The Mafuta is a diamond-mining ship owned and operated by De Beers in the western coast of South Africa. Built in 1983 as Dock Express 20 for Dock Express Shipping (later Dockwise), the semi-submersible multirole heavy lift vessel was converted to the world's largest cable layer in 1993. In 2005 she was purchased by De Beers, converted to a subsea diamond mining ship by A&P Tyne over the course of 11 months. The ship's new name, Peace in Africa, may imply that it is providing an alternative to blood diamonds. In 2013, still under ownership of De Beers Marine Namibia, the vessel was renamed to MV Mafuta.
Moja kati ya mambo yanayokera katika nchi hii ni changamoto ya kukatika kwa umeme.
Nakumbuka nikiwa kule kusini mwaka jana, nikiwa kwenye hotel Moja, umeme ukikatika ghafla. Pembe yangu kulikuwa na wazungu wanne wakipata vinywaji. Mara umeme ulipokatika walisikika wakisema, " welcome to...
Miradi ya nishati safi inapogwa rungu na vita kwa nguvu zote, Wachina wakina Xi Jinping watakuwa wanachekea chooni, wanekunua meno to😁.
Waziri wao nishati anadaganya kwamba hata ukizungusha paneli za solar dunia yote utapata nishati kwa 20% ya mahitaji ya dunia wakati wanasayansi wote wanasema...
Lehemu (cholesterol) ni aina ya mafuta kama nta yanayopatikana kwenye damu na kusambaa sehemu mbalimbali za mwili. Kwa kawaida, lehemu ni muhimu sana kwa:
Kuta za seli,
Homoni za mfumo wa uzazi,
Mishipa ya fahamu,
Na hata kutengeneza baadhi ya vitamin.
Ukiangalia nyama ya ng’ombe, yale mafuta...
Pamoja na madhaifu yetu najua wenye nchi hawakuwa wachovu kwenye ku negotiate.
Ni kiasi gani kina Museveni na Muhoozi wanakiacha ili mafuta yao yafike Tanga ?
USIZIME MOTO WA GESI, MAFUTA AU UMEME KWA KUTUMIA MAJI!
Maji yanaweza kusababisha hatari kubwa kama mshtuko wa umeme au mlipuko wa gesi!
Tumia dry chemical powder fire extinguisher (ABC) au fire extinguisher inayofaa!
Usalama kwanza, jifunze njia sahihi ya kuzima moto...
Wakuu,
kama unajua ulitumia hivi vibatari, Punguza Sukari na mafuta.kisha Kumbuka kulala mapema. Muda umeenda sana saivi ni hekaheka tu huwezi mapambano tena ushakua mzee wa siku
Watajwa hapo juu nikero eneo la Kigamboni hasa mida ya asubuhi na jioni, wanapaki Malori yao barabarani na kua kero kwa watumiaji wengine wa barabara. Licha ya mkuu wa mkoa kulizungumzia mwezi uliopita lakini bado hali haijabadilika.
Tunafahamu wapo waliochangia chama, lakini tunaomba mamlaka...
Habari za weekend wakuu
Nahitaji mkamuaji mwenye kiwanda cha mafuta ya ubuyu mkoani Dodoma
Nahitaji kwa wingi sana
Lakini sharti langu ni moja tu
Siku ya kukamua mafuta niwepo nashuhudia
Nimechoka kuchakachuliwa na alizeti🙂↕️🙂↕️
Whatsapp only
0688301635
Punguza Tumbo na Mafuta Mwilini
Ungependa kuondoa kitambi na kuishi na mwili mwepesi, wenye afya na nguvu kila siku?
Soma kwa makini siri hii rahisi lakini yenye matokeo makubwa. Hii ni kwa wewe mwanaume au mwanamke, unaweza kuona mabadiliko makubwa ndani ya muda mfupi.
Kinywaji cha Asubuhi...
Habari wanajamvi!
Mimi nauza mafuta ya alizeti kutoka mkoani singida popote yanafika bei ya Lita ni shillingi elf 6 na punguzo lipo mtu akichkua Mengi Asante
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza agizo rasmi la kuongeza ushuru wa ziada wa asilimia 25 kwa bidhaa zinazoingia Marekani kutoka India, kutokana na India kuendelea kununua mafuta kutoka Urusi.
Hatua hiyo itafanya jumla ya ushuru kwa bidhaa za India kufikia asilimia 50 – moja ya viwango...
Habari,
Naomba kujua kuhusu biashara ya mafuta ya kupikia.
Utajuaje mafuta ya kupikia yanapanda au yanashuka Bei?
Mawakala wa mafuta ya kupikia wanapatikans wap?
Hakuna Kipengele Kigumu Kama Kumkagua Mwekezaji wa Mafuta na Gesi Kama Amerudisha Fedha Alizowekeza Katika Mkataba wa Production Sharing Agreement Zidi ya Serikali
Katika sekta ya mafuta na gesi, mikataba mbalimbali hutumika kuweka misingi ya ushirikiano kati ya serikali na makampuni ya...
Natafuta sana contacts za viwanda vya mafuta ya mawese, kama nikipata vile viwanda vikubwa vyenye uwezo mkubwa itakuwa vizuri zaidi, hasa nataka wanaotengeneza refined yellow palm oil.
Asante
Akiongea mbele ya wanahabari mkuu wa mkoa wa Tanga amesea, Mradi wa Ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi Afrika Mashariki (East African Crude Oil Pipeline – EACOP) kutoka Hoima, Uganda hadi Bandari ya Chongoleani, Tanga, ni moja ya miradi mikubwa ya kimkakati inayotekelezwa kwa ushirikiano wa...
Iran imefanikiwa kuongeza kwa kiasi kikubwa mapato yake ya mauzo ya mafuta mwaka uliopita. Hayo ni kwa mujibu wa takwimu mpya kutoka Shirika la Nchi Wazalishaji wa Mafuta Duniani (OPEC), zikionesha kuwa vikwazo vya Marekani havijafaulu kuzuia biashara ya mafuta nchini.
Ripoti ya Jumamosi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.