1. Usiposalimia wakubwa asubuhi, unapigwa.
2. Usiposalimia wageni, unapigwa.
3. Ukinawa kabla ya wageni, unapigwa.
4. Ukilia bila sababu, unapigwa.
5. Ukinyanyuka wakati wa kula kabla ya wakubwa kuinuka, unapigwa.
6. Wakubwa wakiwa wamekaa wewe ukaenda kusimana pembeni, unapigwa.
7. Ukikaa...