kutetea

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Ureno watafanikiwa kutetea Euro Cup, Sioni wa kuwazuia

    Timu ya Ureno chini ya nahodha Ronaldo itafanikiwa kutetea ubingwa wa mataifa ya Ulaya. Japo waliteleza kwa kujifunga mabao mawili dhidi ya Germany na yakawachanganya hadi kupoteza mechi hiyo, lakini kikosi chao kimekamilika sana. Dalili kuwa watabeba kikombe itaonekana watakapocheza na kinara...
  2. Sky Eclat

    Mtakatifu Thomas More alikua Mshauri katika Baraza la Mfalme Henry VIII aliuawa kwa kutetea Imani yake ya Kikatoliki

    On 6 July 1535 , Thomas More was led from the Bell Tower up to the scaffold on Tower Hill. He appeared calm and in good humour, and even share a joke with the officer who assisted him onto the scaffold: ‘ I pray you, master Lieutenant, see me safe up, and for my coming down let me shift for...
  3. Mung Chris

    Je, asiye mwanasheria anaweza kumsaidia mtu asiyeweza kujieleza mahakamani na kumtetea?

    Naomba kuuliza, Kuna ndugu yangu yupo mahakamani hana uwezo wa kujieleza mbele ya mahakama, je mimi raia wa kawaida nisiye mwanasheria naweza nikamsaidia kumtetea na kumsaidia kwenye shughuli zake za kisheria? Kama ni ndio hii sheria ni mpya na imeanza lini ya kumruhusu mtu wa kawaida. Ahsanteni.
  4. Etwege

    Tutegemee CHADEMA kuanza kutetea wamachinga?

    Baada ya jiji kuajiri wanamgambo wa kupiga wamachinga na Mama Ntilie ifikapo tarehe 18/5, angalau jiji la Dar litaanza kuonekana sasa maana moshi wa mamantilie wanaopikia kuni pembeni ya barabara ndo ulikua unaonekana. Yaani hata Nairobi au Kigali tu walikua wanaonekana wametuacha mbali kisa...
  5. Mgombezi

    Chama cha Kutetea Abiria (CHAKUA)

    Kwa mara ya kwanza leo nimepata kusikia kwamba kuna chama cha kutetea abiria pale ambapo mwenyekiti wake alipokuwa anahojiwa TBC1 katika kipindi cha usiku wa habari, alikuwa anahojiwa juu ya tukio la jana (1/5/11) madereva wa mabasi ya kwenda mkoani kugoma. Swali langu ni kwamba chama hiki...
Back
Top Bottom