Kwema wakuu, heshima mbele!
UKIPENDA NI NOMA AISEE! Next time nitajitajidi mimi ndio nijibu nakupenda pia, ngoja nile glucose kwanza nipate nguvu ya kusimulia, nitarudi.
to be continued....
1: Penzi la age-mate wako litakutesa sana. Kuna namna kiasili mwanamke unae lingana nae anakuwa vibrant kukuzidi na pia anakuwa anakuona chalii katika experience ya maisha thus anakuwa triggered zaidi na wanaomzidi umri.
2: Binti kama anakukubali na bado hauja mu-approach atakuset ili ionekane...
Kwenye mahusiano ni ngumu kumpata mtu aliyenyooka kila mtu anavipengele vyake , utajikuta kila siku unabadilisha mtu , inatakiwa upime, kuna tabia zinazoweza kuvumilika na zisizoweza kuvumilika unaangalia ni nani ana unafuu
Kwenye kufanya mapenzi mara nyingi wanawake wanafaidi zaidi kuliko wanaume.
Wakisuguliwa ni utamu wa hali ya juu, wakikojolewa yaani hadi mashetani yatapanda, wakikojoa wenyewe yaani hadi neno ambalo hukuwahi kulisikia utalisikia.
Tabia ya nyota (au zodiac signs) kwenye mapenzi
Nyota za Moto (Fire Signs)
Aries, Leo, Sagittarius
Aries (Machi 21 - Aprili 19)
Mpenzi mwenye nguvu, mchangamfu na anayeongoza.
Huangukia mapenzi haraka lakini pia hupoteza hamasa haraka.
Anapenda ushindani na changamoto.
Leo (Julai 23 -...
Baada ya kupigwa matukio sana na watoto wa 2000 now nime amua kudate na mtu ambaye kanizidi umri au agement wanawake wa 95 up 97 hawa wana jitambua kwa hali fulani au mna lipi la kuniambia nataka kuoa mwakani
Habarini wakuu
Husika na kichwa cha habari hapo juu hiyo thread naimani wengi mna ikumbuka.
Guys hiyo siyo chai kwanza sina hizo tabia za kuleta vitu vya uongo watu wapoteze nguvu zao kunishauri.
Nilivyoleta hiyo thread wengi mlinishauri kwa namna mlivyoona inafaa kwa namna mimi nilivyokuwa...
Wagonjwa wengi wa maradhi ya Afya ya akili chanzo kikubwa kinaletwa na kutoshiriki tendo la ndoa kwa walio na umri wa kufanya ilo tendo.
Wenye maradhi haya wengi ni wale WALIOKUWA wanandoa au walikuwa kwenye mahusiano lakini Sasa yamevunjika ghafla.
Tukubaliane waanga wengi ni wao
Muhimbili...
Mapenzi ni kama moto , moto ukiuchochea unakolea zaidi na usipouchochea unazimika ,
kuna mambo unatakiwa uyafanye ili kuzidisha nguvu kwenye mapenzi yenu yazidi kuimarika yawe bora siku hadi siku .
Tumia muda wako kufanya kazi na siyo kuhangaika na mapenzi.
Unakutana na pisi kali unaomba namba unaanza kuwa busy nae we unadhani ameonekana na wangapi kabla yako na ni wangapi wanaomtaka . Punguza kupenda sana watu wana watu wao, unayempenda sana naye ana mtu wake anayempenda sana.
Cheza...
Hivi hii imekaaje?
Kuna jamaa yangu mmoja ambaye nilileta habari zake humu namna alivyofirisika tokana na kuhangaika na wanawake. Sasa amewehuka na amekuwa kama kijana anayeanza kubalehe kwa kusumbuliwa na wanawake wengi zikiwemo nyumba ndogo?
Hivi inakuwaje mtu mzima unachanganyikiwa na...
Mimi binafsi ulichokifanya kina matashi mema! Kina baraka za Mungu na wote wanaoipenda nchi yetu Tanganyika/Tanzania.
Ukiacha vumbi lenu ndani ya CCM, ingawa linatugusa wote kwa sababu mnamiliki serikali na rasilimali zetu, mengine uyasemayo wengi wanakuunga mkono!
Thanks ulisema uko hata hapa...
Orodha fupi ya wanawake waliowahi kudaiwa kuvunja rekodi ya kuwa na wanaume wengi zaidi kimapenzi (hasa kupitia filamu au matukio ya watu wazima):
Wanawake waliotajwa kwenye rekodi za “gang bang”
Annabel Chong (1995, Los Angeles, Marekani)
Alidai kufanya ngono na wanaume 251 mfululizo ndani...
Ndugu.
Kataa ndoa kuna namna kama wameshinda hii vita pamoja na ile vita ya single maza.
Huko duniani kila nikiangaza huku na huko sioni tena pear pear zikiongozana na kwenye maboma huko kusikia mtu ana oa na kuolewa ni mtihani sana.
Wanawake wapo wenyewe wenyewe huku wanaume na wao wapo...
Kama mnavyojua Sekta ya Mapenzi ndio sekta tukufu kupita zote..
experience matter more..
Kuna Class mate wangu wa sekondari tulikutana chuo japo yeye alienda Advance mimi sikwenda, Alinikuta College nikawa kama Senior (mwenyeji) wake..kimtindo
Tukiwa chuo uhuru wa manyani, nikachati nae sana...
Zamani nilikuwa nasikia kuwa Dar ni jambo la kawaida
Lakini sasa hadi mikoa ya kanda ya ziwa ambayo ilisadikika kuwa vijana wanamaadili
Kuna nini? Kwa nini wanapenda wanawake wazee?
Wakuu Kuna hili swala Nimekuwa nikilisikia mara kwa mara na watu wanasema ukemee hilo swala la kuota unafanya mapenzi sababu unafanya mapenzi na wàchawi
Ila Mimi sikua nakemea sababu sioni kama ni sahihi Kila mtu anatafsiri yake ya ndoto
Mfano redioni siku hizi hata station kubwa hapa bongo...
Okay my dadas, kwanza kabisa habari zenu :)
kama tunavyojua, kila mmoja wetu hapa ana story za ajabu kuhusu mambo waliofanya kisa mapenzi. Some are wild, wengine funny, weingine cringey, na wengi wetu (mimi nikiwemo) embarrassing lol!🤣
lakini this is not a judgment zone, WE LISTEN & WE DON'T...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.