Wapo wanaoingia kwenye mahusiano na kuambulia kukongoroka mwili, mwili kupungua na kupoteza nuru.
Na wapo wanaoingia kwenye mahusiano na mtu fulani, na kujikuta mwili unaongezeka na kuwa na mvuto mzuri.
Sasa utajuaje, mpenzi uliyenaye anaweza kuufanya mwili wako unenepe na kuonekana mzuri...
SHATTERED EVIL:LIGHT AND SHADOW
MTUNZI:KAILOJONHJO.
UTANGULIZI
SHATTERED EVIL: LIGHT AND SHADOW Ni simulizi inayochanganya ,mystery, fantasy,mapenzi, ujasusi
Miaka ya zamani watu walisifika sana kua na nguvu iyo ilitokana na kua na upeo mkubwa wa akili mpaka...
Naweza kusema nitakataa kila aina ya udhaifu na uraibu lakini kwenye Mapenzi hapo naomba mniweke tu, sitajisikia vibaya.
Jitahidi uwe mjuzi na mkufunzi kwenye hili... Mapenzi yanapasua miamba
Ila hatari ni moja kwenye hii sector watu wanachezewa akili (mind game) hatari sana, na wengi...
Habarini, watu hudhani wanapofika kilele cha mapenzi na upendo moto moto basi hali hiyo itadumu mpaka mwisho wao ila ukweli mchungu ni kwamba mkishafika stage hiyo mna machaguo mawili tu yaliyoainishwa kwenye kichwa cha habari hapo juu.
Kuna baadhi ya watu huja kwenye maisha yako kama zawadi... lakini wengine huja kama darasa la maumivu. Na darasa hili lilinifundisha kuwa… mapenzi si ya waliokomaa tu, bali ni ya waliovunjika na wakaamua kupona.
Hii ni hadithi yangu. Ya kweli. Niliipenda kimya, nikaamini ni dua yangu ikijibiwa…...
Huu ni utafiti wangu binafsi naomba mwenye pingamizi aje kwa comment. Asanteni
Kilio unachosikia wakati mwanamke ameumizwa au ana uchungu ndio sauti hiyo hiyo utaisikia akiwa anafanya mapenzi tofauti ni volume tu
Hili ni swali ambalo nimekuwa nikijiuliza. Sababu mara 4 nshawahi chuja nafaka of course nlivaa mpira maana nliona imenijia nafasi siwezi iacha nikala mzigo hivyo hivyo. Je kwa imani ya dini zetu na kiafya imekaaje?
Mkumbuke zamani walikuwa hawana condoms.
kifupi ipo hivi niliachana na demu wangu last year nikawa ni mtu wa nyero na kununua madanga, hivi karibuni nimepata demu ,
Leo nilikua nae kwenye show baada ya bao la kwanza mashine ikasinyaa nikakaa kama nusu saa ikawa fresh tena ila Sasa kwenye bao la pili sikumwaga mpaka pumzi ikaniishia na...
Nimepatikana aiseeh, mapenzi ni upumbavu tu 💔❤️🩹, 2025 uwe mwaka wa mwisho wa mambo ya kupendana.
Kama ni lazima sana, basi tubaki na ngono tu kwa ajili ya kuzaliana ila mahusiano yasiwepo.
Mapenzi ni ujinga
Mapenzi ni mateso
Mapenzi ni maumivu
Mapenzi ni utapeli
Mapenzi ni uhayawani
Mapenzi...
Ni staili moja tamu sana haswa mtoto mkali anapokuwa msafi, na pia uwe wewe peke ako ndio unamchumisha
Ebu tuambie wewe inakupaga shida gani hii staili?
Ruksa wote wanaume wa kwa wanawake kucoment
Staili inaitwa "mbu kauma taqo" 😅
Usiingie ktk mahusiano kwa kutegemea mtu uliyenaye atakufurahisha kwa kila kitu . Binadamu yeyote mpe asilimia 50 tu zengine bakiza kwaajili yako , ukiwa na expectations kubwa na mtu trust me lazma uwe disappointed
NRNE - Hii ni nyuzi ya mapenzi kama hupendi hizi mada, achana nayo, USIIFUNGUE.
Tunaendelea ilipoishia kwenye simulizi ya kwanza - Utamu wa tunda la kati - Part 1 - nitasimulia kijana wa pili aliyeniliza na ilikuwaje.
Bahati mbaya mimi na Samy wa Part 1 tuliachana sababu ya tofauti za dini...
Leo majira ya saa sita mchana niliingia lodge moja na kuwaamuru wale wadada wanaojiuza waje wawili niwashugulikie,nimetumia masaa matatu ndipo wote kwa pamoja wakaridhika na nimewaachia namba yangu ya simu.
Ushawahi kufanya mapenzi na wanawake wawili kwa mpigo,ilikuwaje?
Ushawahi kufanya ngono...
Kosa langu la kwanza kuamini moyo, kwenye Dunia ya mapenzi isiyompa makazi ya kudumu mwanaume asiye na pesa.
Kosa la pili kuishi kimazoea, dhidi ya kiumbe niliyetakiwa kuishi nae kwa akili.
Kosa la tatu niliamini naweza kumtuliza kwa kumjali sana.
Na kufuata maagizo ya jando ninapokuwa nae...
GGADZZILA "kama hupati unachopenda penda unachopata"
DIZASTA VINA "utairudia kawaida utagundua kuwa haukuwa malaika"
WAZEE WANGU KIJIJINI "yote ni ya mungu wengine kula mtama wengine mpunga"
😢😢😢😢😢😢😢😢😢
NRNE - Hii ni nyuzi ya mapenzi kama hupendi hizi mada, achana nayo.
Wanajukwaa niliwamiss, nimerudi na nikakutana na uzi wa mtu anauliza mbona mabinti wa siku hizi hawalii kwenye tendo? Nikamkumbuka kijana aliyeniliza kwa raha miaka kama 25 iliyopita, acha niwasimulie na wengine mjifunze...
Washkaji zangu, hebu niwaambie kitu kinachoweza kuwachoma kidogo, lakini ni kwa nia njema kabisa, kama dada yenu ninavyowajali. Wakati mwingine, bila hata nyinyi wenyewe kujijua, mnaweza kuwa mnawavunja mioyo na kuwaumiza kihisia hao wanawake mnaowapenda. Tena sio kwa sababu nyinyi ni watu...
Nipo Salama! Salama! Sijui ninyi huko.
Sio rahisi kijana ambaye ameanza mapenzi wakati wa balehe yake akikikua akaanza kuumizwa umizwa na mapenzi. Au ukamkuta anahonga au kupelekeshwa na wanawake.
Asilimia tisini na tisa ya wanaume unaowaona wanahonga au kupelekeshwa na wanawake kwenye...
Fikiria aina ya upendo wa kipekee—upendo wa kina sana kiasi kwamba hata kifo hakiwezi kuwatenganisha nafsi mbili zilizoishi maisha yao yote pamoja. Jefferson na Mary Souder, waliokuwa wameoana kwa miaka 60 huko Tarrant County, Texas, walijenga urithi wa uaminifu wa dhati, wakilea vizazi vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.