kifupi ipo hivi niliachana na demu wangu last year nikawa ni mtu wa nyero na kununua madanga, hivi karibuni nimepata demu ,
Leo nilikua nae kwenye show baada ya bao la kwanza mashine ikasinyaa nikakaa kama nusu saa ikawa fresh tena ila Sasa kwenye bao la pili sikumwaga mpaka pumzi ikaniishia na...
Nimepatikana aiseeh, mapenzi ni upumbavu tu 💔❤️🩹, 2025 uwe mwaka wa mwisho wa mambo ya kupendana.
Kama ni lazima sana, basi tubaki na ngono tu kwa ajili ya kuzaliana ila mahusiano yasiwepo.
Mapenzi ni ujinga
Mapenzi ni mateso
Mapenzi ni maumivu
Mapenzi ni utapeli
Mapenzi ni uhayawani
Mapenzi...
Ni staili moja tamu sana haswa mtoto mkali anapokuwa msafi, na pia uwe wewe peke ako ndio unamchumisha
Ebu tuambie wewe inakupaga shida gani hii staili?
Ruksa wote wanaume wa kwa wanawake kucoment
Staili inaitwa "mbu kauma taqo" 😅
Usiingie ktk mahusiano kwa kutegemea mtu uliyenaye atakufurahisha kwa kila kitu . Binadamu yeyote mpe asilimia 50 tu zengine bakiza kwaajili yako , ukiwa na expectations kubwa na mtu trust me lazma uwe disappointed
NRNE - Hii ni nyuzi ya mapenzi kama hupendi hizi mada, achana nayo, USIIFUNGUE.
Tunaendelea ilipoishia kwenye simulizi ya kwanza - Utamu wa tunda la kati - Part 1 - nitasimulia kijana wa pili aliyeniliza na ilikuwaje.
Bahati mbaya mimi na Samy wa Part 1 tuliachana sababu ya tofauti za dini...
Leo majira ya saa sita mchana niliingia lodge moja na kuwaamuru wale wadada wanaojiuza waje wawili niwashugulikie,nimetumia masaa matatu ndipo wote kwa pamoja wakaridhika na nimewaachia namba yangu ya simu.
Ushawahi kufanya mapenzi na wanawake wawili kwa mpigo,ilikuwaje?
Ushawahi kufanya ngono...
Kosa langu la kwanza kuamini moyo, kwenye Dunia ya mapenzi isiyompa makazi ya kudumu mwanaume asiye na pesa.
Kosa la pili kuishi kimazoea, dhidi ya kiumbe niliyetakiwa kuishi nae kwa akili.
Kosa la tatu niliamini naweza kumtuliza kwa kumjali sana.
Na kufuata maagizo ya jando ninapokuwa nae...
GGADZZILA "kama hupati unachopenda penda unachopata"
DIZASTA VINA "utairudia kawaida utagundua kuwa haukuwa malaika"
WAZEE WANGU KIJIJINI "yote ni ya mungu wengine kula mtama wengine mpunga"
😢😢😢😢😢😢😢😢😢
NRNE - Hii ni nyuzi ya mapenzi kama hupendi hizi mada, achana nayo.
Wanajukwaa niliwamiss, nimerudi na nikakutana na uzi wa mtu anauliza mbona mabinti wa siku hizi hawalii kwenye tendo? Nikamkumbuka kijana aliyeniliza kwa raha miaka kama 25 iliyopita, acha niwasimulie na wengine mjifunze...
Washkaji zangu, hebu niwaambie kitu kinachoweza kuwachoma kidogo, lakini ni kwa nia njema kabisa, kama dada yenu ninavyowajali. Wakati mwingine, bila hata nyinyi wenyewe kujijua, mnaweza kuwa mnawavunja mioyo na kuwaumiza kihisia hao wanawake mnaowapenda. Tena sio kwa sababu nyinyi ni watu...
Nipo Salama! Salama! Sijui ninyi huko.
Sio rahisi kijana ambaye ameanza mapenzi wakati wa balehe yake akikikua akaanza kuumizwa umizwa na mapenzi. Au ukamkuta anahonga au kupelekeshwa na wanawake.
Asilimia tisini na tisa ya wanaume unaowaona wanahonga au kupelekeshwa na wanawake kwenye...
Fikiria aina ya upendo wa kipekee—upendo wa kina sana kiasi kwamba hata kifo hakiwezi kuwatenganisha nafsi mbili zilizoishi maisha yao yote pamoja. Jefferson na Mary Souder, waliokuwa wameoana kwa miaka 60 huko Tarrant County, Texas, walijenga urithi wa uaminifu wa dhati, wakilea vizazi vya...
Nimekaa nikatafakari nimegundua mapenzi ni utapeli tu!, Haiwezekani ati mtu kwa kukubusu tu useme hayo ndio mapenzi!, yani mtu anatumia kiungo chake cha kusagia chakula (mdomo) kukuonyesha mapenzi!, How come..?
Ama mtu anakuonyesha mapenzi kwa kukupa kiungo chake cha uzazi yani uzazi ndio...
Sasa ndugu zanguni, mimi ni mtu mzima kabisa, nina miaka 40. Nilianza shughuli za watu wazima nikiwa na miaka 20, nikawa mfuatiliaji mzuri wa mambo ya "unyama wa mwituni", kwa lugha nyepesi—tulianza kupiga mpira miguuni bila viatu. 😂
Katika miaka hii 20 ya utafiti wa "mambo ya ndani", nimepita...
Baada ya mwanamke kujifungua mtoto wa pili, wengi Huwa na mabadiliko fulani ya kimtazamo, kitabia, na
hata kihisia ambayo baadhi ya wanaume huwa wanayahisi au kuyaona kama “kiburi.”
Wapo wanaodai kuwa uzazi huleta mabadiliko makubwa katika maisha ya mwanamke – kimwili, kihisia, na kiakili...
Huu wimbo unakamata wazee na vijana!, haujalishi ni mtoto wa alfu mbili ama alfu tatu!.
Milindimo yake haichoshi, sauti za waimbaji wake wameitenda ile kazi ya fasihi!.
Sasa kama huyo mpenzi wako haujui huu wimbo, we endelea kuishi tu na hilo gaidi litakuchinja sikumoja!...😂
Wakuu habari zenu, nilikuwa naomba ushauri wenu katika pitapita zangu za kupambana na maisha nikapata mda kidogo wa kukaa nyumbani mkoani.
Baada ya kufika kuna kama stationary ipo jilani nikamuomba mwenye stationary nijishikize apo akasema hakuna shida, ni mtu ninaye muheshimu, .....
Baada ya...
𝐌𝐭𝐮𝐧𝐳𝐢: Saul David Bril 0756862047
__________________
Sehemu ya kwanza...
UTANGULIZI
Sikujua kama mwanzo wa mapenzi ni mwisho wa amani yangu. Kila kitu kilibadilika siku ambayo nilimwona kwa mara ya kwanza mwanamke fulani wa hadhi ya juu. Alikuwa akibadilisha mavazi ndani ya gari bila kujua...
Samaleko...
Ilibaki kidogo tu nidondoshe chozi lakini lilipotaka kudondoka nikakumbuka ule wimbo "wanaume tumeumbwa mateso!" halafu kabla haujaisha huo wimbo vizuri nikakumbuka pia wimbo wa Diamond kizaizai!, Hichi sio kizaizai tasa bali ni kizaizai kilichozaa!.
Japo nimeshakuwa sugu wa visa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.