maisha

  1. Fbn

    Kwanini watu husema siasa siyo maisha yao, lakini kila wakilalamika kuhusu maisha yao, huwa ni mambo ya kisiasa?

    Hii ni hali ya mkinzano (conflict) kati ya kutoelewa kiundani nafasi ya siasa katika maisha, na athari halisi ya siasa katika maisha ya kila siku. Sababu Kuu Kwa Nini Watu Husema “Siasa Siyo Maisha Yao”sababu ya Kutoelewa Siasa kwa Maana Halisi ambayo Wengi hudhani siasa ni Vurugu na mabishano...
  2. Rorscharch

    Baraka Zinazoumiza, na Laana Zinazojenga: Umezaliwa na Kipi Kinachokuletea Faraja? Na Kipi Kinakubebesha Huzuni?

    Katika utulivu wa usiku, peke yako, kabla hujalala, kuna sauti ile ya ndani inayokuuliza: “Ningekuwa nani kama singezaliwa hivi nilivyo?” Sauti hii haijibu kwa haraka, haipigi kelele, lakini huacha mdundo fulani moyoni—wa tafakuri, wa uchungu, wa kukiri kimya kuwa maisha hayakuwahi kuwa meza...
  3. M

    Deni la Taifa limefikia Tril 107 lakini hali ya maisha ya watanzania wa hali yanazidi kuwa mabaya.

    Hii inaleta tafsiri gani? Mbona hizo pesa nyingi zinazokopwa mbona hazileti mzunguko wa pesa mitaani ili kusisimua uchumi wa taifa. Tembelea biashara za mama ntilie, wafanyabiashara wadogo wadogo , kwenye mabaa na vilabu vya pombe za kienyeji hali ni ngumu. Hii dhahiri kuwa tunakopa matrilion...
  4. Hamissi Hamza Jr

    Huwezi kutoboa maisha kwa betting

    Kumekuwa na Wimbi kubwa la Watoto,vijana na wazee kuwa Waraibu wa Kamali kwa kutafuta mkato wa kufikia mafanikio kirahisi", Wewe una shillingi 500 au 1000 unataka uwe milionea uliona Wapi Maisha Ni Probability Game Lazima Chochote Unachofanya uangalie Gain Ratio na Lose Ratio", Lose ration...
  5. Surya

    Muamuzi wa maisha ya Binadamu ni Mungu, Maisha ni ubatili

    Yaliyomkuta Mfalme Daudi. Mipango ya Mungu na Udhaifu wa Binadamu: Hadithi ya Daudi na Absalomu Katika safari yetu ya maisha, mara nyingi tunajiuliza ni kiasi gani cha hatima yetu kimepangwa na ni kiasi gani tunatengeneza sisi wenyewe. Imani ya kwamba Mungu hupanga kila kitu ni jambo lenye...
  6. Allen Kilewella

    Mnahangaika kuzungukazunguka bila ya sababu, zikeni maisha yaendelee

    Kati ya vitu vyenye utata duniani KIFO ni kimojawapo. Mpaka sasa duniani kuna mabishano juu ya uhai ni nini ili ikijulikana watu wazuie KIFO. Na utata juu ya kifo umekuja kwa kuwa watu hawajui uhai ni nini. Je uhai ni pumzi, ubongo, moyo, au nini? Watu wa falsafa nao hawapo nyuma, wanadai uhai...
  7. Fbn

    Huyu fundi umeme kaacha alama kwenye nyumba hii

    Sija jua jina la fundi ila nimeona kaacha alama ndani ya jengo.
  8. The redemeer

    Kanuni kuu zinazoongoza maisha ya watu wote ulimwengu

    Muumbaji wa hii dunia aliweka kanuni zinazojiongoza zenyewe kupitia matendo yetu ili kuibalance Dunia. Hizi si kanuni za dini fulani, Kwani zinafanya kazi kwa watu wote duniani bila kujali rangi, utajiri, jinsia, dini,madaraka,kwa anaeamini na asiyeamini nk. Ukienda kinyume nazo...
  9. K

    Maisha yanatazama Yana zungumza na yanawajibika

    Kuna msanii wa hapa kwetu Tanzania Alisha wai kusema maisha Yana ubongo wake Sasa ndugu yangu Kama wewe sio mtu wa kuchunguza Mambo unaweza mwona aliandika hivyo au kuimba hivyo ili tu kuvi weka sawa vina vyake au ili kuufanya ujumbe uifikie jamii kwa usahihi lakini sivyo. Kiukweli maisha...
  10. B

    Nimepokea maoni yenu, Lakini naomba nikatae. Mtakuwa mnahatarisha sana Maisha yangu

    Najua baadhi yenu bado mpo ambao mnapenda muongozwe na mtu mwenye akili na uwezo mkubwa. Binafsi huwa najitahidi sana kuficha kuwa nina akili na uwezo wa kifedha. Sipendi kabisa watu wajue. But kuna wachache huwa wananishtukia. Naishi tu maisha ya kawaida sana na najitahidi kujichanganya nikiwa...
  11. Tauceti Rigel

    Mwanadamu Haharibiki Ghafla, Anateleza Polepole: Mambo 7 Yanayotia Kutu Roho

    Mwanadamu haharibiki kwa ghafla. Huanguka polepole — si kwa kuruka shimoni, bali kwa kuteleza kimya kimya. Na hilo ndilo jambo la kutisha zaidi. Tunaishi zama za uongo wa ndani: Tabasamu ni kinga ya huzuni. Ibada ni kimbilio la matatizo yasiyotatuliwa. Mafanikio ni mashindano ya...
  12. The redemeer

    Maisha ni siasa

    Katika maisha haya ya dunia, tunaishi kwa haraka, tukikimbiza ndoto na matarajio yasiyoisha, lakini mara nyingi tunasahau jambo moja muhimu: Maisha ni sasa, sio kesho, wala si jana. Tunatumia sehemu kubwa ya muda wetu kuishi kwa kusubiri—kusubiri kitu fulani kiwe sawa kabla ya kuanza kuishi kwa...
  13. Powell Gonzalez

    Natafuta mutoto moja swafi, kienyeji msafi tukakule maisha mwishoni mwa wiki hii

    Eh bana eh muhindi amekubali kutoa pesa jana, no risk no story. Japo si pesa mingi lakini inatosha kutumbua maisha na musichana moja ya kienyeji. Burudani tutalianza ijumaa jioni mpaka jumapili alfajiri. Vigezo: uwe dar es salaam, uwe mtoto wa kienyeji sitaki slay queen. Amount to be spent in...
  14. P

    Sasa ni mwendo wa kujitokeza wazi wazi

    Naona kwa sasa nchi inaelekea kwenye uponyaji wa kweli baada ya watu wengi kuondokana na tabia ya kuogopa na sasa wanaongea wazi-wazi. Watekaji wasiojulikana wanakazi ya kuteka wananchi wote wanaopenda haki, mabadiliko ya sheria za uchaguzi, tume huru ya uchaguzi, nk.
  15. OMOYOGWANE

    Ikitokea umefukuzwa kazi au kufirisika ghafla! Plan B yako ni ipi kupambana na maisha?

    Habari wakuu! This is a lateral thinking question!(picha kutoka mtandaoni; chanzo stock photos) Ikitokea umefukuzwa kazi ghafla, au umefilisika ghafla ! Plan B yako ya kunyanyuka tena kiuchumi ni ipi?
  16. ERTUGRUL BEY

    Nilichopenda,Kilicho Nifurahisha na kilicho Nikera Katika Maisha Binafsi Ya Magufuli

    Binafsi hapo awali sikuwa interested sana kufuatilia interview ya Milardi Ayo na Jesca Magufuli,lakini jana katika kupitia hapa na pale,nikasema ebu ngoja nichek hii interview Kiukweli sikujutia kabisa kuangalia yale mahojiano,tena sana sana nilijilaumu kwanini hapo awali sikufuatilia mahojiano...
  17. S

    Maisha ya uswahilini yanataka moyo na yanafomula yake hivihivi tu huyawezi kabisa

    Maisha ya uswahilini ukiwa mgeni huwezi kuelewa wanaishi au wanatania. Umekaa zako tu vizuri chumbani kwako unasikia inje dirishani kwako minong'ono ya watu wakitongozana laivu Hujakaa vizuri unaona wapita njia wanapita barazani kwenu hawana hata habari wanakatiza tu popote njia Unabandika...
  18. D

    Kwanini vijana wengi wa kizazi Cha sasa(2000+) wanafake sana maisha ?

    Wakuu Habari yenu? Hapa Nina Uzi Wenye swali moja tu lakizushi.Hivi kwanini vijana wengi WA kizazi Cha sasa(2000+) wanafake sana maisha ? . Hasa kwenye social medias. zipi ni sababu kuu za hii tabia na je kufake maisha kunawapa faida gani?.Maana kwenye social medias Kila kijana anayejipost...
  19. Mhafidhina07

    Ugumu wa Maisha je, Serikali haifanyi kazi yake au Wananchi wanashindwa kuendana na mifumo ya Kimaendeleo ya Nchi

    Tuweke mjadala mpana zaidi hapa najua kuwa baadhi tunaweza kudokeza kuwa sera,mitazamo,mazingira,utamaduni na mengineyo kuwa ni tatizo,lakini upande wa serikali huwenda ikamuona mwananchi ndiyo tatizo sababu haoni fursa zinazoifungua nchi yake. Hivi kwa mitazami yetu kama wanajamii foroum,ni...
Back
Top Bottom