mapenzi

  1. Miguel Felix Gallardo

    Kufumania, wivu wa mapenzi na drama kama hizo ni ushamba wa karne ya 21

    Nimejaribu kufatilia kwa muda sasa na pengine ni sahihi kabisa na baadhi ya jamii za kale zilielewa haya mambo in deep tofauti kabisa na wanaojiita wasomi wenye madegree na maPhD ya kileo. Jamii kama Wamaasai hawa viumbe wako soo real katika swala la kuzagamuana na kula mbususu.Imagine mwanaume...
  2. Tauceti Rigel

    Wazazi, Mnamfundisha Mtoto Kuishi au Kuwa Mshika Maandishi? – Usimjengee Akili, Ukauwa Ujasiri Wake

    Kuna wazazi wengi wanafikiria kuwa kazi yao kubwa ni kuhakikisha mtoto anapata akili sana. Anapata elimu nzuri, anasoma vitabu vingi, anajua mambo mengi. Hili si kosa. Lakini kuna jambo moja kubwa ambalo wengi wanasahau: Yaani, unamjaza mtoto maarifa, unamwambia maisha ni hivi na vile...
  3. HaMachiach

    Mapenzi yamenitesa nasema sasa basi

    Habari za usiku upande wangu nmekuwa na wakati mgumu wiki hii inayo Isha nilipogundua mpenzi wangu niliyempangia nyumba ameondoka bila taarifa ameenda kwa mwanaume mwingine huku ndugu zake wakiogopa kuniambia ukweli na Kila nilimuuliza ananiambia Yuko kwao lakini vitu vyake vyote ameacha ndani...
  4. tonicimmobility

    Wakulungwa hii inaitwaje Kiufundi?

  5. Binti wa zamani

    Utamu wa tunda la kati - Part 3: nani alivunja rekodi yako ya raha?

    Muendelezo wa simulizi za maisha yangu ya ujanani na mapenzi. Leo acha niwasimulie kuhusu kijana aliyevunja rekodi zangu za raha, akanivuruga kidogo nichanganyikiwe - pia nakujibu swali lako @ 26 Life ******* Pita pita huku na kule nikakutana na huyo mkaka, nikamdate na ndiyo akawa...
  6. kiss ov love

    Mapenzi ya siku hizi ni ya ajabu sana, mtu unamuacha baada asononeke ndiyo kwanza anaenjoy tu

    Sasa sijui ni dharau au nini yaani mtu unamwambia muachane anakwambia sawa, anakukaushia na hata hasononeki wala kukuomba msiachane. Ndiyo kwanza yuko bize anapost tu mastutus kila siku, ina maana watu wamekuwa sugu hawaumizwi tena na mapenzi? au wanakuwa kwenye mahusiano na wapenzi wengi...
  7. Donatila

    Mastar wa wanateseka na mapenzi, Tuwashauri

    Habari wakuu, Husika na kichwa cha habari tajwa, Mastar wanavyoteseka na mapenzi... Tuanzie hapa BONGO kwetu, BONGO kama BONGO, yaani ukija kwa wasanii wakubwa kama ZUCHU analia jamani huko anapigwa matukio kisawasawa... Pamoja na U STAR wake yaani hana furaha na malovee, kashapigwa tukio...
  8. SankaraBoukaka

    Wenye Guest House na Lodge Siye Tunaochepuka na Wake za Watu – Tunaomba Muondoe Magrill Madishani!

    Wapendwa wamiliki wa Guest House na Lodge kote nchini, Kwa heshima zote, nyenyekevu, na kwa maumivu ambayo hayawezi kuelezwa kwa lugha ya kawaida, tunawaomba kwa moyo wa dhati MUONDOE MAGRILL MADIRISHANI! Hili siyo ombi la kawaida. Huu ni wito wa dharura kutoka kwa sisi watu wa vishughuli vya...
  9. Mwachiluwi

    Ukiambiwa ubebe watu ulio fanya nao mapenzi uta tumia chombo gani cha usafiri

    Ukiambiwa ubebe watu ulio fanya nao mapenzi uta tumia chombo gani cha usafiri Mimi nita tumia bajaji na ina baki nafasi ya kukaa mtu mmoja vip wewe 😂
  10. Think2

    Huu ni uchawi kwenye mapenzi

    Hawa wanawake hawa aseoee
  11. R

    Onesmo Mushi: Manabii Mwamposa, Gwajima, et al na concept ya "mapenzi" ya Mungu vinavyowasaidia WATAWALA kutawala bila WATAWALIWA kuhoji haki zao

    Ukisha amini akina Mwamposa, Gwajima, Mzee wa upako na wengine kama hao..et al, mtawala anashukuru maana unamvua responsibility ya fate ya maisha yako na kuiweka mikononi mwa Mungu kadri ya mahubiri ya akina Mwamposa ya pokea nyumba, pokea gari, pokea upako, pokea bahati etc etc TUAMKE...
  12. Binti wa zamani

    Je ni kweli vinyama vina ladha tofauti au sababu ya wanaume kuendelea kuchepuka ni ipi?

    Wanaume ambao mko kwenye mahusiano nawaombeni hapa. Jana kuna binti amekuja kwenye kikundi analia, mume wake amezalisha mtoto wa pili nje ya ndoa. Hivi, mkichepuka au mkabadilisha hiyo michepuko kuwa nyumba ndogo za kudumu, huwa mnatafuta nini hasa kati ya hivi? Ladha tofauti za kipochi...
  13. Surya

    Hizi hatua za kupenda kila mtu anazipitia ?

    Hizi hatua sijui kama wengi wanazipitia, na pia wapo wanaokwama kwenye hatua moja muda mrefu. i. Just look at a girl. Unampenda manzi fulani lakini husemi, wewe nikumzoom tu. ii. Hug a girl. Nahitaji kukumbatia msichana, hapa kuna wengine walianza wakiwa darasa la sita na saba, watoto wazuri...
  14. haszu

    Zamani ilikuonesha mapenzi, unapiga picha unampa mtu anaweka kwenye album, akiiangalia anafurahi. Sasa hivi mnapeana nini?

    Ilikua ukipewa picha na mtu ni zawadi kubwa sana na ushahidi kua huyo mtu ni wako, je sasa hivi mnapeana nini ?
  15. Idugunde

    Rombo: Kisa mgogoro wa mapenzi Mwalimu ajiua kwa kujichoma moto

    Rombo. Mwalimu wa Shule ya Msingi Sinya, iliyopo Wilaya ya Longido mkoani Arusha, Samwel Mlay (39), anadaiwa kujiua kwa kujiteketeza kwa moto katika nyumba yake aliyokuwa akiishi na familia yake. Mlay alikuwa akiishi katika Kijiji cha Ngoyoni kilichopo katika Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro...
  16. Black nyeti

    Siku ya kwanza kufanya mapenzi na namna ilivyokuwa mpaka kufikia huko

    Mapenzi mapenzi mapenzi mapenzi mapenzi mapenzi
  17. GENTAMYCINE

    Wale Wabobezi wa hizi Styles Kuu Saba za Kungonoka (Mapenzi) Kitandani tunaomba Maelezo yake kwa Kina kwani nasikia Wanawake wanazipenda sana

    1. Popo kanyea Mbingu 2. Mguu Pwani Mguu Bara 3. Nisusie 4. Anguka Juu Chuma Natembeza 5. Zanzibar Kunaingilika 6. Msumeno 7. Kufa Kunoga Naomba Kuwasilisha.
  18. Silivian

    Mshahara wako unaopokea kila mwisho wa mwezi unatosha kwa matumizi ya mwezi mzima?

    ‎Mwaka 2023 kuna jamaa angu aliajiriwa alikua analipwa 600k kwa mwezi, ili mishahara yake haijawahi kukutana, kila mwezi alikua anaanza na zero.Na hapo alikua hana mke wala mtoto. ‎ ‎Tuongee ukweli! Huo mshahara wako unaopokea kila mwisho wa mwezi unatosha kwa matumizi ya mwezi mzima?? 🤔 ‎ ‎ ‎ ‎
  19. Ashampoo burning

    Producer Aliyeweka Mapenzi Kwenye Beat – Story ya Manu Lima!"

    Sasa sikia kaka, kama ulikuwa na redio ya betri au home kulikuwa na deck, halafu muziki unaopigwa ni wa Oliver N'Goma, Monique Séka au Mbilia Bel – basi bila hata kujua ulikuwa unasikiliza kazi ya Manu Lima, yule jamaa mkali aliye-produce midundo ya kukata mauno, kutema mistari ya kihisia, na...
  20. M

    Ukiondoa Uanachadema na mapenzi makubwa kwa Lisu! Unaamini misimamo ya Lissu itaponya Taifa letu? Nini maoni yako

    Salaaamu Wanabodi....! Ngoja tutete kidogo, imma kwa Rais wetu ajaye ama vyovyote iwavyo Tangu nimezaliwa hadi leo, nimebahatika kumuona tu kwa kipindi kifupi sana Baba wa taifa hili Mwl Julius Kamabarage Nyerere na siyo kuishi kwenye utawala wake Ila nasikia huyu baba alikuwa na misimamo...
Back
Top Bottom