madawa ya kulevya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Nini Kipo nyuma ya mafanikio ya vita ya madawa ya kulevya na ujangili?

    Serikali hii inayotuhumiwa kwa rushwa nilitegemea madawa ya kulevya yazidi na ujangili wa Meno ya tembo uendelee ila NI wazi mambo hayo yamepungua kwa Kasi Sana kama sio kuisha kabisa hasa ujangili hausikiki tena. Je NI jitihada za serikali ya awamu hii au takwimu tunazopewa hazina uhalisia au...
  2. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Kiwango cha madawa ya kulevya mtaani kimeshuka

    Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo, amesema kuwa kutokana na juhudi kubwa wanazozifanya kwa kushirikiana na jamii, wameweza kupambana na uuzwaji wa dawa za kulevya nchini, na kwa sasa kiwango cha dawa hizo mtaani kimeshuka. “Kiwango...
  3. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Nini kifanyike kukomesha biashara ya dawa za kulevya nchini?

    Kila mara tunasikia taarifa za ukamataji mkubwa, operesheni nzito na kampeni za kupambana na dawa za kulevya… lakini mitaani mtandao wake unazidi kuenea. Je, tatizo ni udhaifu wa mifumo ya sheria? Ni viongozi hawawajibiki ipasavyo? Au kuna watu wenye nguvu wanaonufaika na biashara hii? Kila...
  4. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania Hivi Chid Benz alikuwa analishwa nini huko sober?

    Soma pia: Majuto ya Chid Benz Chanzo: efm
  5. T

    JamiiForums Tanzania Wakamatwa wakijaribu kusafirisha madawa ya kulevya kama wanawake wa kiarabu

    Wanaigeria watatu wakamatwa nchini Algeria wakijaribu kupanda ndege kuelekea Dubai kusafirisha madawa ya kulevya waliomeza tumboni mwao huku wamevalia kama na kupakwa rangi ya muonekano wa wanawake wa kiarabu.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Mtanzania akamatwa kwa madawa ya kulevya thamani ya shilingi 7.8 bilioni

    15 Julai 2025 273 Voortrekker Road, Goodwood, Cape Town, Western Cape, South Africa Mtanzania umri miaka 32, akamatwa na madawa ya kulevya thamani ya shilingi 7.8 bilioni Msako huo siku ya jumapili tarehe 13 Julai 2025 kufuatia taarifa za kiintelejensia alisema kiongozi wa operesheni...
  7. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa El Chapo Ovidio Guzman Lopez kushirikiana na serikali ya Marekani dhidi ya familia yake kesi ya dawa za kulevya

    Mtoto Wa El chapo Ovidio Guzman Lopez amekiri kosa baada ya kukutwa na hatia kesi ya kuendesha magenge ya madawa ya kulevya nchini marekani. Ameweka wazi na kukubali kushirikiana na serikali ya marekani dhidi ya familia yake kwa lengo la kupunguziwa adhabu au muda wa kukaa jela. Mtoto kaamua...
  8. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Vita dhidi ya madawa ya kulevya yapamba moto Afrika mashariki

    Polisi katika Kaunti ya Migori mnamo Alhamisi walimkamata mshukiwa wa ulanguzi wa dawa za kulevya mwenye umri wa miaka 32 na kunasa shehena kubwa ya bangi yenye thamani ya takriban Ksh.13.7 milioni. Wakipokea taarifa, maafisa wa Kituo cha Polisi cha Oruba walinasa gari nyeusi aina ya Toyota...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Majaliwa: Tumemkamata muingizaji Dawa amemeza Paketi 86, Serikali imemlisha Pilau na Biriani ili zishuke, na zimeshuka zote ardhini

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema: "Tumemkamata mtu mmoja wa Ubelgiji lakini pia ni raia wa Burundi. Amekwenda kuchukia mzigo huko kwao, anapitia Tanzania ili ndiyo aende Ubelgiji. Sisi tumemnasa." "Amehojiwa sana na wataalam wetu baada ya kumtilia mashaka, akatamka kwamba amemeza vidonge...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Chid Benz amekua 'Pande la Mtu', tazama akitumbuiza kwenye siku ya kupambana na madawa ya Kulevya

    Chid Benz mpya akitumbuiza kwenye siku ya kupambana na madawa ya Kulevya Dodoma
  11. Mr Why

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Roma Mkatoliki mbaroni nchini Marekani kwa kosa la madawa ya kulevya

    Roma Mkatoliki mbaroni nchini Marekani kwa kosa la madawa ya kulevya Taarifa kamili inafuatiliwa kwa kina na Watanzania waishio Marekani, inawezekana inachelewa kwasababu Roma sio msanii maarufu Marekani hivyo basi ili kupata taarifa zake inalazimu Watanzania waishio Marekani wafuatilie kwa...
  12. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Imekuwaje Rais wa El Salvador ameweza kuushinda uharifu hatari kwa muda mfupi ila nchi kama Mexico inachechemea?

    Huyu mwamba wa El Salvador ana hasira sana, hadi akamwambia trump wewe niletee mu-salvador yoyote anaewasumbua huko Marekani, trump akamtumia lukuki 🤣 Jamaa ameweza kupambana na magenge hatari ya madawa ya kulevya nchi mwake kupelekea uharifu na vifo kupungua kwa kasi ya kihistoria Cartels...
  13. ITR

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio nchi ambazo ukikamatwa na madawa ya kulevya hutoboi hata kwa dawa

    Nchi nyingi za Mashariki ya kati na Asia ya kati zina sheria kali sana linapo kuja suala la kukabiliana madawa ya kulevya,hizi ndo nchi ambazo ukikamatwa na madawa ya kulevya kukiepuka kitanzi sijui ashuke malaika gani. (1) Iran - Ndani ya Iran ni bora ukamatwe ukiifanyia upelelezi...
  14. britanicca

    JamiiForums Tanzania Kupitia video hii ni kweli viongozi wanahusika kwenye kusafirisha madawa ya kulevya alafu wanouwawa ni vijana

    Binti anayeenda kunyongwa Vietnam inaelezwa kwenye video hii na inaonekana Njoroge ambaye ni miongoni mwa watu wa Serikali waliofuma mbinu kwa Nduta kusafirisha madawa ya kulevya huko Vietnam, Baada ya kukamatwa wao wakazima simu , https://youtu.be/VK_s6RGOlps?si=EZe_9fBY4mHLeXyH
  15. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Kwa mfano ingekuwa wewe Rais ungedili vipi na Ufisadi na Madawa ya Kulevya.

    Assume we ndo rais embu tuweke wazi ungefanyaje katika serikali yako ili rushwa zikome na uratibu kiundani bandarini. Mimi binafsi ningetoa billion 50 kwa ajili ya camera cctv dar na pia barabara za tanroads kisha kila mwezi NATOA report ya makusanyo na Matumizi.kama taifa tunabaini Lost.
  16. R

    JamiiForums Tanzania Ndugu vijana wawili mabilionea wanaofahamika kwa kutoa motisha ya maendeleo mitandaoni (Motivational speaking) wanaswa Dubai kwa ulanguzi wa Cocaine

    Ndugu wawili vijana waliojipatia umaarufu mtandaoni Tiktok kwa kuishi maisha ya kibilionea na wakitoa motisha kwa vijana wengine kupambana wakamatwa Dubai na Cocaine.
  17. Mashamba Makubwa Nalima

    JamiiForums Tanzania Eric Mandala: Mentor Africain, Inspiration Vision Résilience

    Jipatie kitabu chako kupitia hapa : Link hii hapa
  18. G

    JamiiForums Tanzania Unaposikia mtu kafa kwa over dose ya madawa ya kulevya ni kwamba raha ilizidi mpaka akili ikasahau kupumua ili mwili upate starehe

    Madawa ya kulevya ni miongoni mwa changamoto kubwa zinazokumba jamii nyingi duniani. Mara nyingi, tunaposikia mtu amefariki kutokana na overdose, hatufahamu kabisa kinachotokea ndani ya mwili hadi kufikia hatua hiyo ya hatari. Overdose ya madawa ya kulevya mara nyingi inahusiana na hali ya...
  19. P

    JamiiForums Tanzania Serikali ya kamata kilo Milion 2 za dawa za kulevya kuanzia Januari hadi Desemba 2024

    Mamlaka ya kudhibiti na kupambana Dawa za kulevya nchini, imefanikiwa kukamata Dawa za kulevya zenye uzito wa kilogramu milioni 2 katika kipindi cha Januari hadi Disemba 2024. “Hiki ni kiasi kikubwa cha madawa ya kulevya kuwahi kukamatwa tangu mamlaka hii kuanzishwa, katika dawa zilizokamatwa...
  20. R

    JamiiForums Tanzania Kumbe Rais Bashar al Assad alikuwa anauza madawa ya kulevya! Yalikutwa kwenye kasri lake Damascus

    Kilichonishangaza zaidi ni kiwango cha kipato alichokuwa anapata kupitia biashara hiyo ambayo ilikuwa inasimamiwa na kaka yake. Yaani, alikuwa anapata dola bilioni kumi kwa mwaka, wakati pato la taifa lilikuwa chini ya dola bilioni tisa!!! Kama ni kweli, hizi dhambi zinakuwaje? Yaani, familia...
Back
Top Bottom