Vita ya Al Shabaab na Ahlul Sunna Wal Jamaa, dhana ya Ugaidi na ulafi wa Madaraka uliojificha chini ya kivuli cha Uislam

Jul 20, 2019
21
78
CHIMBUKO LA AL SHABAAB, VITA YA AL SHABAAB VS AHLUL SUNNA WAL JAMAA NA DHANA YA UGAIDI CHINI YA KIVULI CHA UISLAM





Naam Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakat, Katika nakala na machapisho yaliyopita nlieeleza kwa uchache dalili za kuenea kwa Ugaidi nchini Tanzania. Na pia kuna baadhi ya watu walinshauri kuwaelezea kwa kina dhana ya ugaidi katika bara letu pendwa la Africa. Namshukuru Mwenyezimungu kwa kunijalia kuendelea kutoa elimu yangu ndogo nliyopewa na Mwenyezimungu ili kuwaelimisha.

Al Shabaab iliaanza miaka ya 2004 amabapo lilikua ni kundi linalopambana na jeshi la Ethiopia lililokua nchini Somalia. Wasomali wengi waliwapenda saana kutokana na umahiri wao katika mapambano hayo na kuona kama Tumaini lao nchini Somalia. Al Shabaab waliendeleza mapambano yao kwa umaridad mkubwa saana na baadhi ya makabila na koo za nchini Somalia zikakubali Al Shabaab iendeshe uongozi katika himaya zao.

Taarifa za kua Al Shabaab wanashirikiana na Al Qaeda katika kipindi hiko zilizkuepo na watu walidhirika na hali kwa kua hawakuona dalili mbaya zozote za Al Shabaab kuwadhuru raia. Japo mataifa makubwa yaliyoona kua mbeleni kundi hili litaleta shida na kuonya watu wa Somalia, lakini wasomalia waliendelea kulipa umaarufu kundi la Al Shabaab. Kwa nini mataifa ya Nje yalishtukia mapema uhatari wa kundi hilo. Naam hili ni swali ambalo Wasomali hawakujiuliza kipindi ambapo Al Shabaab wanaanza harakati zao. Marekani na Urusi zilibaini kua wapiganaji wengi wa Al Shabaab ni wale ambao wanatokea AL Qaeda na wengine ni wale waliopigana katika vita za Afghanistan. Majemedari na manguli wa mapambano waliteuliwa kufundisha vijana hao wa Al Shabaab.

Al Shabaab likawa kundi ambalo lina wapambanaji wazuri wenye ustadi mzuri wa vita uliochangiwa na ukakamavu wa hali ya juu ukapelekea mpaka kua moja ya amakundi tishio nchini Somalia na Afrika Mashariki kwa ujumla.

Basi kundi la Al Shabab baada ya kuleta amani nchini Somalia likajipatia umaarufu mkubwa baada ya kuwashinda wanajeshi wa Ethiopia na pia vilevile walionekana kama wanamgambo wa wanyonge.



KUANZA NA KUPUNGUA UMAARUFU WA AL SHABAB



Baada ya wanajeshi wa Ethiopia kudhibitiwa na wanamgambo wa Al Shabaab waliamua kurudi nchini kwao Ethiopia na Al Shabaab wakaonekana kama watetezi wa wanyonge. Baada ya ushindi huo Al Shabaab wakaendelea kuaminiwa na kuitwa katika koo mbalimbali za Wasomali ili wadumishe ulinz. Baada ya hapo Al Shabaab wakaanza kuleta sharia mbalimbali za Kiislam na hii ni baada ya kufanya mawasiliano na AL Qaeda kujenga mipango mbalimbali ya kufanya sharia za Uislam ziitawale Somalia yote. Idadi kubwa ya waislam walikuabaliana na hilo suala la kufanya Al Shabaab itumie sharia za Kiislam kutawala maeneo inayoyamiliki. Baadhi ya watu walikataa wazo hilo kwa kujua baadae mambo yanaweza kubadilika na ikajirudia ile hali ya Afghanistan.

Al Shabaab wakaendelea kusimamia sharia za kiislam na kuanza kukataza mambo ya kijamii mbalimbali mfano baadhi ya sherehe za wafugaji zailipigwa STOP. Unywaji wa pombe nao ukakatazwa hadharani huku waliogunduliwa kua walikua wanatumia vilevi walikua wanachapwa bakora 40 kama adhabu ya mlevi. Na pia wazinzi walichapwa bakora 100 na kama walikua katika ndoa zao basi waliuliwa kwa kupigwa mawe hadharani. Hii ilianza kuibua hisia tofauti baina ya Wasomali baadhi ambao hawakua katika miongozo thabiti ya dini.

Hali iliyokuja kushangaza wengi ni kupiga marufuku uzalishwaji na matumizi ya Mirungi. Hili ni zao ambalo Wasomali walikua wanatumia katika kila sehem. Mirungi ilikua inatumika kama dawa na pia vilevile lilikua kama zao la kibiashara. Hii ilipelekea Al Shabaab kuonekana kama inataka kutwala kidikteta na kutokana na kuwaua hadgarani watu waliokua wanapinga sera zao.

Hapo ndipo baadhi ya koo za Wasomali zilipoamua kupinga waziwazi utawala wa Al Shabaab na Wasufi wakaungana na kupelekea kuanzishwa kwa kundi lengine la Wasufi AHLUL SUNNA WAL JAMAA.





AHLUL SUNNA WAL JAMAA



ITAENDELEA
 
Nasubiri kusoma khs hawa ASWJ , wanakuja juu sana kwa sasa huko msumbiji

Tunasubiri uendelee Mkuu ,tuchangie
 
Fitna zipo wapi?unataka kumziba mdomo? Asipoongea yeye hata sisi tutaongea. Amechochea nini? Amani idumu kawaambie al shababy siyo mwandishi
OMG !! Tafadhali punguza mihemko na jazba... au hujui yakuwa mwandishi na kalamu yake ndiyo mchonganishi hapa Ulimwenguni...
Historia imethibitisha na masaibu mengi huletwa kwa kuandika maneno ya kuchonganisha!! Ongeza na zako!!
Peace and love
 
Acha ubwege anachonganisha nini wakati anaandika kitu kilichotokea? Wewe wasiwasi wako ni kuwa anazigusa dini zenu za wazungu na waarabu? Ndo unachotetea.... 😂😂😂😂

OMG !! Tafadhali punguza mihemko na jazba... au hujui yakuwa mwandishi na kalamu yake ndiyo mchonganishi hapa Ulimwenguni...
Historia imethibitisha na masaibu mengi huletwa kwa kuandika maneno ya kuchonganisha!! Ongeza na zako!!
Peace and love
 
Mkuu tunasubiri Madini. Au umeshapigwa mkwara?


CHIMBUKO LA AL SHABAAB, VITA YA AL SHABAAB VS AHLUL SUNNA WAL JAMAA NA DHANA YA UGAIDI CHINI YA KIVULI CHA UISLAM





Naam Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakat, Katika nakala na machapisho yaliyopita nlieeleza kwa uchache dalili za kuenea kwa Ugaidi nchini Tanzania. Na pia kuna baadhi ya watu walinshauri kuwaelezea kwa kina dhana ya ugaidi katika bara letu pendwa la Africa. Namshukuru Mwenyezimungu kwa kunijalia kuendelea kutoa elimu yangu ndogo nliyopewa na Mwenyezimungu ili kuwaelimisha.

Al Shabaab iliaanza miaka ya 2004 amabapo lilikua ni kundi linalopambana na jeshi la Ethiopia lililokua nchini Somalia. Wasomali wengi waliwapenda saana kutokana na umahiri wao katika mapambano hayo na kuona kama Tumaini lao nchini Somalia. Al Shabaab waliendeleza mapambano yao kwa umaridad mkubwa saana na baadhi ya makabila na koo za nchini Somalia zikakubali Al Shabaab iendeshe uongozi katika himaya zao.

Taarifa za kua Al Shabaab wanashirikiana na Al Qaeda katika kipindi hiko zilizkuepo na watu walidhirika na hali kwa kua hawakuona dalili mbaya zozote za Al Shabaab kuwadhuru raia. Japo mataifa makubwa yaliyoona kua mbeleni kundi hili litaleta shida na kuonya watu wa Somalia, lakini wasomalia waliendelea kulipa umaarufu kundi la Al Shabaab. Kwa nini mataifa ya Nje yalishtukia mapema uhatari wa kundi hilo. Naam hili ni swali ambalo Wasomali hawakujiuliza kipindi ambapo Al Shabaab wanaanza harakati zao. Marekani na Urusi zilibaini kua wapiganaji wengi wa Al Shabaab ni wale ambao wanatokea AL Qaeda na wengine ni wale waliopigana katika vita za Afghanistan. Majemedari na manguli wa mapambano waliteuliwa kufundisha vijana hao wa Al Shabaab.

Al Shabaab likawa kundi ambalo lina wapambanaji wazuri wenye ustadi mzuri wa vita uliochangiwa na ukakamavu wa hali ya juu ukapelekea mpaka kua moja ya amakundi tishio nchini Somalia na Afrika Mashariki kwa ujumla.

Basi kundi la Al Shabab baada ya kuleta amani nchini Somalia likajipatia umaarufu mkubwa baada ya kuwashinda wanajeshi wa Ethiopia na pia vilevile walionekana kama wanamgambo wa wanyonge.



KUANZA NA KUPUNGUA UMAARUFU WA AL SHABAB



Baada ya wanajeshi wa Ethiopia kudhibitiwa na wanamgambo wa Al Shabaab waliamua kurudi nchini kwao Ethiopia na Al Shabaab wakaonekana kama watetezi wa wanyonge. Baada ya ushindi huo Al Shabaab wakaendelea kuaminiwa na kuitwa katika koo mbalimbali za Wasomali ili wadumishe ulinz. Baada ya hapo Al Shabaab wakaanza kuleta sharia mbalimbali za Kiislam na hii ni baada ya kufanya mawasiliano na AL Qaeda kujenga mipango mbalimbali ya kufanya sharia za Uislam ziitawale Somalia yote. Idadi kubwa ya waislam walikuabaliana na hilo suala la kufanya Al Shabaab itumie sharia za Kiislam kutawala maeneo inayoyamiliki. Baadhi ya watu walikataa wazo hilo kwa kujua baadae mambo yanaweza kubadilika na ikajirudia ile hali ya Afghanistan.

Al Shabaab wakaendelea kusimamia sharia za kiislam na kuanza kukataza mambo ya kijamii mbalimbali mfano baadhi ya sherehe za wafugaji zailipigwa STOP. Unywaji wa pombe nao ukakatazwa hadharani huku waliogunduliwa kua walikua wanatumia vilevi walikua wanachapwa bakora 40 kama adhabu ya mlevi. Na pia wazinzi walichapwa bakora 100 na kama walikua katika ndoa zao basi waliuliwa kwa kupigwa mawe hadharani. Hii ilianza kuibua hisia tofauti baina ya Wasomali baadhi ambao hawakua katika miongozo thabiti ya dini.

Hali iliyokuja kushangaza wengi ni kupiga marufuku uzalishwaji na matumizi ya Mirungi. Hili ni zao ambalo Wasomali walikua wanatumia katika kila sehem. Mirungi ilikua inatumika kama dawa na pia vilevile lilikua kama zao la kibiashara. Hii ilipelekea Al Shabaab kuonekana kama inataka kutwala kidikteta na kutokana na kuwaua hadgarani watu waliokua wanapinga sera zao.

Hapo ndipo baadhi ya koo za Wasomali zilipoamua kupinga waziwazi utawala wa Al Shabaab na Wasufi wakaungana na kupelekea kuanzishwa kwa kundi lengine la Wasufi AHLUL SUNNA WAL JAMAA.





AHLUL SUNNA WAL JAMAA



ITAENDELEA
 
CHIMBUKO LA AL SHABAAB, VITA YA AL SHABAAB VS AHLUL SUNNA WAL JAMAA NA DHANA YA UGAIDI CHINI YA KIVULI CHA UISLAM





Naam Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakat, Katika nakala na machapisho yaliyopita nlieeleza kwa uchache dalili za kuenea kwa Ugaidi nchini Tanzania. Na pia kuna baadhi ya watu walinshauri kuwaelezea kwa kina dhana ya ugaidi katika bara letu pendwa la Africa. Namshukuru Mwenyezimungu kwa kunijalia kuendelea kutoa elimu yangu ndogo nliyopewa na Mwenyezimungu ili kuwaelimisha.

Al Shabaab iliaanza miaka ya 2004 amabapo lilikua ni kundi linalopambana na jeshi la Ethiopia lililokua nchini Somalia. Wasomali wengi waliwapenda saana kutokana na umahiri wao katika mapambano hayo na kuona kama Tumaini lao nchini Somalia. Al Shabaab waliendeleza mapambano yao kwa umaridad mkubwa saana na baadhi ya makabila na koo za nchini Somalia zikakubali Al Shabaab iendeshe uongozi katika himaya zao.

Taarifa za kua Al Shabaab wanashirikiana na Al Qaeda katika kipindi hiko zilizkuepo na watu walidhirika na hali kwa kua hawakuona dalili mbaya zozote za Al Shabaab kuwadhuru raia. Japo mataifa makubwa yaliyoona kua mbeleni kundi hili litaleta shida na kuonya watu wa Somalia, lakini wasomalia waliendelea kulipa umaarufu kundi la Al Shabaab. Kwa nini mataifa ya Nje yalishtukia mapema uhatari wa kundi hilo. Naam hili ni swali ambalo Wasomali hawakujiuliza kipindi ambapo Al Shabaab wanaanza harakati zao. Marekani na Urusi zilibaini kua wapiganaji wengi wa Al Shabaab ni wale ambao wanatokea AL Qaeda na wengine ni wale waliopigana katika vita za Afghanistan. Majemedari na manguli wa mapambano waliteuliwa kufundisha vijana hao wa Al Shabaab.

Al Shabaab likawa kundi ambalo lina wapambanaji wazuri wenye ustadi mzuri wa vita uliochangiwa na ukakamavu wa hali ya juu ukapelekea mpaka kua moja ya amakundi tishio nchini Somalia na Afrika Mashariki kwa ujumla.

Basi kundi la Al Shabab baada ya kuleta amani nchini Somalia likajipatia umaarufu mkubwa baada ya kuwashinda wanajeshi wa Ethiopia na pia vilevile walionekana kama wanamgambo wa wanyonge.



KUANZA NA KUPUNGUA UMAARUFU WA AL SHABAB



Baada ya wanajeshi wa Ethiopia kudhibitiwa na wanamgambo wa Al Shabaab waliamua kurudi nchini kwao Ethiopia na Al Shabaab wakaonekana kama watetezi wa wanyonge. Baada ya ushindi huo Al Shabaab wakaendelea kuaminiwa na kuitwa katika koo mbalimbali za Wasomali ili wadumishe ulinz. Baada ya hapo Al Shabaab wakaanza kuleta sharia mbalimbali za Kiislam na hii ni baada ya kufanya mawasiliano na AL Qaeda kujenga mipango mbalimbali ya kufanya sharia za Uislam ziitawale Somalia yote. Idadi kubwa ya waislam walikuabaliana na hilo suala la kufanya Al Shabaab itumie sharia za Kiislam kutawala maeneo inayoyamiliki. Baadhi ya watu walikataa wazo hilo kwa kujua baadae mambo yanaweza kubadilika na ikajirudia ile hali ya Afghanistan.

Al Shabaab wakaendelea kusimamia sharia za kiislam na kuanza kukataza mambo ya kijamii mbalimbali mfano baadhi ya sherehe za wafugaji zailipigwa STOP. Unywaji wa pombe nao ukakatazwa hadharani huku waliogunduliwa kua walikua wanatumia vilevi walikua wanachapwa bakora 40 kama adhabu ya mlevi. Na pia wazinzi walichapwa bakora 100 na kama walikua katika ndoa zao basi waliuliwa kwa kupigwa mawe hadharani. Hii ilianza kuibua hisia tofauti baina ya Wasomali baadhi ambao hawakua katika miongozo thabiti ya dini.

Hali iliyokuja kushangaza wengi ni kupiga marufuku uzalishwaji na matumizi ya Mirungi. Hili ni zao ambalo Wasomali walikua wanatumia katika kila sehem. Mirungi ilikua inatumika kama dawa na pia vilevile lilikua kama zao la kibiashara. Hii ilipelekea Al Shabaab kuonekana kama inataka kutwala kidikteta na kutokana na kuwaua hadgarani watu waliokua wanapinga sera zao.

Hapo ndipo baadhi ya koo za Wasomali zilipoamua kupinga waziwazi utawala wa Al Shabaab na Wasufi wakaungana na kupelekea kuanzishwa kwa kundi lengine la Wasufi AHLUL SUNNA WAL JAMAA.





AHLUL SUNNA WAL JAMAA



ITAENDELEA
AHLUL SUNNA WAL JAMAA Vs AL SHABAAB

Mapambano kati ya Ahlul Sunna Wal Jamaa yalipata moto kuanzia Novemba 1 mpaka Disemba 16 mwaka 2008 katika mji wa Galgaduud uliopo katikati ya nchi ya Somalia na uliopo maili 230 kutoka mji mkuu Mogadishu. Katika mapigano hayo kila kundi lilikua linatumia silaha za kisasa mfano SMG, AK47 pamoja na RPG. Kila kikundi kilipigana kwa hali na mali huku wanamgambo wa Al Shabaab kuonekana kua wenye uhodari na uzoefu mkubwa wa kivita. Kwa upande mwengine Ahlul Sunna Wal Jamaa walikua hawana mafunzo yeyote katika kuiendea vita ile lakini walipata ushirikiano mkubwa kutoka kwa wananchi ambao wengine walijitolea magari yao yawe yanatumika katika hio vita hapo ndipo kundi hilo likaamua kupambana kufa na kupona na kufanikiwa kuukomboa mji wa Galgaduud ambao ulikua himaya ya Al Shabaab. Hili lilikua pigo kubwa kwa wapiganaji wa Al Shabaab kundi ambalo lilikua likiogopewa na kuheshimika kuambulia kipigo kutoka kwa Ahlul Sunna Wal Jamaa. Lakini anguko la Al Shabaab halikuishia hapo…..



MAPAMBANO YA DUSA MAREB

Ikiwa bado Al Shabaab wanaugulia maumivu ya kuupoteza mji wa Galgaduud wakapata tena pigo lengine la kushtukiza, hili lilikua ni baada ya vijana wa Ahlul Sunna Wal Jamaa kufanya mashambulizi ya kushtukiza (ambush) kwa wanamgambo wa Al Shabaab kwenye mji mdogo wa Dusa Mareb.

Kutokana na Al Shabaab kutojiandaa la shambulizi hilo ikapelekea kupoteza mji huo na hili lilikua pigo jengine kubwa kwa Al Shabaab. Baadhi ya wakazi wa mji wa Dusa Mareb walikua wakisheherekea ushindi huo hadharani kwa kudai kua Al Shabaab waliingilia uhuru wao na maamuzi kuhusu Maisha yao. Haikuishia hapo tuu Al Shabaab wakapoteza sehem nyengine muhimu ya Garaceel. Waislamu kwa Waislamu wanapigana, je hio ni JIHAD?



Hilo ndilo katazo ambalo alielezea Al marhum Shahid Aboud Roggo…….ITAENDELEA
 
Back
Top Bottom