maandamano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Serikali iombe radhi kwa kosa gani? Yale hayakuwa maandamano ni ghasia

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Mzee Stephen Wasira, akihojiwa leo Agosti 19, 2026, katika kipindi cha UTV amesema Serikali haiwezi kuomba radhi kwani ilitimiza wajibu wake wa kulinda amani. Mzee Wasira ameongeza kuwa kile kilichotokea Oktoba 29, 2025 haikuwa...
  2. JamiiForums Tanzania Mambo 7 niliyojifunza kupitia maandamano ya 29 Oktoba 2025

    MAMBO 7 NILIYOJIFUNZA KUPITIA MAANDAMANO YA 29 OKTOBA 2025 Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. HASIRA ZA WANANCHI PEKEE HAZITOSHI KUANGUSHA SERIKALI. Maandamano yanaweza kuonyesha ukubwa wa hasira na kutoridhika kwa wananchi, lakini hilo pekee halimaanishi serikali itaondoka madarakani...
  3. JamiiForums Tanzania Je, maandamano ya kuitisha kila mtu nchini bado ndiyo njia sahihi?

    Kwa mtazamo wangu maandamano yanaweza kuwa na maana zaidi pale yanapokuwa na kundi maalum lenye madai yanayoeleweka na yanayohusu moja kwa moja maslahi yao kwa mfano wafanyakazi, wanafunzi, madereva au kundi fulani la kijamii. Kwa mfano wanasiasa au wanaotaka kugombea nafasi kwenye uchaguzi...
  4. H

    JamiiForums Tanzania LUCY KOMBA AOMBA MSAMAHA KUHAMASISHA MAANDAMANO

    LUCY KOMBA AOMBA MSAMAHA KUHAMASISHA MAANDAMANO Badala ya kumkebehi au kumdharau kwa kujishusha na kuomba msamaha, tujifunze kwamba kuomba msamaha ni ishara ya ujasiri na uwajibikaji. Pia tukumbuke kuwa nyumbani ni nyumbani. Tunaweza kwenda sehemu mbalimbali kutafuta fursa au kuishi, lakini...
  5. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Lucy Komba: Naomba msamaha kwa maandamano ya mwaka jana

    Mwigizaji wa zamani wa maigizo lucy Komba ameomba msamaha kwa Serikali na wananchi wa Tanzania kufuatia mjadala ulioibuka baada ya kuwa moja ya watu waliowahi kuzua kauli tata za maandamano Mwaka Jana. Baadhi ya wananchi na watumiaji wa mitandao ya kijamii wanamtuhumu Lucy Komba kuwa alikuwa...
  6. JamiiForums Tanzania CHADEMA wapuuzeni Chaumma msijibu hoja zao. Ninyi komaeni na operation tonetone na Maandamano ya kumtoa Lissu jela

    Ukimjibu mtu ambae hana hoja katika jamii. Unampa mtu nafasi kujiona anafaa. Dili la Chauma kutumiwa na CCM lilishabuma. Andaeni maandamano ya nchi nzima Lissu aachaiwe maana akitoka nje CCM watakiona cha moto.
  7. JamiiForums Tanzania Bora wangeacha maandamano ya 7/7 yaendelee...

    Kuweka mizengwe hakukusaidia tension iliyokuwepo already.... Wananchi wamebaki resentful kwa sababu ili serve kama reminder kuwa wako powerless hata pale rights zao zinapokuwa violated....(right to protest) Kusema tuko vizuri kisiasa ni ku undermine hii tension iliyopo..ingawa tunaelewa ni...
  8. JamiiForums Tanzania Kama maandamano yamepigwa marufuku, sasa haya kusema Heche kajinufaisha mmewezaje kuruhusu?

    Tukisema CCM ni takataka wakina Lucas Mwashambwa Tlaatlaah ChoiceVariable Crocodiletooth na wengine vinara. Haya mtueleze haya maandamano ni ya pesa yapo uhuru kupitia wizara gani. Mkija na jibu naomba kuuliza kama vibari hivyo na kuitisha hayo walipata kwa waziri wa kikosi cha ugaidi wa...
  9. JamiiForums Tanzania Maandamano ya wanafunzi India 🇮🇳, Polisi asimamishwa kazi kwa kufyatua risasi hewani.

    https://youtube.com/shorts/jof90QKuFB0?si=hclAlCCqaPicJ6CD
  10. JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Maandamano Kuwait

    Kulingana na vyanzo ulivyotoa, neno "maandamano" na harakati za kudai mabadiliko zimezungumziwa katika mazingira mawili tofauti: maandamano ya wananchi katika nchi za Ghuba dhidi ya kambi za kijeshi za Marekani, na wito wa vijana wa Tanzania kuchukua hatua za ujasiri kudai mabadiliko ya...
  11. JamiiForums Tanzania Kuogopa Maandamano ni ushamba na kutojiamini, tuliandamana miaka ya Mwalimu!

    Kwa miaka hii ya karibuni, tena wakati huu ambapo tunajiita Demokrasia imeongezeka, inashangaza watu kuogopa maandamano. Nimemsikiliza Wazira juzi kwenye luninga , nikajua huyu ni mshamba mwingine tu. Miaka ya Mwalimu, kwanza tukiwa Praimari, yalitokea maandamano makubwa sana kuunga Azimio la...
  12. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KNCHR Yapendekeza Sheria Mpya ya Kusimamia Maandamano na Mwenendo wa Polisi

    Tume ya Kitaifa ya Haki za Kibinadamu nchini Kenya (KNCHR) imewasilisha pendekezo la sheria mpya inayolenga kuweka mfumo wa kisheria wa kusimamia maandamano, mikutano ya hadhara, kupiga kambi za maandamano na mwenendo wa polisi wakati wa shughuli hizo. Pendekezo hilo la Sheria ya Uwezeshaji wa...
  13. JamiiForums Tanzania Hivi tukiamua kufanya maandamano ya bila ukomo kuwataka wazungu warudi kututawala hawatatusikiliza kweli?

    Nimejaribu kuwaza maana maisha wanayoishi raia siyo poa kabisa. Ukiwa mjini utaona mambo yako sawa kiasi nenda vijijini mzee, aseeee Ni mwendo wa kubeba bendera za Britain na chanting za "Long live the King! 👑"
  14. JamiiForums Tanzania Mapinduzi ya Uturuki na waliyokumbuka na sheria zikabadilishwa ila hapa Tanzania mnaogopa nini?

    Jioni hii naona makala za waturuki kukumbuka siku ya jaribio la mapinduzi ila kwetu kuna wa puuzi October 29 ni kama kulikuwa na kibao kata cha chawa. uturuki wanatuzidi mambo mengi leo mnaona mpo kama hivi
  15. JamiiForums Tanzania Wafanyakazi wanaolipwa mishahara duni na kufanya kazi masaa mengi kwa siku wanatamani angalau kwa wiki siku moja yatangazwe maandamano ili iwe offday

    Hamjambo! Hii ni maajabu. Nasindwa kuhelewa. Katika mishemishe zangu huko nikatokea kijiwe fulani hivi huko mjini kati. Sasa wale vijana wanafanyia kazi katika moja ya viwanda hapa jijini. Vijana wanakuambia, kazi ni ngumu sana. Kazi wanafanya Masaa zaidi ya 12. Malipo ni kidunchu. Siku za...
  16. F

    JamiiForums Tanzania Haya maandamano mnayofanya hapa Watanzania nawaambieni yana matokeo makubwa zaidi kuliko yale ya mtaani

    Ni heri serikali ingeruhusu watu kuandamana mitaani kuliko haya maandamo yanayofanywa sasa mitandaoni. Maandamano haya yana madhara makubwa kwa utawala laiti wangefahamu hili. Maandamano haya hayafanyiki siku moja yakaisha kama yale ya mitaani, ni kila ukicha maandamano haya yapo na yanavuka...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Balozi Sefue: Maandamano halali yana masharti, watu wanasema Polisi wameua watu lakini polisi hawakuamka tu wakaamua kuua

    Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu, Balozi Ombeni Sefue, amewataka wananchi, hasa vijana, kuacha kuiga kiholela mifumo ya maandamano ya nchi za nje ambayo mara nyingi husababisha uharibifu wa mali, vitisho kwa vyombo vya usalama, na taharuki katika jamii. Akizungumza katika mahojiano na Mwananchi...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Siku 30 za CW zinatoa nguvu kwa maandamano ya 8/8 katika uso wa jumuiya ya kimataifa. Je mwaka huu utakuwa mwaka wa maandamano na migomo?

    Katika hali ya kipekee October 29 ni kama jana, hii siku haijafutika katika vichwa vya Watanzania wote na ukisoma Barua ya Common wealth, kuanzia siku 30, 60, 90 yote yanatoa nguvu Kwa maandamano ya 8/8 hadi October 29 kuwa na sura ya shinikizo la kimataifa na kuungwa kwake. Hizi siku 30...
  19. K

    JamiiForums Tanzania Baada ya maridhiano nini kinafuata, uchaguzi unarudiwa au, Isije kuwa ni maridhiano ya kugawana vyeo maana kila baada ya uchaguzi maridhiano

    Kwa akili ya kawaida mnapokuwa na mgogoro mnatafuta sababu za mgogoro harafu ndo mnakubaliana kuutatua huo mgogoro , Hapo ili kupata suruhu huwa tunatafuta mtu watatu ambaye atakaa katikati kuhakikisha pande zote mbili zinaridhia yale yaliyojadiliwa na kuafikiwa yanatekelezwa. Kama sababu za...
  20. E

    JamiiForums Tanzania Serikali Ishughulikie Malalamiko ya Wanaoitisha Maandamano, Sio Kupambana Nao

    Tishio la maandamano la hivi karibuni la Julai 7, 2026, limeibua mjadala mpana na mzito nchini kuhusu namna bora ambayo Serikali inapaswa kukabiliana na changamoto za kisiasa na kijamii zinazochochea wananchi na wanaharakati kutangaza maandamano. Badala ya kuwekeza nguvu nyingi na mabilioni ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…