malengo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Z

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wasipojifunza ustaarabu watapoteza malengo

    Endapo CHADEMA inataka kufikia malengo yake ya kisiasa basi wanapaswa kubadilika au kubadili aina ya style waliyo izoea kuitumia. 1. Waachane kabisa na lugha za matusi na kejeli ambazo tangu awali wamezizoea. Mara nyingi viongozi wa CHADEMA na hata wafuasi wake wamekuwa wakitumia kauli za...
  2. Slowly

    JamiiForums Tanzania Nini kinamkwamisha Harmonize kufikia malengo anayoyatamani?

    Harmonize amekuwa akitamani kutawala soko la mziki Tanzania , amejitahdi Sana Kwa Kias chake ,media kubwa zinampigia chapuo , Baadh ya accont maarufu za wambea Instagram pia zipo nyuma yake. Na kuna watangazaji pia ambao richa ya kuonekana kama wehu eg mwijaku ,lakn hawajali ni kama wamejitoa...
  3. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kwenye madini na kamari(casino) ukienda na malengo hufanikiwi

    Habari, Hivi unajua kuwa ukienda Machimbo madogo ya dhahabu au madini ya vito unatakiwa kuweka uchu wa mafanikio mbali? Malengo yoyote hupaswi kuweka. Nenda machimbo fanya kazi kama kazi wala kichwani usijijazie mimali. Hii kanuni pia iko kwenye macasino. Ukicheza casino huku unapigia hesabu...
  4. Corticopontine

    JamiiForums Tanzania Ni nani anayeingilia hii mifumo ya Taasisi nyeti za Nchi? TRA, TPA, TANESCO na ana malengo gani?

    Huyu anayeingilia hii mifumo kumhujumu mama Samia ni nani na anataka nini na ana nguvu kiasi gani? na lengo lake ni nini?
  5. Jumbe Brown

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan: Heshima, Kujiheshimu, kuwa na malengo na kujua wapi unapotaka kwenda

    Akiongea na wanafunzi na watoto wa kike, mh.Rais Samia Suluhu Hassan ALIWASHAJIISHA adabu na nidhamu vijana hao huku akiwasimulia mikasa aliyoipata katika safari yake ya maisha. Alianza kuwaelezea mapito aliyopitia katika UWAJIBIKAJI WAKE WA KAZI katika SEKTA BINAFSI na TAASISI ZA KISERIKALI...
  6. Xi jiping

    JamiiForums Tanzania Uliwezaje kutengeneza laki mbili kwa siku?

    Aisee leo nimeshangaa naambiwa kuna jamaa anatengeneza MILLION KWA SIKU MOJA wakati hiyo ni budget yangu miezi 2. Malengo yangu kwa sasa ni kuweza kutengeneza laki 2 tu kwa siku!Mlioweza mliwezaje kutengeneza 200,000/= kwa siku moja?
  7. boniuso

    JamiiForums Tanzania Fursa ambayo kila mtu anaiona hiyo siyo fursa

    MAKOSA 3 AMBAYO WATU WENGI HUFANYA WANAPOWEKA MALENGO Kila mtu hujiwekea malengo yake kwa kukusudia kubadilisha maisha yake lakini malengo mengi huwa hayatimii Watu wengi huwa hawajifunzi ila huiga na kufanya vitu kwa sababu wameona kuna watu wanafanya Kama utakuwa miongoni wa watu wengi...
  8. Elvis Legacy

    JamiiForums Tanzania Hatua za awali kabla ya kufikia malengo kisiasa ukiwa CCM

    Hatua za awali kabla ya kufikia malengo kisiasa ukiwa CCM. 1. Tafuta kadi ya CCM kwenye tawi lako. Kisha jenga mahusiano ya karibu na viongozi wa matawi na kata. (SIASA MAHUSIANO) 2. Soma katiba, kanuni na miongozo ya chama, vitabu kama kanuni za maadili na uongozi na kanuni za uchaguzi vikae...
  9. William Mshumbusi

    JamiiForums Tanzania Unajua ni vigumu kiasi gani kwa Rais Samia Suluhu Hassan kufikia malengo yake

    Rais Samia Anaweza kuwa Rais Bora kabisa kutokea nchini Tanzania. Ila kinachotokea Sasa ni kama kila mtu anataka kuandika anachokiamini kwenye kitabu chake. Sasa kuna mnyukano mkubwa, CCM na wapinzani kila moja akitaka aende kwenye uelekeo wa kisiasa unaupa nafuu upande wake. Hata kesho...
  10. kikoozi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nampenda binti wa kitajiri ila ana kiburi, jeuri na dharau. Je, nimuoe?

    Habari za uzima ndugu, nina binti mmoja nipo nae kwenye mahusiano. Huyu binti kiukweli kabisa kutoka moyoni ni binti ambaye si wife material (kwangu), ila kuna kitu huwa nakiwaza sana kichwani. Huyu binti kwao ni watu wenye uwezo mkubwa sana kipesa, yaani wana pesa sana sana sana wameiacha...
  11. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Prof. Lipumba: Rais Samia ajiwekee malengo ya kushinda tuzo za Mo Ibrahim kwa kurejesha Utawala bora na Demokrasia

    Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan kujiwekea malengo ya kutwaa tuzo ya Mo Ibrahim ya utawala bora kwa kurejesha utawala bora unaojali msingi ya demokrasia. Ameyasema hayo leo Alhamisi Aprili mosi, 2021 katika mkutano wake na waandishi wa habari jijini...
  12. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Kwani Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) haiwezi kuwa na accounts za malengo kwa wanafunzi wa darasa la kwanza?

    Habari zenu waungwana wa humu jamiiforums Kwanini Bodi ya mikopo ya elimu ya juu (HESLB) isianzishe campaign ya kuhamasisha wazazi kuanza kuwalipia watoto wao pesa kidogokidogo katika accounts maalum ya bodi wangali wakiwa bado wanasoma elimu ya msingi (Darasa la Kwanza)? Jenga picha mtoto...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Mastai: Nilimuunga mkono hayati Magufuli na sasa namuunga mkono Rais Samia, akitugeuka na mimi namgeuka

    Mchungaji wa Kanisa la KKKT Kimara, Dr Mastai amesema yeye alimuunga mkono hayati Magufuli kuanzia siku ya kwanza aliyoingia madarakani hadi Jumapili iliyopita alipomfanyia maombezi maalumu Kanisani. Mchungaji Mastai amesema hata sasa anamuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan lakini akitugeuka...
  14. 0ozg Tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini kwasasa wanawake wengi wamekuwa hawana huruma na malengo mema kwa waume zao

    Kwasasa usitegemee mwanamke anaweza kukuonea huruma wewe mume wake, haijalishi unapambana vipi kwa ajili ya familia yako, anytime anaweza kukufanyia tukio la hatari. Kwasasa hawa viumbe tuliozoea kuamini kuwa wana huruma, huruma wamebakiza kwa watoto wao na kwa ndugu zao wa damu tu. Sometimes...
  15. and 998 others

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanandoa Kijana, usikubali Mwenza aue ndoto zako

    Vijana wengi mnakimbilia ndoa. Ni jambo jema, ila wengi wenu mkishaingia humo mnasahau malengo yenu katika maisha (career, business/ investment) maisha si kukopa benki na kununua IST/Crown baadae kujenga banda Mbagala au Mbondole bali fikiria investment hususani ya kuongeza kipato. KAMWE...
  16. Bata batani

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushawahi kuingia katika mahusiano na mtu ambaye huna malengo naye ila yeye ana malengo na wewe

    Nakumbuka ilikuwa mwaka 2016, kuna binti nilijikuta naanzisha mahusiano na yeye lakini nilikuwa sina malengo nae ya ndoa ila yeye alikuwa na malengo na mimi ya ndoa, alikuwa anapigania sana nimuoe. Ila mahusiano yetu hayakudumu binti aliniacha kwa sababu alikuwa anaona simtunzi, simpi hela...
  17. Idrisajr

    JamiiForums Tanzania Ninahitaji watu wenye idea na video production watakaokuwa tayari kujitolea kufanya project free ila kwa malengo

    Nadhani kwa wale wenye idea na mambo ya movie making wanaelewa ila lengo la kuanzisha hii thread ni kukutanisha watu wenye mawazo tofauti ya idea moja. Na sio mawazo tu hata nyenzo(vitendea kazi) naamini tupo vijana wengi ambao tuna idea ila jinsi ya kuzifikisha kuna vitu vinatukwamisha kama...
  18. Grahams

    JamiiForums Tanzania Mwaka Mpya 2021 umeanza; umejiwekea Malengo yapi? Malengo yangu niliyojiwekea ni haya

    Salaam, Mwaka 2020 umeisha na sasa tumeanza Mwaka Mpya 2021. Wengi mtakuwa mlijiwekea malengo mbalimbali yawe makubwa, ya kati au madogo kwa mwaka uliopita, lakini kwa sababu mbalimbali kuna mliofanikiwa kuyatimiza na wengine mkashindwa kuyatimiza. Sizungumzii kuhusu malengo ya kuoa au kuolewa...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Malengo yangu mwaka 2021 ni kuacha pombe, umalaya na ku-bet

    Wakuu salaam! Mwaka 2020 Nimeamua na nimedhamiria kuacha mambo haya: 1. Pombe 2. Umalaya 3. Ku-bet Hii combination inafanya natumia zaidi ya laki 6 kwa mwezi wakati kipato changu ni chini ya 500k, najikuta katika madeni ya kijinga kijinga. Nimedhamiria kumrejea Muumba, yaani kwa dhambi...
  20. Youth Worker Tanzania

    JamiiForums Tanzania Faida ya kuandika malengo

    Wakuu Habari, Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa nafasi ya Uhai na salama . Leo niandike jambo kuhusu kuandika Malengo Mwanzo niliamini ni maneno tu kama yalivyo mengine hasa yale yanayosemwa na Inspirational na motovational Speakers, ambao hivi karibuni wamekuwa wakidhihakiwa kama...
Back
Top Bottom