Wakuu habarini za mchana, leo napenda kuelezea kidogo tuu jinsi kukua kwa tecnolojia kunavyo athiri mahusiano mengi baina ya mwanamke na mwanaume.
Kama una mke, mume, mpenzi na kwenye simu yake anatumia app kama hitwe, badoo, thinder, nk. yako mengi hizo ni chache tuu wajuzi wa mambo...