hawa wengine wako kimaslai tu, ata kama utawatembezea rungu kwa kila staili, wao watalenga maslai au kipato chako tu. Kwa namna nyingine tunaweza sema ni wachunaji tu. Tusidanganyane kuwa wake wenza upendana, hiyo haipo; kila...
  18. Kwanini Wanaume wengi wanapenda kufanya Ngono ndani ya magari yao?

    Ni kwanini Wanaume wengi siku hizi wanapenda sana kufanya Ngono ndani ya Magari yao? Hii tabia siyo tu kwamba sasa imeshazoeleka bali kwa jinsi ambavyo ninakutana nayo sasa ni dhahiri kabisa kuwa imeshaota Mizizi.
  19. Simulizi: Kinu cha Mama

    KINU CHA MAMA Mussa N. Abubakari UTANGULIZI. Hii ni bunilizi tu. Usijaribu kugeuza maoni kuwa ukweli na kuharibu maisha ya watu. ZINDUKO; Moja ni jibu, Ngono hutibu. 1. Romantic Star Alishuka. Akasimama, kisha akaangalia kushoto na kulia. Erick Kupaza alifurahi kurudi nyumbani kwao. Sio tu...
  20. Unakereka na nini ukifanyiwa wakati wa kufanya mapenzi

    Unakereka na nini ukifanyiwa wakati wa kufanya mapenzi? Mie kunilamba Sikio. Kuna wapenzi wangu flani hivi wenyewe wapo kama Nyau wanapenda kunilamba masikio mpaka wanaboa, Nilishawaambia mimi hicho kitendo sikipendi kinanikera na kunikata stimu lakini kila wakija katika kuandaana lazima...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…