maombi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Uponyaji na uzima

    Tuweke maombi yetu wana JF dhidi ya utekaji, mauaji na ukandamizaji mpaka wahusika wateketezwe

    Silaha zote zitumike, wanaoongea waziwazi, keyboard warriors na wenye imani mbalimbali tuendeleze mapambano. Hapa tuweke maombi yetu ya kiimani dhidi ya utekaji, mauaji na ukandamizaji. Wahusika waharibiwe.
  2. Waufukweni

    Waumini wa kanisa la Askofu Gwajima wafanya maombi barabarani

    Waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la Askofu Josephat Gwajima, Ubungo Dar es Salaam wamelazimika kufanya maombi pembezoni mwa Barabara ya Ubungo-Kimara baada ya kanisa hilo kufungwa. Kanisa hilo limefungwa huku askari polisi zaidi ya 20 wakiwa wamelizunguka kuimarisha ulinzi eneo hilo.
  3. Pdidy

    Makombe yote yanaenda kwa waarabu kama maombi yetu sifa apewe Mungu

    Mungu fundi Mungu fundi Mungu hajawahi shindwa Yaan nilianza kuiombea pyramid ifike final Imefika nkaomba mungu asaidie wachukue na ubingwa Sasa wanasubiriaa tu masaa kubeba kombe Niliomtakia heri mayele afanye yake mashallah Sasa leo kama maombi na kichwa cha habari hapo juu Nakama...
  4. Msaga_sumu

    MAOMBI YA KAZI.

    Habari wakuu, Utangulizi: Awali yayote nipende toa shukrani kwa Mungu na kwa yeyote atakae wiwa na maombi yangu. Mimi ni kijana umri miaka 24, nina degree ya accounting with information technology,graduate of 2024, naishi dar es salaam,,,. Uzoefu: 1. Utafutaji wa masoko na kudeal na wateja...
  5. Ziroseventytwo

    Ni muda sasa tuanze kupiga maombi

    Wakati wa Rais Magufuli alizoea sana kusema tumwombee. Tuliomba badala ya kumwombea. Bwana akajibu maombi. Sasa kuna mtesi mpya. Tena huyu ni zaidi ya yule aliyetangulia. Serekali yake inauza kila kitu cha wananchi. Kubebesha watanzani mizigo ya madeni kwa kukopa huko nje. Sasa anatesa...
  6. Msaga_sumu

    Maombi ya kazi

    Wakuu habarini za wakati, Mmi ni graduate katika fani ya uhasibu na tehama, na experience katika kazi za freelancing na marketing nimefanya freelancer azam pesa, pia mambo ya loan officer nimefanya kwenye moja ya microfinance na sasa nimejitolea auditing firm Premium Plus Association (PPA)...
  7. Donatila

    Maombi ya shukurani na kujitabiria mazuri yanavyojibiwa haraka

    Habari wakuu, Bwana YESU atukuzwe na ufalme wake uje na mapenzi yake yatimizwe... Leo naomba niwape Siri iliyopo kwenye maombi ya Kushukuru na kujitabiria... Tumezoea Kushukuru kwa sadaka zaidi ila Leo naomba tujifunze maombi ya Kushukuru na kujitabiria... Maombi ya Kushukuru na kujitabiria...
  8. C

    Maombi ya Kazi ya Udereva

    Wakuu... Napenda kuwasilisha maombi yangu ya kazi ya udereva katika kampuni, taasisi au Shule. Nina uzoefu wa zaidi ya kumi (10) katika kazi ya udereva, nikiwa na leseni daraja [A, B, C1, C2, C3 na D], na ujuzi mzuri wa kuendesha magari aina mbalimbali pamoja na kufuata sheria zote za usalama...
  9. L

    Kwa mliotuma maombi ya ukazi wa kudumu marekani

    Kwa mliotuma maombi ya ukazi wa kudumu marekani vp matokeo yenu , je Kuna aliebahatika ili mtupe hamasa na sisi ndugu zenu tujaribu bahati
  10. T

    Msaada wa Maombi ya vyuo, mikopo,ajira na kadhalika

    Piga au tuma meseji kwa 0623446608 update msaada kama umesahau password na kadhalika
  11. Moha 255

    Maombi ya kazi ya tax, mtandao

    Habari, Naitwa Mohamed ni driver wa tax mtandao….nipo darslam natafuta gari ya kufanyia kazi hii, hivyo kwa yeyote mwenye chombo basi ni fursa hii tuitumie kujenga hii nchi… “Kuhusu uaminifu ni % Hakuna uswahili wala ubabaishaji Hii ni kazi na Naheshimu kazi yangu hivyo tajiri ondoa shaka...
  12. M

    Maombi ya uchunguzi kuhusu uchangishaji fedha kinyume na taratibu kwa ajili ya ukarabati wa nyumba ya mkuu wa wilaya ya Maswa

    Kwa Waziri,Mh Mohamed Mchengerwa,Waziri wa TAMISEMI. Sisi wafanyabiashara wa mji wa Maswa kunapenda kuwasilisha malalamiko yetu kuhusu utaratibu unaoendelea wa kuchangishwa fedha na Katibu Tawala wa wilaya ya Maswa,Athuman Kalaghe kwa ajili ya ukarabati wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya. Taarifa...
  13. JOHNGERVAS

    Saa Tisa Muda wa Maombi Malaika wameshuka

    Maombi ya Nguvu za Kimungu na Kufunguliwa kwa Jicho la Tatu (Maono ya Kiungu) (Saa Tisa Usiku – Wakati wa Roho Mtakatifu Kuongea na Nafsi) Ee Baba Mtakatifu, Mungu aliye hai, Ninakuja mbele zako usiku huu wa kipekee, Nikiwa nimevua utu wa mwilini na kujinyenyekeza rohoni, Nikitafuta uso wako, na...
  14. Mkalukungone Mwamba

    Arusha: Viongozi wa dini waungana kumfanyia maombi RC Makonda

    Viongozi wa Dini kutoka madhehebu mbalimbali mkoani Arusha leo wameungana katika ibada maalum ya Ijumaa Kuu kumuombea Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda, kwa ajili ya uongozi wake na ustawi wa Mkoa wa Arusha. Ibada hiyo ya Pasaka – Ijumaa Kuu imefanyika katika viwanja vya...
  15. La3

    Maombi ya kazi

    Sa
  16. S

    Matumizi mabaya ya Maombi

    Unaishi kihuni hujali HAKI za watu. Wakidai HAKI zao unawaona maadui. Yanakukuta yakukukuta ambayo kimsingi ni mavuno ya Mbegu mbovu uliyoipanda unaanza kutaka tukuombee. Hapo hamna namna zaidi ya kufanya amani na wote uliowadhulumu HAKI zao au uwajibike kivyako kwa matendo yako. Waombaji...
  17. Davidmmarista

    Wadau, hivi maneno haya yasiyoeleweka wakati wa maombi ni kuigiza au kipawa maalum?

    Wadau wa JamiiForums, habari Natumaini wote ni wazima wa afya na mnaendelea vyema na shughuli zenu za kila siku. Leo nimekuja na hoja moja ya kipekee ambayo kwa muda mrefu imekuwa ikinihangaisha akili, na nina uhakika pia kuna baadhi yenu mmewahi kujiuliza hili swali kimya kimya: Hivi haya...
  18. A

    Ubalozi wa China wabadili utaratibu wa maombi ya Visa

    Kwa wale ambao mara kadhaa tumesafiri ama kuomba visa ya kwenda China, kuna mabadiliko ya kuomba na kupata visa ya China kuanzia tarehe 31 March 2021. Hapo awali ilikuwa tunajaza taarifa zetu online na kisha ku-print ile fomu na kuiwasilisha pale ubalozini pamoja na viambatanishi vingine...
  19. Just Pray

    PreGE2025 Wakala wa Vipimo nchini (WMA) washukuru Rais Samia kwa kutengeneza mazingira mazuri ya kufanya kazi pamoja na kutoa stahiki za kifedha

    Wakala wa Vipimo nchini WMA umeandaa Iftar kwa lengo la maombi na Dua ya ufunguzi wa jengo jipya la ofisi baada ya kukamilika kwa ujenzi wake Jijini Dodoma. Iftar hiyo iliwakuwakutanisha wadau mbalimbali, watumishi wa Ofisi hiyo, Viongozi wa Dini na Viongozi wa serikali. Akizungumza kwa niaba...
  20. I

    Mwanangu analia sana wakati wa maombi

    habari wapendwa mwangu ana mwaka na miezi 6 changamoto yake mwanangu analia sana wakati wa maombi. tena hata kuna wakati mkifika kanisani analia sana anasumbua sana ila pale mnapo rudi nyumbani anakuwa mzima. sijui nini shida. nifanyaje naona kabisa hii si kawaida
Back
Top Bottom