maandamano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Superbug

    GE2025 Mimi siungi mkono maandamano. Huwezi kushindana na Dola. Tutavuna vifo na vilema Dola itatamalaki na TANZANIA itabaki

    Huu ni misimamo wangu siungi mkono maandamano Kwa hili nitaungana na serikali kwasababu huwezi shindana na Dola na pia ukishindana nayo wengi mtakuwa vilema na marehemu. Nashauri swala la maandamano lifuteni Hilo halipo na Mimi nitakuwa upande wa Dola.
  2. H

    GE2025 Kama maandamano ndiyo njia tuliyoichagua ili kutatua matatizo yetu basi iwe hivyo hakuna haja ya kutukanana mitandaoni

    Habari, Jamii iliyostaarabika haitumii matusi na mihemko kama silaha ya mapambano dhidi ya maadui zao bali hujipanga kwa ustadi na kutafakari na kupata njia nzuri watakayotumia ili kushinda vita. Kwa sasa ni wazi watanzania waliowengi wamechagua MAANDAMANO ili kupambana na viongozi...
  3. baz kaiza

    Serikali imeamua kufanya promotion ya Maandamano Hamnaga Washauri huko?

    Kiufupi kuna watu wengi walikua hawajui aya Maandamano lakini ghafla serikali ikaanza kufanya promotion ya Maandamano huko hamnaga washauri tuchukueni sisi vipanga. Kuna watu wengi kiufupi walikua hawajui habari za Maandamano kabisa zaidi ya watu ambao wanafuatilia mambo yanayoendelea mitandao...
  4. Bwege2030

    Sauti yetu kwa Haki, Mwili wetu kwa Amani

    Sauti Yetu kwa Haki, Mwili Wetu kwa Amani – Kuandamana Dhidi ya Utekaji na Mauaji Ndugu zangu wapendwa, wananchi wenzangu, watetezi wa haki na amani! Leo, tunakutana hapa si kwa uchungu tu, bali kwa azimio. Tunakutana hapa si kwa kukata tamaa, bali kwa matumaini. Tunakutana hapa kwa sababu...
  5. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Sheikh Alhad Mussa: Maandamano hayatakuwepo na hakuna kijana wa kiislam atakayeshiriki katika maandamano

    Vijana wa Kiislamu mmesikia huko na mnalipi la kumwambia? =============== Vijana wa Kitanzania awawezi kujiingiza katika jambo kama hili la maandamano likawasababishia madhara, maadhara ambayo uyapigii dini yako, kujitia kilema au ukipata matatizo ni mambo ambayo ayakubaliki kwahiyo Maandamano...
  6. M

    Polisi Mtajigawa sana, tarehe 29, Ni heri mkae nyumbani au chukueni likizo maandamano yawe Huru

    Polisi watachagua wakazuie Ghasia au walinde haya maeneo, Maeneo yote ya Kimkakati yatakuwa hayana usimamizi kama Polisi mtajitoa kupiga watu, pia watu wenye Drones waanze kuzimodify ziweze kubeba Molotov cocktail Na kuna data za haya maeneo nchi nzima. This time haki itapiganiwa kwa njia...
  7. Penguinelli Cactussini

    GE2025 Ni kweli kwamba Tar 29-10 watu watatoka kweli?

    Maandamano aliyoitishaga Mange Kimambi yalileta badiliko lolote wakati ule? Je, kipindi hiki NDIO tuseme chuki dhidi ya serikali iko kwenye peak kuliko miaka yote TANGU uhuru? Gen Z wa wakati huu ni bora na wanataka mabadiliko tofauti na miaka ya nyuma? Enyi watu wazima ambao mliona...
  8. Robert Heriel Mtibeli

    GE2025 Mbinu za kuandamana na kuzuia maandamano tarehe 29 zinaingiliana kama ifuatavyo

    Hamjambo! 1. Wanajukwaa Ladies and gentlemen. Upande huu kulia ni waandamanaji wanajipanga. Na kushoto kwa ni Wazuia maandamano. Wote leo wataonyesha mpango kazi wao kukamilisha zoezi la tarehe 29. 2. Kwa kweli haijulikani nani ataibuka kidedea kwani mbinu ni zilezile zinaingiliana. 3. Wote...
  9. M

    GE2025 Tanzania ikizuia mobilization ya maandamano kupitia mitandao, Watanzania watutumiana SMS

    Serikali zimekuwa ikifuta post zinazohamasisha na kufundisha watu kujilinda wakati wa Maandamano, Basi watanzania tutatumia njia mpya kuwasiliana na kufanya mobilization. Natoa wito kwa watu humu ndani kuunda mifumo maalum isiyokuwa censored kufundishana na kukusanya watu. Na kutoa taarifa za...
  10. Scared

    GE2025 Siwezi kufa kisa watanzania. Ni ujinga wa hali ya juu na tarehe 29 hakuna cha maandamano sababu waitishaji wake hawana utu

    Polepole katekwa halafu yale yanayohamasisha maandamano yanasema eti tusubiri tarehe 29 hivi haya majitu yana utu kweli yaani mtu ametutetea kaacha ulaji wake hata kuhamasisha wananchi tuingie rodi imekua nongwa hao kina kwanini mnalazimisha yafanyike tarehe 29 wakati mpaka Sasa watu 10...
  11. sanalii

    Vijana wa Tiktok wanazungumzia maandamano kama wanafanya comedy

    Wimbi la watu kutekwa limeongezeka sana na wengi ni tiktokers, kule wanaongea waziwazi kama vile wanafanya comedy, kitu wasichojua ni kua adui yuko determined na hana aibu kufanya anayotaka kufanya. Pengine ni kweli wanaumia sana na yanayoendelea lakini pia kuna ile hali ya kupata ushujaa kwa...
  12. Trainee

    Kuna watu wanakusudia kuandamana siku ya uchaguzi: Tupige kura wanaounga mkono maandamano hayo na wanaoyapinga

    Nakusudia maandamano yale yenye lengo la kupinga zoezi la uchaguzi Kama ni hoja watu wametoa hoja zao sana na kama ni elimu watu wametoa elimu ya kutosha juu ya jambo hilo. Sasa tufanye tathmini ndogo hapa kila mtu aoneshe upande wake anaochagua kwamba anaunga mkono au haungi mkono maandamano...
  13. R

    Madaktari waunga maandamano ya Gen Z Madagascar, Rais aitisha mazungumzo baada ya kupewa muda wa saa 48 na Waandamanaji kuitikisa nchi nzima

    Waandamanaji waliendelea kujitokeza mitaani nchini Madagascar Oktoba 7, 2025, siku moja baada ya Rais Andry Rajoelina kumteua waziri mkuu mpya Jenerali wa Jeshi, katika juhudi za kupunguza mzozo unaoendelea. Katika mji mkuu Antananarivo, hasira zimeenea hadi sekta ya afya, ambapo mamia ya...
  14. M

    GE2025 Maandamano yatafanyika

    Siku ikifika kila mtu atashika mkono wa Jirani yake, watashikana na kuunda mnyororo wa watu nchi nzima
  15. McLaren

    Maandamano yanaendelea Madagascar. Gen Z wamechafukwa

    Maelfu ya vijana wamejitokeza tena mitaani katika mji mkuu Antananarivo, wakiendelea kushinikiza serikali kushughulikia ukosefu wa maji, kukatika kwa umeme, na ufisadi. Tizama hali ilivyokuwa wakati wa makabiliano ya polisi na waandamanaji.
  16. adriz

    Maono kuhusu muelekeo na upepo wa Maandamano 29/10

    Moja kwa moja. Katika harakati zote za maandamano bongo hakuna maandamano ambayo yanajoto , hamasa , vuguvugu na muamko mkubwa kama hii ya safari hii , pamoja na hayo sioni kabisa kufanikiwa kutokana na sababu nyingi miongoni mwa hizo ni zifuatazo ; 1. Nguvu yake , umaarufu na hamasa ni...
  17. Ghayo El Yehudi

    Maisha ya kujifanya Che Guevara bongo utaumia

    Rejea kichwa Cha Uzi . Kujifanya wewe mpambanaji kupambania watu wasiojitambua ni kazi ya kiboya. Wewe Kaa na familia tulia kula ugali dagaa maisha yaendelee .
  18. McLaren

    Picha: Ile Press aliyofanya Mlunga jana kumjibu Kapteni Tesha naona wameilipia tangazo huko Youtube

    Wakuu, Hivi hizi hela hawa jamaa wanazotumia kwenye hizi propaganda zao si ni kodi zetu Watanzania? Mbona kama mfumo umepaniki sana?
  19. Zacht

    Watu zaidi ya Milion mbili walijitokeza kwenye maandamano ya kupinga vita vya Israeli.

    Maandamano hayo yalioyotokea katika miji mikubwa ya italia yenye wito wa kuupinga uhusiano wa kifedha, kisiasa na kijeshi kati ya Italia na Israel, na kuhakikisha misaada ya kibinadamu inaingia Gaza bila vizuizi.  ******* Hauitaji kuwa na upande kwenye kukemea maovu moyo wa utu haujafungwa...
  20. H

    GE2025 Binafsi sioni kutakuwa na maandamano Kama inavyozungumziwa

    Ukiangalia vizuri maandamano Kama vile yamekaa kichama zaidi kuliko kitaifa hata ukisikia anayehamasisha uhusisha Chadema kama Chama cha upinzani usikii wakiungamisha makundi yote kwa pamoja ndio maana Kuna wengine hawayatolei uzito au kuhamasika kuunga mkono. Ukiangalia sehemu nyingi ambazo...
Back
Top Bottom