Huu nao ni upepo tu utapita na mambo yatakua shwari

muafi

JF-Expert Member
Oct 6, 2015
2,117
4,808
Ukifuatilia siasa za Tanzania ndivyo huwa zilivyo hivi hasahasa CCM ndio huwa wanaleta taharuki ukiwa mgeni kwenye haya mambo unaweza kudhani nchi itagawanyika lakini la hata haitakua hivyo hali itatulia na mtasahau,

rejea tu kipindi cha hayati JPM kulikua na mafukuto mpaka Nape akakoswa koswa kulamba chuma hadharani kweupe,

Kipindi icho nchi ilikua iko moto mpaka Makonda kuwataja akina Lizimoko kwenye magenge ya wauzaji wa madawa ya kulevya, rejea ally happi alivyowapopoa akina kinana kama wadogo zake vile,
katika kipindi hicho watu walijua CCM inagawanyika,

rejea kipindi membe na genge lake wanasuka mipango mshua akawashtukia akafukuza hadi akina sofia simba,

hayo ni matukio ya juzi tu mkianza kutejea mbali zaidi hadi Lowasa kwenda UKAWA na kambi yake yote ya akina Musukuma ikamsaliti, rudi nyuma hadi kipindi cha akina mwinyi na kipindi kile Mrema anabwaga manyanga, kipindi cha jakaya hadi Alisema kuwa CCM ina mafisi maana walifika hatua hawaachianai maji mezani,

najaribu kuwakumbusha tu CCM ni ile ile na haya mambo ya kufarakana wao kwa wao hayajaanza leo na huu ni upepo tu utapita na maisha yataendelea

nitoe wito kwa CHADEMA wajikite kujenga chama chao waache kudandia dandia mambo wasikae hata siku moja wakadhani CCMitagawanyika never,

nimemsikia Mbatia akisema anaenda mahakamani kuzuia mchakato wa spika

nimecheka sana hivi huyu mtu anapata wapi mda wa kupoteza hivyo badala huo mda angeutumia kwenda mashinani kujenga ilo chama lake lililooza hata halijukani kwa watu wa vijijini?
 
Ukifuatilia siasa za Tanzania ndivyo huwa zilivyo hivi hasahasa CCM ndio huwa wanaleta taharuki ukiwa mgeni kwenye haya mambo unaweza kudhani nchi itagawanyika lakini la hata haitakua hivyo hali itatulia na mtasahau,

rejea tu kipindi cha hayati JPM kulikua na mafukuto mpaka Nape akakoswa koswa kulamba chuma hadharani kweupe,

Kipindi icho nchi ilikua iko moto mpaka Makonda kuwataja akina Lizimoko kwenye magenge ya wauzaji wa madawa ya kulevya, rejea ally happi alivyowapopoa akina kinana kama wadogo zake vile,
katika kipindi hicho watu walijua CCM inagawanyika,

rejea kipindi membe na genge lake wanasuka mipango mshua akawashtukia akafukuza hadi akina sofia simba,

hayo ni matukio ya juzi tu mkianza kutejea mbali zaidi hadi Lowasa kwenda UKAWA na kambi yake yote ya akina Musukuma ikamsaliti, rudi nyuma hadi kipindi cha akina mwinyi na kipindi kile Mrema anabwaga manyanga, kipindi cha jakaya hadi Alisema kuwa CCM ina mafisi maana walifika hatua hawaachianai maji mezani,

najaribu kuwakumbusha tu CCM ni ile ile na haya mambo ya kufarakana wao kwa wao hayajaanza leo na huu ni upepo tu utapita na maisha yataendelea

nitoe wito kwa CHADEMA wajikite kujenga chama chao waache kudandia dandia mambo wasikae hata siku moja wakadhani CCMitagawanyika never,

nimemsikia Mbatia akisema anaenda mahakamani kuzuia mchakato wa spika

nimecheka sana hivi huyu mtu anapata wapi mda wa kupoteza hivyo badala huo mda angeutumia kwenda mashinani kujenga ilo chama lake lililooza hata halijukani kwa watu wa vijijini?
Usikariri matukio ndugu, SII Kila siku juma mosi.
 
Hivi mnataka matukio kama haya yanayoligusa taifa yapite hivi hivi watu wakae kimya?
Suala hapa ni muhimili uliojichimbia chini zaidi kuhodhi mihimili mingine!Ndio hapo agenda ya Katiba mpya na umuhimu wake unapoonekana!Na hiyo Katiba mpya ni agenda ambayo upinzani wamekuwa nayo Kwa muda mrefu,na sehemu yenye mapungufu inayopigiwa kelele ni mamlaka makubwa aliyopewa Rais!
Sasa kama unashindwa kuona connection ya hili tukio na agenda Yao ya Katiba mpya basi utakuwa na upungufu kwenye uwezo wako wa kufikiri!
Tafakari!
 
kwaiyo na wewe unasubiri CCM ipasuke kama chadema wanavyosubiri
Kwani chama chukua chako mapema(ccm) kina pasuka mara ngapi? Waulize wenzio watakuambia.Inawezekana upo usingizini unaota.
 
Ndugai kaingia Cha kike.
Licha ya kuomba msamaha mama kachomoa betri huyo yeye mwenyewe asingeweza kujiuzulu.
 
Hivi mnataka matukio kama haya yanayoligusa taifa yapite hivi hivi watu wakae kimya?
Suala hapa ni muhimili uliojichimbia chini zaidi kuhodhi mihimili mingine!Ndio hapo agenda ya Katiba mpya na umuhimu wake unapoonekana!Na hiyo Katiba mpya ni agenda ambayo upinzani wamekuwa nayo Kwa muda mrefu,na sehemu yenye mapungufu inayopigiwa kelele ni mamlaka makubwa aliyopewa Rais!
Sasa kama unashindwa kuona connection ya hili tukio na agenda Yao ya Katiba mpya basi utakuwa na upungufu kwenye uwezo wako wa kufikiri!
Tafakari!
Watupe mo katiba mpya hawata wasikia hata sukuma gang, na mivutano mingine🤔
 
Hivi mnataka matukio kama haya yanayoligusa taifa yapite hivi hivi watu wakae kimya?
Suala hapa ni muhimili uliojichimbia chini zaidi kuhodhi mihimili mingine!Ndio hapo agenda ya Katiba mpya na umuhimu wake unapoonekana!Na hiyo Katiba mpya ni agenda ambayo upinzani wamekuwa nayo Kwa muda mrefu,na sehemu yenye mapungufu inayopigiwa kelele ni mamlaka makubwa aliyopewa Rais!
Sasa kama unashindwa kuona connection ya hili tukio na agenda Yao ya Katiba mpya basi utakuwa na upungufu kwenye uwezo wako wa kufikiri!
Tafakari!
unafikiri bila wananchi kuamua kutaka katiba mpya CHADEMA wataweza? hii nchi imeshashindikana kwasababu wananchi hawajali leo hii ukisema tuandamane kushinikiza serikali ifanye kitu fulani, utashangaa unajikuta pekeako
 
kwaiyo na wewe unasubiri CCM ipasuke kama chadema wanavyosubiri
Ccm ilishakufa kitambo kwenye kifo cha baba wa taifa.

Kilichopo kwa sasa ni kivuli cha ccm ndiyo maana wanalazimika kukilinda kwa mitutu na delaya.
 
unafikiri bila wananchi kuamua kutaka katiba mpya CHADEMA wataweza? hii nchi imeshashindikana kwasababu wananchi hawajali leo hii ukisema tuandamane kushinikiza serikali ifanye kitu fulani, utashangaa unajikuta pekeako
Ndio kazi ya vyama vya siasa kuwahamasisha wananchi na kuwaelimisha juu ya umuhimu wa Katiba mpya mpaka waelewe!Na Moja ya mfano katika kuwaelimisha ni hili la mvutano uliotokea Kati ya Rais na Spika na ikapelekea Spika kushinikizwa kuachia ngazi!
Hili jambo halina afya Kwa nchi,itapelekea hukna mbeleni hata mambo ya hovyo yatapita bungeni maana yanapelekwa na mawaziri Kwa baraka za Rais!
Hata masuala ya Tozo kama ulimsikia Ndugai,walilazimishana ipitishwe uwe unataka au hutaki twende!
Spika gani atasimama dhidi ya serikali baada ya kuona kilichomkuta Ndugai????

Bunge limehalalishwa kuwa rubber stamp!
 
Hapana mkuu tusipokua makini tunakoelekea ni pabaya zaidi.
 
Ukifuatilia siasa za Tanzania ndivyo huwa zilivyo hivi hasahasa CCM ndio huwa wanaleta taharuki ukiwa mgeni kwenye haya mambo unaweza kudhani nchi itagawanyika lakini la hata haitakua hivyo hali itatulia na mtasahau,

rejea tu kipindi cha hayati JPM kulikua na mafukuto mpaka Nape akakoswa koswa kulamba chuma hadharani kweupe,

Kipindi icho nchi ilikua iko moto mpaka Makonda kuwataja akina Lizimoko kwenye magenge ya wauzaji wa madawa ya kulevya, rejea ally happi alivyowapopoa akina kinana kama wadogo zake vile,
katika kipindi hicho watu walijua CCM inagawanyika,

rejea kipindi membe na genge lake wanasuka mipango mshua akawashtukia akafukuza hadi akina sofia simba,

hayo ni matukio ya juzi tu mkianza kutejea mbali zaidi hadi Lowasa kwenda UKAWA na kambi yake yote ya akina Musukuma ikamsaliti, rudi nyuma hadi kipindi cha akina mwinyi na kipindi kile Mrema anabwaga manyanga, kipindi cha jakaya hadi Alisema kuwa CCM ina mafisi maana walifika hatua hawaachianai maji mezani,

najaribu kuwakumbusha tu CCM ni ile ile na haya mambo ya kufarakana wao kwa wao hayajaanza leo na huu ni upepo tu utapita na maisha yataendelea

nitoe wito kwa CHADEMA wajikite kujenga chama chao waache kudandia dandia mambo wasikae hata siku moja wakadhani CCMitagawanyika never,

nimemsikia Mbatia akisema anaenda mahakamani kuzuia mchakato wa spika

nimecheka sana hivi huyu mtu anapata wapi mda wa kupoteza hivyo badala huo mda angeutumia kwenda mashinani kujenga ilo chama lake lililooza hata halijukani kwa watu wa vijijini?
Wewe mwenyewe umepataje muda wa kuandika huu upupu, kwa kifupi mmepoteza direction na mtauana tu
 
Ukifuatilia siasa za Tanzania ndivyo huwa zilivyo hivi hasahasa CCM ndio huwa wanaleta taharuki ukiwa mgeni kwenye haya mambo unaweza kudhani nchi itagawanyika lakini la hata haitakua hivyo hali itatulia na mtasahau,

rejea tu kipindi cha hayati JPM kulikua na mafukuto mpaka Nape akakoswa koswa kulamba chuma hadharani kweupe,

Kipindi icho nchi ilikua iko moto mpaka Makonda kuwataja akina Lizimoko kwenye magenge ya wauzaji wa madawa ya kulevya, rejea ally happi alivyowapopoa akina kinana kama wadogo zake vile,
katika kipindi hicho watu walijua CCM inagawanyika,

rejea kipindi membe na genge lake wanasuka mipango mshua akawashtukia akafukuza hadi akina sofia simba,

hayo ni matukio ya juzi tu mkianza kutejea mbali zaidi hadi Lowasa kwenda UKAWA na kambi yake yote ya akina Musukuma ikamsaliti, rudi nyuma hadi kipindi cha akina mwinyi na kipindi kile Mrema anabwaga manyanga, kipindi cha jakaya hadi Alisema kuwa CCM ina mafisi maana walifika hatua hawaachianai maji mezani,

najaribu kuwakumbusha tu CCM ni ile ile na haya mambo ya kufarakana wao kwa wao hayajaanza leo na huu ni upepo tu utapita na maisha yataendelea

nitoe wito kwa CHADEMA wajikite kujenga chama chao waache kudandia dandia mambo wasikae hata siku moja wakadhani CCMitagawanyika never,

nimemsikia Mbatia akisema anaenda mahakamani kuzuia mchakato wa spika

nimecheka sana hivi huyu mtu anapata wapi mda wa kupoteza hivyo badala huo mda angeutumia kwenda mashinani kujenga ilo chama lake lililooza hata halijukani kwa watu wa vijijini?
Chama kinajisifia ni chama cha nguvu huku kunapoteza ushindani huru kwa kuwaziba wengine mdomo blackfeken yana mwisho wemu uleee, endeleeni kwanza na mavagi yenu
 
Back
Top Bottom