MICHAEL SON
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 458
- 536
Heshima kwenu WAKUU, Poleni na Hongereni kwa mchaka mchaka wa maisha.
Kume kuwa na wimbi kubwa la viongozi,,wenye nyadhifa kubwa kuacha nyadhifa zao na kugombea Nafasi ya UBUNGE kila unapofika uchaguzi Mkuu. Hasa wakuu wa Mikoa na wilaya.
Naam na ukiwasikiliza wengi wanajinasibu kua wanataka kutatua kero za Watanzania! Hebu fikiria kwa mfano Ndugu MRISHO Gambo, Alikua nia na pengine bado yupo mbioni kutangaza nia ya kugombea UBUNGE
Sasa kwa Nafasi yake ya Ukuu wa Mkoa,,kuna kero ipi ambayo alishindwa kuitatua kwa kutumia resource na mamlaka yake,na angeweza kuitatua akiwa Mbunge? Nionavyo mimi yeye kama RC wa Arusha alikua na Nafasi kubwa zaidi ya kuwatumikia wana Arusha.
NCHI HII INAHITAJI WAZALENDO KWA NYAKATI ZOTE
Naam Hawa wanaotamani vyeo na madaraka ni sumu kwa Taifa hili.
Asalaam
Mwalimu wa Chemistry na Biology
Kume kuwa na wimbi kubwa la viongozi,,wenye nyadhifa kubwa kuacha nyadhifa zao na kugombea Nafasi ya UBUNGE kila unapofika uchaguzi Mkuu. Hasa wakuu wa Mikoa na wilaya.
Naam na ukiwasikiliza wengi wanajinasibu kua wanataka kutatua kero za Watanzania! Hebu fikiria kwa mfano Ndugu MRISHO Gambo, Alikua nia na pengine bado yupo mbioni kutangaza nia ya kugombea UBUNGE
Sasa kwa Nafasi yake ya Ukuu wa Mkoa,,kuna kero ipi ambayo alishindwa kuitatua kwa kutumia resource na mamlaka yake,na angeweza kuitatua akiwa Mbunge? Nionavyo mimi yeye kama RC wa Arusha alikua na Nafasi kubwa zaidi ya kuwatumikia wana Arusha.
NCHI HII INAHITAJI WAZALENDO KWA NYAKATI ZOTE
Naam Hawa wanaotamani vyeo na madaraka ni sumu kwa Taifa hili.
Asalaam
Mwalimu wa Chemistry na Biology