Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,838
- 50,541
Hali ya mambo siyo shwari ila CCM wakiambiwa ukweli wanachachamaa na kusema wanaowakosoa wamelipwa na mabeberu.
Picha hiyo hapo chini inaonesha wananchi wa eneo la Ngongowele Wilayani Liwale Mkoani Lindi wakiwa na mabango yanaoonesha wanataka mabadiliko kwenye eneo lao.
CCM wanadhani tatizo ni CHADEMA na hao wanaowaita wanaharakati, lakini kumbe ukweli wa mambo tatizo ni wao wenyewe wameshindwa kuongoza nchi yetu.
Hakuna mtu anayelipwa kuwa na akili timamu, bali kuna watu wanalipwa ili wajichetue.
Picha hiyo hapo chini inaonesha wananchi wa eneo la Ngongowele Wilayani Liwale Mkoani Lindi wakiwa na mabango yanaoonesha wanataka mabadiliko kwenye eneo lao.
CCM wanadhani tatizo ni CHADEMA na hao wanaowaita wanaharakati, lakini kumbe ukweli wa mambo tatizo ni wao wenyewe wameshindwa kuongoza nchi yetu.
Hakuna mtu anayelipwa kuwa na akili timamu, bali kuna watu wanalipwa ili wajichetue.