Tujihoji: Hivi kuitisha maandamano ya amani ili Lissu aachiwe ni kosa? Mbona Nelson Mandela alipokuwa Gerezani watu walikuwa wanaandamana?

Tujihoji: Hivi kuitisha maandamano ya amani ili Lissu aachiwe ni kosa? Mbona Nelson Mandela alipokuwa Gerezani watu walikuwa wanaandamana?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
7,471
Reaction score
9,503
Yaani kuandamana kwa amani kushinikiza mtu asiye na kosa aachiwe ni kosa?

Dunian nzima ilipinga kufungwa kwa Nelson Mandela. Na maandamano yalikuwa yakifanyika hata hapa Tanzania.

Leo kusema tu tutaandamana kwa amani kushinikiza Lissu aachiwe imekuwa ni kosa?
 
Ccm ya enzi za nyerere na hii ccm ya sasa ikitokea zinakutana lazima pachimbike, na patachimbika kweli maana zitapigwa hapo kantifu la kufa mtu
 
Yaani kuandamana kwa amani kushinikiza mtu asiye na kosa aachiwe ni kosa?

Dunian nzima ilipinga kufungwa kwa Nelson Mandela. Na maandamano yalikuwa yakifanyika hata hapa Tanzania.

Leo kusema tu tutaandamana kwa amani kushinikiza Lissu aachiwe imekuwa ni kosa?
Kwa CCM ''kosa'' ni kitu chenye defination tofauti na na maana tunayoijua. Hawa watu wamelewa madaraka na bila kuondolewa hakuna siku nchi itakuwa na usawa.
 
Yaani kuandamana kwa amani kushinikiza mtu asiye na kosa aachiwe ni kosa?

Dunian nzima ilipinga kufungwa kwa Nelson Mandela. Na maandamano yalikuwa yakifanyika hata hapa Tanzania.

Leo kusema tu tutaandamana kwa amani kushinikiza Lissu aachiwe imekuwa ni kosa?
Watanzania hasa walio kwenye mifumo washamba na waoga!
 
Mbona nchini mlw pia kuna utumwa+ufalme gentleman

Narudia bora kaburu lakini mkoloni mweusi hafai

Ova
ni muhimu zaidi kua na fikra za mageuzi ya kimkakati na sio kitumwa namna hiyo gentleman 🐒
 
Nyie mko utumwani huko mbona gentleman 😄

Ova
bado nasisitiza waTanzania wote kuondokana na dhana na fikra potofu za kitumwa kama hizo, badala yake wajikite katika kutafuta majawabu ya kimkakati katika kutatua changamoto zao za kijamii, kisiasa na kiuchumi 🐒
 
bado nasisitiza waTanzania wote kuondokana na dhana na fikra potofu za kitumwa kama hizo, badala yake wajikite katika kutafuta majawabu ya kimkakati katika kutatua changamoto zao za kijamii, kisiasa na kiuchumi 🐒
Mimi naishi dunia ya kwanza kwa sasa gentlemen hakuna changamoto ya kijamii huku nlipo 😄
Kila kitu mswano.....

Ova
 
Mimi naishi dunia ya kwanza kwa sasa gentlemen hakuna changamoto ya kijamii huku nlipo 😄
Kila kitu mswano.....

Ova
pamoja na hayo naona fikra na dhana potofu bado unazo akilini mwako gentleman,

you have to change that 🐒
 
Julian Assange alipokuwa gerezani Belmarsh huko London kati ya miaka ya 2019–2024 wanaharakati kote duniani hasa UK, Marekani na Australia waliandamana na kukesha mbele ya majengo mbalimbali ya serikali katika nchi husika, ikiwemo nje ya gereza alilokuwa ameshikiliwa, bunge wakishinikiza aachiwe huru.
Naye alikuwa na kesi ya kujibu kama Lissu.
Hakukufutwa kikundi au chama chochote cha kisiasa.
Haya mambo ndiyo yalizalisha machafuko ya Oktoba 29, 2025.

CCM na serikali yake tumieni busara mnapofanya maamuzi. Matatizo mengine mnayatafuta bila sababu ya msingi, ni woga tu wa kufanya siasa za ushindani.

Ipo siku wahusika mtakao kuwa hai nchi ikichukuliwa na vyama vingine mtateseka sana. Tena wakati huo mtakuwa wazee sana, wastahafu.
Muda wa kulea wajukuu, kulisha tausi, kuku, Bata bukini na kukamua maziwa ng'ombe mtakuwa jela au mahakamani kila siku.
Kamwe muhaini haiwezi kuachiwa huru, anastahili haki na hukumu ya kunyongwa hadi kufa kwa mujibu wa sheria dhidi ya uhalifu wake wa kimkakati kuelekea kukinukisha October 29, 2025.🐒
 
Kamwe muhaini haiwezi kuachiwa huru, anastahili haki na hukumu ya kunyongwa hadi kufa kwa mujibu wa sheria dhidi ya uhalifu wake wa kimkakati kuelekea kukinukisha October 29, 2025.🐒
We pimbi huna akili. Ameshatiwa hatiani kwa uhaini?
 
Back
Top Bottom