maandamano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Lord Denning

    GE2025 Oktoba 29 natarajia Mikoa ya Ruvuma, Geita, Songwe, Singida, Rukwa na Katavi iongoze Maandamano

    Mkoa wa Ruvuma ndo mkoa ambao Samia, Abdul, Rostam na CCM wanachimba madini ya makaa ya mawe kila siku na kuuza nje ya nchi kwa masaa 24. Hata hivyo ndo moja ya mikoa masikini zaidi Tanzania. Wananchi wa mkoa huu wana umasikini usioelezeka. Mikoa ya Geita, Katavi, Songwe na Singida ndo mikoa...
  2. mwehu ndama

    Wafuatao ndio watakwamisha maandamano ya 29/10/2025

    Tathmini yangu fupi imenipa mrejesho kwamba makundi haya ya watu ndio watakaokua kikwazo katika Siku hiyo pendwa Wafuasi wa mwamposa:_haya ni kama manyumbu, akili zao hazifanyi kazi , yanatenda mambo kulingana namuongozo wa mafuta ya upako..Hiyo tarehe 29 lazima yamfurahishe baba Yao , lazima...
  3. Idugunde

    Tafiti zimeonyesha watawala mafisadi na madhalimu wanaogopa maandamano kuliko mtutu wa Bunduki na vifaru

    Hii imethibitika dunia nzima. Maandamano ya wananchi waliochoka kuibiwa na kuteswa na madhalimu yana nguvu ya kuiangusha serikali dhalimu kuliko hata Mizinga na vifaru. Mapinduzi ya ya Tunisia na Misri mwaka 2010 yanatupa mfano hai. Ndio maana watawala wa kiafrika wanaogopa sana maandamano...
  4. S

    Kusambaa kwa picha na ujumbe wa kuhamasisha maandamano, vyombo vya dola havioni au wanaunga mkono kimya kimya?

    Kwa muda sasa, tumekuwa tukiona kwenye mitandao picha na ujumbe wa aina mbalimbali wa kuhamasisha maandamano na leo mpaka karibu kabisa na kituo kimoja cha Polisi kuna matangazo hayo ya kuhamasisha maandamano. Swali: Vyombo vya dola havioni haya matangazo au na wao wana jambo lao? Muda utasema.
  5. K

    Huu ndiyo ukweli wa tarehe 29, siyo polisi wala CCM wote wanayapinga maandamano

    Yaani huu ndiyo ukweli halisi Polisi siyo wote wanapinga maandano na siyo Wanachama wote wanapinga maandamano bali wengi hawapendi jinsi inchi inavyoendeshwa na Rais Ni vile wakati wa Magufuli wengi wapinzani walikuwa wanaridhisha na kazi aliyokuwa anafanya kupambana na mafisadi,kinachotakiwa...
  6. Mafyangula

    GE2025 Baadhi ya maeneo ya Iringa kumetapakaa matangazo ya kuhamasisha watu kuandamana Oktoba 29, 2025

    Katika baadhi ya maeneo Mkoa wa Iringa kumeonekana matangazo yalibadikwa yakieleza au kuhamasisha maandamano ambayo yatafanyika Oktoba 29, 2025 ambapo pia siku hiyo itakuwa ni siku ya kupiga kura katika uchaguzi mkuu! Katika hayo mabango yameeleza kwanini watu waandamane? Moja ya sehemu ambapo...
  7. W

    GE2025 Askofu Charles Sekelwa: Maandamano siku ya kupiga Kura hayana manufaa yoyote

    Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Amani Mkoa wa Mwanza, Askofu Charles Sekelwa, amewasihi Watanzania kwenda kupiga kura, akibainisha kwamba kutaka kufanya fujo na maandamano siku ya kupiga kura ni jambo ambalo halina manufaa kwa yeyote. Akizungumza katika kongamano la amani la viongozi wa dini...
  8. W

    GE2025 Wenje: Hauwezi kushika dola barabarani kwa maandamano

    KADA wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM), Ezekia Wenje amesema anakishangaa chama chake cha zamani CHADEMA kwa kushindwa kusimamia malengo ya kuanzishwa kwa chama hicho. Akizungumza leo Oktoba 19, kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea urais kupitia CCM, uliofanyika mkoani Rukwa Wenje amesema msingi wa...
  9. W

    Maelfu waandamana Marekani kupinga utawala wa Trump katika maandamano ya “No Kings”

    Oktoba 18 na 19, 2025, maelfu ya wakazi wa jimbo la Illinois, New York, Washington DC, Chicago, Miami na Los Angeles, Boston wamejitokeza mitaani kushiriki maandamano ya “No Kings” yanayofanyika kote Marekani na duniani. Maandamano haya ni sehemu ya harakati kubwa ya kupinga kile kinachoitwa...
  10. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Chama Cha Makini Chawaonya Watanzania Kutojihusisha na Maandamano Siku ya Uchaguzi

    Chama Cha Makini kimetoa rai kwa Watanzania kutoshabikia au kushiriki maandamano yanayohamasishwa kufanyika siku ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, na badala yake wajitokeze kwa wingi kupiga kura kisha kurejea majumbani kusubiri matokeo kwa amani. Kauli hiyo imetolewa na mgombea urais wa Jamhuri ya...
  11. M

    GE2025 Maandamano yakifanyika kwenye vituo vya Kura, uchaguzi unaharishwa

    Nimekaaa nikatafakari nikagundua silver spoon ya Maandamano. Tanzania bara kuna vituo vya kura 97K, hata ukipeleka Askari polisi Mmoja mmoja kila kitu unacover asilimia 50 pekee ya vituo na vingine vinakuwa havina ulinzi wala usimamizi. Polisi wakisema watumie nguvu kutawanya watu, watawanya...
  12. M

    Ijue idadi ya Polisi Nchi nzima, na kwanini Polisi hawana uwezo wa Kuzuia Maandamano na Kusimamia Uchaguzi

    Taarifa ninazozitoa hapa zote ni takwimu rasmi za Serikali. Kwa nini Polisi hawana uwezo wa Kuzuia Maandamano na Kulinda/Kusimania Uchaguzi na kulinda Usalama wa Raia kwa wakati mmoja. Vituo vya Kupigia kura nchi nzima vipo 99,895 ambapo Tanzania bara kuna vituo 97,348, Tanznaia nzima ina...
  13. Keynez

    Duniani kote hakunaga maandamano ya hivyo

    Kabla haujasoma ninachotaka kusema, embu tuelewane kidogo. Sijawahi kuisifia wala kuitetea CCM na serikali zake. Siungi mkono vitendo vyovyote vya unyanyasaji, utekaji, mauaji na uminywaji wa haki na uhuru wa raia wa Tanzania. Baada ya kusema hayo, naomba niendelee na mada yangu ya leo. Hauwezi...
  14. Dennis Robert Shughuru

    GE2025 Mimi nataka mabadiliko Tanzania ila siungi mkono maandamano au mapinduzi ya kijeshi

    Miezi ya hivi karibuni kuna mtanzania anaishi marekani anaitwa mange kimambi na ameitisha maandamano na mpaka sahivi anayapigia debe kwa njia mbalimbali kupitia mtandao wa instagram Wako watakaopiga kura Wako wanaosupport maandamano Wako wanaopinga Wako ambao hawajajua wako upande upi...
  15. M

    Vitisho vinavyotolewa na Majeshi na wanasiasa likiwemo himizo la kulinda amani ni ishara tosha Serikali na CCM wanayaogopa Maandamano!

    CCM na Serikali inatambua Fika Maandamano ya wananchi ndio njia pekee ya wao aidha kuondoshwa madarakani au kulazimika kukubali matakwa ya wananchi ambayo hawataki kuwapa. Njia zote nyingine ikiwemo ya kukaa mezani haziwezi kuzaa matunda kwani tayari CCM wanajua namna ya kucheza ulaghai kwa...
  16. MamaSamia2025

    Ninampongeza sana Godbless Lema kwa kuweka maslahi ya familia yake mbele na kuyakwepa maandamano haramu kijanja.

    "Niko tayari kuwekwa mahabusu kwa hiari yangu hadi kipindi cha uchaguzi kipite, kwa sababu naamini kufanya hivyo kutaleta utulivu kwa wazazi wangu, mke wangu Neema, na watoto wangu. Najua watahisi angalau faraja kwamba niko salama". Hii ni kauli ya kijanja na kuweka kwanza maslahi ya familia...
  17. sanalii

    Ushindi pekee wanaousubiri CCM, ni endapo maandamano hayatafanyika, lakini nalo wanajidanganya.

    Hiki kiini macho cha wanachoita uchaguzi tayri washajipitisha, kitu watakachopigia kelele ni endapo maandamano hayatafanyika, watafurahi sana na ndio itakua topic. Ila wafahamu kitu kimoja, yakifanyika au yakifanyika kwa udogo, in any way ambayo kwao wanaona ni ushindi, "the seed has been...
  18. Penguinelli Cactussini

    Ikiwa “Hakutakuwa na maandamano” kwanini kila uchao matamko yanatolewa?

    Haya matamko yanaleta taharuki maana si JWTZ, polisi, mawaziri na vyawa wameshasema hakuna maandamano? Sasa kuendelea kusema kitu ambacho hakitafanyika na hakipo kunanikosesha amani binafsi. Kwanini matamko yasikomeshwe ili sasa tujiandae na hiyo tarehe 29? Kwani kuna hofu gani wakati kitu...
  19. 100 others

    FBI Wamuonya Mange kuelekea Kwenye Maandamano Washington DC Kwa Madai Anaweza Kudhurika

    Diaspora nchini USA walipanga maandamano yatakayofanyika ubalozi wa Tanzania nchini USA Washington DC tarehe 17 Oct ambayo ni kesho. Mange anasema akiwa anaelekea getini kuelekea kupanda ndege amekuta FBI wanamsubiri na kumuonya kuhusu kwenda kwenye maandamano wakidai anaweza kudhurika, amebaki...
  20. sanalii

    GE2025 Tarehe 29 Octoba ni siku ya kuandamana au ni siku ya mwanzo ya maandamano?

    1. Sio kila Gen-z walioandamana walifanikiwa kuiondoa serikali madalakan au jeshi liliwaunga mkono. Tunaangalia tu Madagascar, Nepal au Bangladesh, lakini kuna nchi kadhaa ambazo wananchi walishindwa kuiondoa serikali. Na haijachukua siku moja, inafika hadi miezi n. K 2. Kuna nchi kama Kenya...
Back
Top Bottom