mambo

The Museo d'Arte Moderna di Bologna or MAMbo is a purpose-designed museum of modern and experimental art in Bologna, Italy. The Museo Morandi, which displays a large collection of works by Giorgio Morandi, is temporarily housed in a part of it.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    JamiiForums Tanzania Mambo Mengi muda mchache, kijana aende wapi kati ya diploma ya CLINICAL MEDICINE NA PHARMACY

    Njia panda! Nisaidieni aende wapi , with reason. Vyote ni vyuo vya serikali amechaguliwa.
  2. Evelyn Salt

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume, kuombwa pesa ni jambo kubwa kiasi hiki au mnakuza tu mambo?

    Vilio vya wanaume kuombwa pesa na wapenzi wao, naomba tu niseme wapenzi wenu, kama na wasio wapenzi wanawaomba basi mtasema. Ukipita pita mitandaoni katika post tatu haukosi moja inayolalamikia wanawake kuomba pesa...njaa is real mwokozi tuokoe sa tukamuombe nani....😔 Nnajiuliza kwani hili...
  3. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Fahamu Mambo usiyoyajua katika Nchi mbalimbali

    1. Hakuna herufi O kwenye mfumo wa usajili wa vyombo vya moto. Mfano: Huwezi kuikuta gari iko T340, COH. 2. China wanajeshi wa kike hawaruhusiwi kuwa na cheo zaidi ya captain (3 Stars) 3. Jeshi la Marekani hata askari hupigiana salute, huku Bongo salute ni kwa maafisa (Askari ni mwanajeshi...
  4. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Jinsi mizimu ya ukoo ilivyonifanyisha Mambo ya kustaabisha baada ya kukataa kupokea mikoba ya waungwana.

    Mwaka 2005 nikiwa nimezama kwenye imani kali ya ulokole, hapo nikiwa kiongozi wa Ukwata na pia kiongozi wa kiroho kwa vijana wa mtaani kwetu (nilikuwa napita majumbani, naongea na wazee waniruhusu niwafundishe maadili mema watoto wao ikiwemo kazi za nyumbani na za kitaaluma). Kutokana na tabia...
  5. Teleskopu

    JamiiForums Tanzania Heri tungejadiliana mambo haya kwa moyo safi

    LEO nikisema dungadunga si salama Mtu anaweza kusema, “Ah, wewe mpinzani tu.” Lakini kama ningesema miaka kadhaa iliyopita kwamba, “Jamani, itakuja dungadunga ambayo itakuwa si salama” na nikataja mambo kadhaa yanayobainisha namna itakavyokuwa, halafu miaka 10 baadaye hayo yakatokea, ukisema...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Simba SC japo mnaniumiza Moyo kwa Matokeo yenu, ila kwa Kuwapenda Kwangu tafadhali uzingatieni huu Ushauri wangu mambo yatakaa sawa sasa

    1. Timu ipelekwe upesi kwa Mtaalam wetu ama Yule wa Zanzibar au wa Morogoro na achaneni na hawa wa Mikoa mengine kwa Wanatumika vibaya na Maadui zetu. 2. Utaalam wa Kutumia Makafara ( hasa ya Damu ) tuachane nayo na sasa turudi katika ule Utamaduni wetu ambao Marehemu akina Mzee Bamchawi na...
  7. LUKAMA

    JamiiForums Tanzania Saddam Hussein: Siri ya toleo la Qur'an lililoandikwa kwa 'lita 24 za damu' ya rais wa zamani wa Iraq- Dunia hii ina mambo mengi sana

    Mwishoni mwa miaka ya 1990, Saddam Hussein alimwendea mpiga picha akiwa na ombi la kushangaza. Saddam Hussein, ambaye aliingia madarakani mnamo mwaka 1979, alibakia kuwa rais wa Iraq hadi uvamizi ulioongozwa na Marekani mnamo 2003. Alitaka kutengeneza nakala ya Kitabu kitakatifu cha Qur'an kwa...
  8. M

    JamiiForums Tanzania SoC01 Mambo ya kufanya yatayo leta mabadiliko

    Uchumi na Biashara kama tutatengeneza mifumo bora dhidi ya wafanya biashara wadogo (Machinga na mama ntilie) tunaweza kukuza uchumi wetu pamoja na biashara. Mfano Serikali inapo anzisha miji inapo tenga maeneo kwa ajili ya masoko, shule ,hospitali, vituo vya mabasi, nyumba za ibada nakazalika...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Mambo ya ndani iwaangalie hawa graduate kwa jicho la upekee

    Ok
  10. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Mambo ya Ndani, tuambieni Watanzania kuhusu Jeshi la Polisi

    Kwa ufupi sana: Kama nyie ndio wasimamizi wa jeshi letu la polisi: Je: 1. Inaruhusiwa kwa muhusika wa uhalifu kuteswa ili akiri makosa? Mumuvue nguo, Mumning'inize kama popo, mchukue hela zake, mumuchome bibisi, je hii inaruhusiwa na kwa sheria gani, hebu tuambieni? 2. Makomandoo wameenda...
  11. Jerlamarel

    JamiiForums Tanzania 2021 UNGA: Hotuba ya Rais wa Ghana, Nana Akufo Addo Ndiyo Hotuba Bora Kabisa Inayogusa Mambo Mtambuka Yanayolikabili Bara la Afrika

    Hii hotuba kwa kweli imegusia maswala ya msingi sana na ambayo marais wengine wameogopa kuyaongelea kwa kuwaogopa donor countries. Mojawapo ya hayo mambo ni kama yafuatayo: 1. Afrika inatakiwa kujenga uchumi ambao hautegemei misaada na mikopo, kwa sababu uzoefu wa muda mrefu na wenye uchungu...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Wizara ya mambo ya ndani iwaangalie graduates kwa jicho la huruma

    Mtaani kuna graduates wengi sana wenye elimu ya vyuo vikuu.Kinachouma na kuumiza ni pale hizi ajira za wizara ya mambo ya ndani(polisi,magereza ,uhamiaji na zimamoto) kuwabagua vijana wenye elimu za shahada.Vijana wadogo wenye elimu za kidato cha NNE wanaajiriwa wenye shahada wanaachwa hii...
  13. The Grace

    JamiiForums Tanzania SoC01 Elimu ya Juu: Dondoo za Kuzingatia

    Ukweli uko wazi sasa na sio swala la siri tena. Maisha yetu yanategemea asilimia 30 akili ya darasani na asilimia 70 juhudi zetu na akili zetu za kuzaliwa. Nikiwa kama mwanafunzi wa elimu ya juu kuna mambo nimekuja kujifunza japo kwa kuchelewa ila nina imani ilikua wakati sahihi. Nikiwa kama...
  14. Artifact Collector

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mambo ya kujua kabla hujaoa

    Kabla hujao kama mwanaume lazima ujue mambo yafuatayo Watatokea wanawake wengine wataonyesha nia ya kukutaka ukiwa kwenye ndoa Wakati ukiwa umeoa watatokea wanawake ambao wamemzid mkeo kila kitu uzuri, smartness, na kindness ni vizuri ukalifahamu hilo kabla ya kuoa, kwanin nasema hivi kuna mto...
  15. Kwa Imani

    JamiiForums Tanzania SoC01 Mambo yanayoikwamisha jamii yetu isipige hatua

    Kitu kikubwa kinachofanya jamii isiendelee ni kulazimishana fani. Ni vema Kila mtu aachwe afanye kazi anayoipenda.
  16. Hell is real

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana na wazee acheni uzinzi na uasherati

    Habari wakuu? Hawa vijana wa kisasa wanajua mambo haya kuwa uzinzi na uasherati ndio uliosababisha sodoma na gomora kuchomwa? Dhambi ya uzinzi na uasherati imewapeleka watu wengi motoni na wataendelea kwenda, wokovu upo bado hizi anasa na tamaa za kimwili zina mwisho wake lakini maisha yako...
  17. BAKIIF Islamic

    JamiiForums Tanzania Wajibu wa mtoto kuwafanyia wazazi wake mambo 10

    Assalamualaikum Mambo 10 unatakiwa kuwafanyia wazazi wako wakiwa hai. 1-Ikiwa umeshafikia balekhe na una jitegemea kimaisha, ni wajibu wako kuhakikisha wazazi wako hawalali njaa. (BABA na MAMA kula yao ni wajibu wako mtoto): Utawahudumia chakula kama wao walivyokuwa wakikuhudumia wakati wa...
  18. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mbowe na Wenzake: Polisi Wazuia watu kuingia kufuatilia, Mawakili wa Utetezi watoka nje. Kesi yarejea na kuahirishwa mpaka 17 Sept

    Freeman Mbowe na wenzake wameletwa tayari. Lakini ulinzi mkali umeimarishwa. Askari wengi. Pia kuna zuio la watu kuingia ndani ya mahakama. Wanasema ni mawakili 20 tu, wanahabari 10 (leo wameruhusiwa), ndugu 5, Viongozi 5, lakini simu marufuku. Askari magereza wanalalamika kwamba jana tumefanya...
  19. N

    JamiiForums Tanzania SoC01 Fahamu mambo yanayofanya Wajasiriamali/Wafanyabiashara wadogo wadogo washindwe kufikia malengo

    Karibuni tena wapendwa kujifunza tena kupitia JAMIIFORUMS. Na leo tutapata wakati mzuri wa kujifunza juu ya mambo ambayo baadhi ya wajasiriamali/wafanyabiashara wanayakosea na hivo kushindwa kufikia malengo yao. Mjasiriamali ni nani? Ni mtu yeyote yule anayujishughulisha na kazi mbalimbali kwa...
  20. MSAGA SUMU

    JamiiForums Tanzania Kwa uchapakazi huu wa Rais Samia, CHADEMA tujipange sana 2025, tunaweza kukosa hata Mbunge mmoja

    Muonekano wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato utakavyokuwa mara baada ya ujenzi wake kukamilika kwa awamu ya kwanza inayohusisha barabara za kuruka na kutua ndege pamoja na jengo la abiria. Mkataba kwa ajili ya ujenzi wa kiwanja hicho unagharimu takriban shilingi bilioni 165 za...
Back
Top Bottom