Mabeberu Waliwalipa Mashabiki Kumzomea Mwana FA

Mabeberu Waliwalipa Mashabiki Kumzomea Mwana FA

Ndugu zangu kwa masikitiko makubwa jana mabeberu wamewalipa watu wote walioingia kwenye hafla ya miaka 30 ya bongo fleva ili wamzomee, kumbagaza na kumbananga mwana FA.

Inauma sana. Mimi kama abduli aka Ponjoro wa Kinondoni nimesikitika sana. Na bado.
Watu wanaandamana miyoni siku zote.
 
Beberu gani? Mmeshaona watanzania hawana akili, mabeberu ndio wana akili kuwapambania madhila yao. Kila kitu ni mabeberu tu, kwani wananchi hawana akili?
 
Ndugu zangu kwa masikitiko makubwa jana mabeberu wamewalipa watu wote walioingia kwenye hafla ya miaka 30 ya bongo fleva ili wamzomee, kumbagaza na kumbananga mwana FA.

Inauma sana. Mimi kama abduli aka Ponjoro wa Kinondoni nimesikitika sana. Na bado.
Na ticket 200+ ziliozuninuliwa kusapoti show ila nado wananchi mkazomea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom