Heshima kwenu WAKUU, Poleni na Hongereni kwa mchaka mchaka wa maisha.
Kume kuwa na wimbi kubwa la viongozi,,wenye nyadhifa kubwa kuacha nyadhifa zao na kugombea Nafasi ya UBUNGE kila unapofika uchaguzi Mkuu. Hasa wakuu wa Mikoa na wilaya.
Naam na ukiwasikiliza wengi wanajinasibu kua wanataka...