In computing, a legacy system is an old method, technology, computer system, or application program, "of, relating to, or being a previous or outdated computer system," yet still in use. Often referencing a system as "legacy" means that it paved the way for the standards that would follow it. This can also imply that the system is out of date or in need of replacement.
Jesca Magufuli ulifanya mahojiano na Millard Ayo na katika mahojiano hayo ulikiri kwamba familia nzima ya hayati John Magufuli haikufahamu alipo hadi siku ilipotangazwa na raisi Samia kwamba John Magufuli amefariki.
Baadae tumeona na kusikia kwamba Jesca Magufuli umepitishwa kugombea nafasi za...
Remembering Nyerere: Road to hell is paved with good intentions
By Charles Makalala
Thursday, October 09, 2025 - 5 min read
It’s that time of year again. The day we mark the passing of Tanzania’s founding father, Julius Kambarage Nyerere. Twenty-six years now.
I remember the day he died...
CHADEMA ni chama cha kishujaa, chama ambacho kitadumu milele duniani. Hii sio propaganda, ni historical inevitability. Spirit yake haiwezi kufutwa, haikatakaa kife.
CCM, mnadhani kuzuia opposition ni strategy ya successful state? Kwa nini mnajiona mna-right ya ku-destroy chama kilicho imara...
Alikuwa Katibu Mwenezi wa CCM aliyetumia muda mwingi kufanya mambo yasiyoeleweka.
Alikuwa anakata mauno mbele ya watu, badala ya kuongelea wakulima, wafugaji au katiba mpya.
Kila linapotajwa jina la Job Ndugai kwangu hunijia taswira ya spika mbabe aliyewanyoosha haswa wapinzani ndani ya bunge, mjivuni wa mamlaka ya dola, sakata la covid19 na bunge kupitisha sheria ya wenza wa viongozi kulipwa kwa sababu ya kuwa wake au waume wa viongozi.
Zaidi sana ni bunge...
Kitabu Cha Zero to Legacy: Safari ya Kijana wa Kiafrika.
Mwandishi: Robert Heriel
+255693322300
Oooh! Taikon andika vitabu! Ooh! Achana na stori za abunuasi sijui riwaya. Ndugu zangu, sisi wengine nusu ya maisha yetu tunaitumia kuandika na kusoma. Kwetu kuandika ni Hobby. Nikiacha Maneno...
Kama mtunzi hii ni simulizi yangu ya kwanza kuandika na kuitangaza nje ya jukwaa husika. Mimi ni mwandishi wa simulizi kutoka jukwaa la fasihinet.com ya boss singanojr 😁
Nisielezee sana kuhusu mimi. Mimi ni Samuel jk(jins halisi) lakini nalipenda neno Euphoria kutokana na maana iliyopo na hii...
THE LEGACY OF MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE: The Powerful Lesson for Africas New Generation.
ECKERNFORDE TANGA UNIVERSITY
P.O BOX 5079, TANGA.
Authors:
Jilala Simon N. (Assistant Lecturers in Development Studies and History)
and,
S.T.Shemhilu, (Assistant Lecturer History)
If...
Wanabodi heshima kwenu.
Mh waziri Mkuu Mjomba, unabakiza miezi michache kabla kumaliza karibia miaka 10 ya uwaziri wako mkuu.
Leo hii uaweza kutembea kifua mbele kwa lipi ulilowafanyia watu wa kusini??
Katika National level hakuna ubishi hamna jambo la pekee ambalo watu wanaweza liona, na ndio...
Katika kumbukizi ya miaka 4 Toka aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 Hayati Magufuli atutoke
Magufuli ni Rais ambaye hakuacha Legacy yoyote hapa nchini na badala yake alituachia mzigo ambao Rais Samia anapambana kusawazisha mambo
1. Aliharibu upande wa diplomasia
Magufuli ndo aliwaita wawekezaji...
Wiki jana kitabu cha mwandishi Erick Kabendera kinachomhusu Rais Magufuli ndo kilikuwa habari ya mujini, at least humu kwenye viuchochoro vya kwenye mtandao.
Kitabu chake hicho kina madai makubwa sana ambayo hayakuambatana na ushahidi/ ithibati madhubuti.
Ni madai ambayo mtu unategemea...
Na kalaga baho Nongwa
Wazee sina neno kubwa leo, nimekumbuka sana uwepo wa advanced marginalised Community nchini. Niliwah kuandika habari zao humu ndani kwamba, hao watu wametokea katika makalio ya dunia. Yani huko ndugu zangu kila kisanga kisanga, wamakonde wanaitaga "ng'anya".
Huko ukikaa...
Mstaafu kastaafu wananchi pamoja Rais Samia wamemstaafisha .
Rais Samia kaamua kutengeneza kumbukumbu yake kwa vizazi vijavyo
Kaamua ku move na watu watakao msaidia kutimiza lengo lake .
2030 hope atastaafu ,Mungu akimjalia kuishi miaka 20-30 mbele afurahie alicho kifanya .
Ni jambo zuri...
The legacy of colonialism in Africa is a well-documented narrative of exploitation, oppression, and plunder. European powers carved up the continent, extracted its wealth, and subjugated its people. Yet, as Africa moves further from the shadow of colonial rule, a disheartening reality emerges...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.