Ufisadi mpya Tanzania ni wa madaraka?

JAYJAY

JF-Expert Member
Oct 31, 2008
7,519
7,554
Kwa sasa kelele zimekuwa nyingi sana nchini. Hapo kabla kelele nyingi za ufisadi wa kifedha na mali ulipigiwa sana kelele. Sasa sijui ule ulimalizwa au umezidiwa kelele na huu ufisadi mpya wa madaraka ambao unawza pia kuitwa ulevi wa madaraka?

Ni nini hasa kinaendelea maana kelele zimekuwa nyingi hasa za kutishana na hali fulani ya kama kuona nchi haina sheria au kupuuzwa kwa sheria.

Au ndio ule utimilifu wa kile kilichoitwa "ukichaa-kichaa" muda fulani hapo kabla. Ila mambo yanavyoendelea sio vyema kwa kweli.
 
Kwa sasa kelele zimekuwa nyingi sana nchini. Hapo kabla kelele nyingi za ufisadi wa kifedha na mali ulipigiwa sana kelele. Sasa sijui ule ulimalizwa au umezidiwa kelele na huu ufisadi mpya wa madaraka ambao unawza pia kuitwa ulevi wa madaraka?

Ni nini hasa kinaendelea maana kelele zimekuwa nyingi hasa za kutishana na hali fulani ya kama kuona nchi haina sheria au kupuuzwa kwa sheria.

Au ndio ule utimilifu wa kile kilichoitwa "ukichaa-kichaa" muda fulani hapo kabla. Ila mambo yanavyoendelea sio vyema kwa kweli.
Ukweli ni kwamba Jiwe amevuruga utawala wa sheria. Nchi sasa inaongozwa kwa akili yake na matamko ya wateule wake.
 
Ukweli ni kwamba Jiwe amevuruga utawala wa sheria. Nchi sasa inaongozwa kwa akili yake na matamko ya wateule wake.
Hata mimi ndicho nackokiona. Matamko yake na wale aliowateua yanageuka kuwa sheria. Sio vyema.
 
Back
Top Bottom