maneno ya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. wasumu

    Maneno ya Kiongozi na mwalimu Olumba Olumba Obu

    Hii ni bandiko ambalo kila siku nitakuwa naweka maneno ya Baba mtakatifu OLUMBA OLUMBA OBU Ujumbe wa: Jumatatu (23-06-25) MANDHARI: USafi: UFUNGUO WA UFALME WA MUNGU (Dondoo 4) SOMO LA KWANZA - 1 Wakorintho 5:11 SOMO LA PILI - 1 Wakorintho 6:18 NUKTA YA DHAMABU - 1 Wakorintho 7:4-5...
  2. M

    Viongozi wa CHADEMA jitengeni maneno ya udini kwa baadhi ya wanachama wenu

    Kwa miaka kadhaa CHADEMA ilikuwa ikipakaziwa tuhuma hasi za Udini, Ukanda na Ukabila. Uchaguzi wa chama mwaka huu angalau ukafuta hoja hizo baada ya kina Lisu na Henche kushika nafasi. Hii tabia walioanzisha kina Hilda viongozi wanatakiwa kukemea na kujitenga nayo. Watu smart wanajenga hoja na...
  3. L

    Maneno ya Rais Samia Yanibubujisha Machozi Ya Furaha Mpaka Kuvimba Macho Utafikiri nimeng'atwa na Nyuki waliochokozwa katika Mzinga wao

    Ndugu zangu Watanzania, Maneno yana nguvu,maneno yanaleta hamasa,maneno yana leta ushindi ,maneno yana ponya ,maneno yanaweza fanya Mtu akaingia uwanja wa vita bila silaha mkononi kupambana na mwenye silaha ya kivita na akashinda vita bila silaha, maneno yanaleta amani ya moyo ,maneno yanaleta...
  4. Lord Denning

    Maneno ya Mzee Kikwete " Labda Mambo Yaharibike Saana " yametimia rasmi

    Wahenga walisema nyakati huzungumza. Kuna siku Mzee Kikwete alisema Mgombea wa CCM ni Samia ila haitakuwa hivyo labda mambo yaharibike saana. Sijui kwa nini yule mzee aliongea yale maneno, ila kwa haya yanayotokea hapa nchini Tanzania sasa ni dhahiri shahiri kuwa Maneno yale yametimia. MAMBO...
  5. A

    Maneno ya Jaji Mkuu wa India juu ya Katiba na Mihimili 3 ya nchi. IPO kwa KiingerezaConstitution is supreme, not us': CJI Gavai urges harmony between

    Constitution is supreme, not us': CJI Gavai urges harmony between judiciary, executive, and Parliament | India News - The Times of India In his first public address since assuming office, Chief Justice of India B R Gavai on Sunday asserted that it is not the judiciary, executive, or Parliament...
  6. Lord Denning

    Ukisikiliza maneno ya Nape, DC Longido, Polepole na sasa Naibu Waziri Sangu lazima ukubali No Reform No Election ni Mpango wa Mungu kwa Tanzania.

    Baada ya kusikiliza clip ya maongezi ya Naibu Waziri wa Utumishi Bw. Deus Sangu ambaye pia ni mbunge wa CCM jimbo la kwela, na zile nyingine za Nape, DC Longido na Humprey Polepole kuhusu CCM wanavyoshinda uchaguzi utakubaliana na mimi kuwa No Reform No Election ni mpango wa Mungu kuikomboa...
  7. Yoda

    Maneno ya Kiswahili yaliyopo mbioni kuharibiwa na vilaza

    Siku hizi wavivu wa lugha hawaandiki au kutamka tena Sebule- wanasema seble Muziki- wansema mziki Muda- wansema mda!
  8. A

    Reconciliation, Resilience, reform , Rebuilding ni maneno ya kiingereza yanatakiwa kufuatwa na mstaarabu Yeyote

    Reform=mabadiliko Resilience=ustahimilivu Reconciliation=kuridhiana Rebuilding=kujenga Upya Sasa kumetokea kambi moja inayotumia maneno hayo kama vile ni maneno au tabia yao na wengine wanapata fadhila kwa kupewa maneno hayo. Suala jingine ambalo ni muhimu kuliko kuyatamka maneno hayo ni...
  9. Teknolojia ni Yetu sote

    Atembea umbali wa kilomita 850 kwenda kumpiga mteja aliyetoa maneno ya kejeli mtandaoni

    China bhana kila kitu kinawezekana!! Umeshawahi kuwaza siku utembee umbali mrefu kwenda kumtafutia mteja aliyetukana bidhaa zako na kumpiga. Kuna jamaa mmoja ambaye ni muuzaji wa bidhaa mbalimbali kupitia online Aliweza kutembea umbali wa kilomita 850km ili kumfuata mteja ambaye alitoa maneno...
  10. Nomadiq

    Kama yaliyoandikwa kwenye ufunuo yatatokea, tuna tabu sana!

    Ufunuo imeandikwa mambo ya kutisha sana sana yani sana, mtumishi wa MUNGU Yohana nahisi hata yeye alitetemeka wakati anayaandika mambo hayo. Panapotisha zaidi ni mapigo saba ya malaika saba wenye vikombe vya gadhabu. Yaani nikiwa nasoma halafu naimagine yanatokea. Tetemeko ambalo halijapata...
Back
Top Bottom