Habari wakuu,
Utangulizi:
Awali yayote nipende toa shukrani kwa Mungu na kwa yeyote atakae wiwa na maombi yangu.
Mimi ni kijana umri miaka 24, nina degree ya accounting with information technology,graduate of 2024, naishi dar es salaam,,,.
Uzoefu:
1. Utafutaji wa masoko na kudeal na wateja...