mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana Jf
Rais wangu, naanza kwa kukusifu kwa kazi nzuri unayoifanya kama mzalendo. Urais ni taasisi, umeiongoza kwa mapenzi ya Mungu, sasa ametokea watu wenye upungufu wa maoni wanataka uyabadirishe ambayo uliyokuwa unayapinga adharani. Rais wetu ulisema tukuombee sana usiwe na kiburi.
Sasa tumekuombea sana , hawa wanaojitokeza kutaka uongezewe muda sio watu wakutumainia, upeo wa wa kufikiri umefika mwisho, naomba safari hii wazee wote waliomstali wa mbeke kama wakina mkamia, Kessy, lugola na Ndugai uwakate kwenye kura za maoni kwani ni wapiga kelele hawana jipya kuiendekeza nchi hii.
Najua kuna vijana unawaandaa kuja kurithi kiti chako. Hawa si wazaliwa katika chama lakini unaangalia uwezo wao wa kufikiri unawapa nafasi.
Mwisho wale wote waliojionyesha kutaka uongezewe muda bora ukawakata maana hawana cha kujadiri zaidi ya kuhemea tumbo lao
Rais wangu, naanza kwa kukusifu kwa kazi nzuri unayoifanya kama mzalendo. Urais ni taasisi, umeiongoza kwa mapenzi ya Mungu, sasa ametokea watu wenye upungufu wa maoni wanataka uyabadirishe ambayo uliyokuwa unayapinga adharani. Rais wetu ulisema tukuombee sana usiwe na kiburi.
Sasa tumekuombea sana , hawa wanaojitokeza kutaka uongezewe muda sio watu wakutumainia, upeo wa wa kufikiri umefika mwisho, naomba safari hii wazee wote waliomstali wa mbeke kama wakina mkamia, Kessy, lugola na Ndugai uwakate kwenye kura za maoni kwani ni wapiga kelele hawana jipya kuiendekeza nchi hii.
Najua kuna vijana unawaandaa kuja kurithi kiti chako. Hawa si wazaliwa katika chama lakini unaangalia uwezo wao wa kufikiri unawapa nafasi.
Mwisho wale wote waliojionyesha kutaka uongezewe muda bora ukawakata maana hawana cha kujadiri zaidi ya kuhemea tumbo lao