Kwenye maisha usikate tamaa

Kwenye maisha usikate tamaa

Nevergive up

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2024
Posts
433
Reaction score
705
Miaka 6 iliyopita nilikuja DSM kutafuta maisha kutoka mkoa fulani nikiwa na elimu ya form 4 tu, basi nikawa napiga mishemishe huku najisomesha nakaa kwa washikaji tu. Hatimae naliaga jiji la Dsm nikiwa mtumishi wa government. Usijikatie tamaa Mungu yupo
 
Back
Top Bottom