Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 664
- 1,272
Huyu anayeingilia hii mifumo kumhujumu mama Samia ni nani na anataka nini na ana nguvu kiasi gani? na lengo lake ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wnawainua wasukuma bila kujuaSubiri kina Bujibuji wakiamka watakwambia ni sukuma gang
asante studio.TISS si wapo? Au kazi yao iliishia kweye kuiba kura?
Kwani mwendazake alipokuwa anasema hii inchi watu wameichezea sana hamkumuelewa haya eleweni sasa mwendazake kaenda watu washaanza ichezea
Were unazani hizo pesa wanazokisanya katika vituo vya tanesco kuuza umme zitaenda zote serikalini upigaji na uhuni umeaanza watu wanataka washike pesa cash mambo ya mifumo mifumo inawachelewesha sana
Kwani amekaa hata mwaka ?!!!Nikili wazi SAMIA HATUFIKISHI POPOTE kwa mwendo huu LUKU TOKA J3 HADI LEO ALHAMIS WATU WAKO GIZANI RAIS YUPO TU hasemi lolote
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nyie sukuma gang ndiyo mlimpoteza Jiwe maboya mpaka corona ikamtandika, mmeanza kwa SSH tenaNikili wazi SAMIA HATUFIKISHI POPOTE kwa mwendo huu LUKU TOKA J3 HADI LEO ALHAMIS WATU WAKO GIZANI RAIS YUPO TU hasemi lolote
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wajane wa yule dhalim mko wengi sanaHuyu Maza atafanya tuchezewe mara ya pili baada ya mkwere. Nchi inatakiaa mtu unalipiliza ndo unaingia ikulu.watanzania ni washenzi Sana kama wanaigeria vile .hapo washamsoma Maza baada ya kujivisha u Vasco da Gama
Tujulushe unachokifahamu ili tuweze kutoa michango yetu,pamoja tujenge taifa letu.Huyu anayeingilia hii mifumo kumhujumu mama Samia ni nani na qnataka nn na ana nguvu kiasi gn? na lengo lake nn nn