maombi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maombi maalum kwa waliopo single wanaotaka wenza wao

    Bwana Yesu asifiwe watumishi wa Mungu, karibuni tena katika maombi maalum ya siku 21 kwa walio katika mahusiano kwa ajili ya kuombea mahusiano na uchumba. Day 05 Bwana Yesu, naomba moto wako ukafunike mahusiano yetu na kuyalinda mbali na uharibifu. Yasivunjike bali yakapate kustawi na kufikia...
  2. E

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu Zanzibar yatupa maombi ya wagombea ACT Wazalendo, wafugua kesi upya

    Mahakama Kuu ya Zanzibar imeyatupa maombi madogo ya dharura yaliyowasilishwa na wagombea wa ACT Wazalendo wa Uwakilishi kutoka Majimbo17, yaliyolenga kuzuia Wasimamizi wa Uchaguzi na Mwanasheria Mkuu kuchomaaukuharibu nyaraka za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Uamuzi huo umetokana na hoja ya...
  3. Pdidy

    JamiiForums Tanzania PASTA HANANJA MASHABIK WA BARCELONA NA ARSENAL TUNAOMBA MAOMBI YAKO USIKU HUU WENGINE KITANDA HAKILALIKI

    BABA MTUMISHI ZA ASBH KWANZA NAJUA HAIJAFIKA INAKARIBIA NIMEONA SEHEMU VIJANA MUAMKE.MAOMBI YA USIKU MAISHA YAMEKUWA MAFUPI SANA TUMJUE MUNGU AMEN KUONGEZEA USIKU WA LEO KAMA UJALA MASHABIKI WA BARCELONA NA ARSENAL WANAOMBA MAOMBI YAKO WAPATE AMANI NA FURAHA MAISHAN MWAOO AMEN
  4. D

    JamiiForums Tanzania Ubakaji, Kutesa, Kuua, Kupoteza? Makosa ya Samia ni makubwa mno machawa zidisheni maombi. Hapa haponi mtu

    Hakika angechezea tu Uchaguzi pengine angeepuka adhabu na mauti inayomnyemelea kwa sababu ujinga kama huo wanaufanya Kagame, Museveni, Paul Biya na wengine wengi.. Kuna ushahidi kuwa dunia hupotezea ujinga na wizi wa kura katika chaguzi za Afrika kwa sababu hakika ni ujinga tu. Lakini Unateka...
  5. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania Nina Imani Mwenyezi Mungu ameyapokea maombi

    tebt
  6. Humble AF

    JamiiForums Tanzania Maombi ya kazi -Dental therapist

    Habari wana jamii 🙏. Natafuta kazi ya Dental Therapist. Nimemaliza masomo yangu Agosti 2025 na kwa sasa nipo Iringa, lakini niko tayari kufanya kazi popote. 📞0653711756
  7. jamaikatz

    JamiiForums Tanzania Maombi unayoelekeza kwa Mungu wa mbinguni, yamewahi kukusaidia kwa namna yoyote ile katika maisha yako?

    Maombi unayoelekeza kwa Mungu wa mbinguni, yamewahi kukusaidia kwa namna yoyote ile katika maisha yako ?
  8. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Kwa nini maombi yetu kuhusu mkubwa fella hayajibiwi?

    Watanzania tuna kesha na kuomba. Ila kwa nini maombi yetu kuhusu mkubwa fella hayajibiwi? I wish..............
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nchi haikombolewi kwa maombi. Hata Daudi hakumuua Goliathi kwa maombi

    Mfalme Daudi licha ya kuwa ni mteule wa Mungu hakukaa tu na kutegemea maombi kuwakomboa waisrael kutoka kwenye ukatiri wa wafilisti. Daudi alimuua Goliathi kwa mapambano ili kuwaokoa waisrael na ukatiri wa Goliathi. Kwa hiyo watanganyika cha kufanya mnakijua. Nchi haikombolewi kwa maombi.
  10. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wahitimu wa chuo cha Tanzania Institute of Accountacy waliomaliza 2022 taarifa zao hazipo TCU wala NACTE. Wanashindwa fanya maombi ya kazi uhamiaji

    Wahitimu wa chuo cha Tanzania institute of accountacy waliomaliza 2022 Taharifa zao hazipo TCU wala NACTE na wanashindwa fanya maombi ya kazi uhamiaji. Wakituma details zao kama namba za registaration na cheti hakitambuliki na deadline inakaribia january 11/2026 watu wengi watakosa fursa kwa...
  11. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Maombi ya Toba kutubu dhambi

    Isa 59:2 lakini maovu yenu yamewafarikisha ninyi na Mungu wenu, na dhambi zenu zimeuficha uso wake msiuone, hata hataki kusikia. Mit 28:9 SUV Yeye aligeuzaye sikio lake asiisikie sheria, Hata sala yake ni chukizo TUNAONA DHAMBI inakutenga na Mungu kutokumtii Mungu sheria za Mungu kunamfanya...
  12. H

    JamiiForums Tanzania Maombi yetu ni kwa simba nguvu moja mungu ibarik Tanzania

    Kama naona Mpanzu, anavyo futa makosa leo, ataimbwa sana Trust me
  13. T

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya maombi ajira zimamoto

    Wasiliana na 0623446608 kwa msaada binafsi
  14. Kimbesa11

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ile mifungo ya maombi ya TEC huwa inaishia wapi? Ndio mjue Mungu si binadamu

    TEC huwa wanajifanya wanamifungo ya ajabu ajabu huku wao wenyewe hawawezi hata kuwakanya watu wasiibe Mali za watu, wasichome moto Mali za watu, wasiharibu miundombinu yetu, wasifanye vurugu nchini, wakati wao wenyewe wamejaa roho za mifarakano, roho za vurugu, roho za kutowaheshimu viongozi...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Amani inaletwa na vitendo sio maombi

    Mtaomba mpaka kesho lakini Amani inaletwa na vitendo vya haki vya kila siku sio sala wakati vitendo ni vibaya. Bila vitendo vya haki mtakuwa mnapoteza muda
  16. D

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki, naomba maombi yenu ya tarehe 9.11 na misaada mtakayoikusanya viwaendee pia waliodhulumiwa Mali zao na kazi zao! Mungu awabariki sana

    Bwana asifiwe! Mmeamrishana kufanya Ibada maalumu jumapili hii ya tarehe 9.11.2025 kwa ajili ya kuwarehemu marehemu waliotokana na fujo za juzi katika uchaguzi mkuu pamoja na kuwaombea uzima majeruhi wote. Aidha, mmewataka watu kupeleka misaada kwenu kwa ajili ya majeruhi. Ni jambo jema...
  17. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Kwanini maombi yako hayajibiwi

    KWA NINI MAOMBI YAKO HAYAJIBIWI?? 1.DHAMBI 1 Pet 5:8 Mwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka-zunguka, akitafuta mtu ammeze. Usichokijua ADUI shetani na maajenti wake kama wachawi mapepo wapo kazini masaa 24 wanafanya mashambulizi dhidi yako...
  18. Penguinelli Cactussini

    JamiiForums Tanzania GE2025 Maombi ya kushika Bendera ya Tanzania ili kuiombea taifa kuelekea MO29

    Baadhi ya picha za waumini wakiendelea kuomba Mungu kuelekea siku muhimu ya uchaguzi Oktoba 29 lakini na kile kinachotajwatajwa kama MO 29. Umetenga dakika ama saa ngapi kuliombea taifa kuelekea oktoba 29? Mao
  19. H

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa kimila na asili kusanyikeni kwa maombi kukemea utekaji na mambo mengine yasiyokubalika ndani ya Tanzania!

    Najua kwa asilimia kubwa viongozi wa asili na mila wa sasa ni wanafiki na waongo na ndiyo maana ni "double agents" wa serikali kwa maana kwamba anaendesha shughuli za asili na mila na wakati huohuo ni muumini wa ukristo na uislam,huu ni ukichaa!! Niwaombe kama kweli mnauwezo na kuamini ktk...
  20. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Tumesikia maombi na vilio vya mama Polepole na ndugu zake, mkewe na watoto vipi?

    Japo sijui Humphrey Polepole alizaliwa tarehe ngapi, wikipedia yake inasema alizaliwa mwaka 1980. Hivyo, ameishafikisha umri wa kuoa na kuwa na watoto. Tangu ajiuzulu ulaji na kujigeuza mpinzani wa wahuni wenzake, sikuwahi kusikia akitajwa wala kuonyeshwa mkewe au watoto. Je alikuwa bado...
Back
Top Bottom