Kwa sisi Wanasheria Kanuni na Sheria Kuu za Ushahidi zinasema Ushahidi usiotiliwa mashaka na unaopaswa kuzingatiwa moja kwa moja na Mahakama au Mfanya maamuzi ni Ushahidi wa Mtu aliyetenda kitendo husika au aliyekuwepo eneo la tukio wakati kitendo hisika kinafanyika.
Kwa maneno ya Humphrey...
Inakuaje walioshinda Kwa Kura za wajumbe wamekatwa halafu wamepitishwa wale ambao hawakupitishwa na wajumbe??
Nguvu ya wajumbe haithaminiwi au hawana umuhimu?
Lengo ni watu wafanye Cross checking ya majina hayo kama kweli watu hao walienda kujiandikisha.
Nje ya hapo Uchaguzi wa 2025 ni batili kwa sababu matokeo sio takwa la wananchi
CCM B (ACT, CHAUMA, NCCR, TLP, CUF n.k) sijui mnaingiaje kwenye uchaguzi huu mkiwa tayari mmeshapigwa 3 bila.
Kuna ushahidi bila shaka kwamba tume ya uchaguzi inapika data na kupiga kura ni kiini macho tu. Pili hakuna democracy hata kwa wateule wa ndani ya chama tawala wamejaza ndugu, machawa na marafiki. Tatu vyama vya ACT na Chauma ni vya CCM. Sasa ni ujinga gani kwenda kupiga kura🤦🏾♂️😂🤮
Hii ndio Taarifa ya sasa ambayo tunaweza kuithibitisha bila shaka yoyote baada ya timu yetu ya Uchunguzi kukamilisha kazi katika Mikoa 7 tuliyoitumia kama Sampo, baada ya Humphrey Polepole Kuikata mtama kwa style ya Kata funua mifumo ya Uchaguzi ya Tanzania
Pamoja na Kailima kujitokeza kupiga...
Awali, 2015 nilisimama kwenye foleni zaidi ya masaa matano. Nilimpigia Kura Lowasa kumbe Nilikua najisumbua tu.
2020 tena kumbe narudia kosa la 2015. Asante MIDA. Mnaupiga mwingi.
2025 sasa ujinga umeniisha rasmi.
Level ya Uhuni unaofanywa na CCM kwa Watanzania imevuka uhuni wanaoweza kuufanya Wanasiasa wowote hapa Duniani.
Inajulikana duniani kote kuwa Wanasiasa wanawadharau sana raia ila wanawaogopa sana Wanajeshi. Ila kwa Tanzania hali ni tofauti. Kiburi cha CCM kimevuka hadi level ya kuwadharau raia...
Kwa mfumo wao wa NIDA asee unaweza usifike kituo cha kupiga kura lkn mfumo ukatick umepiga kura tena umechagua CCM kabisa
Yaani kura inajipiga automatically wewe ukiwa om afu utasikia 30 millon wamemchagua Samia then hiyo 7 million ni CHAUMMA na matawi mengine
Kwasababu serikali yetu siyo sikivu na inaamua nani awe nani asiwe wote kwa pamoja tunaweza kuacha kwenda kupiga kura siku ya tarehe 29.10.2025
👉Ushahidi upo wazi kama mama alisema magwajina yote hayatakiwi kwenye chama kwa kukemea utekaji iweje atuhamasishe tupigie kura watekaji waendelee...
Wakuu!
Waswahili wanasema uUsiamini vicheko!
Hali ilivyokuwa kabla ya zoezi la upigaji wa kura za maoni kwa nafasi ya ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Nzega Vijijini, ambapo Neto Kapalata ameshinda kwa kura 2,570 dhidi ya kada mkongwe wa chama hicho na mbunge...
Inawezekana kabisa CCM inazihitaji zaidi REFORMS kuliko hata Chadema na wenzao.
Leo huko mkoani Simiyu, jimbo la Kisesa, wajumbe wamegoma kupiga kura wakimtaka mbunge wao aliyekatwa jina.
Wao wamesema wanamtaka mbunge wao, hawapigi kura za maoni siku ya leo hadi waletewe mbunge wao. Hawana...
Wajumbe wa Kata ya Tabata Jimbo la Segerea, jijini Dar es Salaam wametakiwa kutoka ndani ya ukumbi mara baada ya kupiga kura.
Hata hivyo, tangazo la kuwataka watoke ndani kwenda nje limeibua malalamiko leo Jumatatu, Agosti 4, 2025 katika ukumbi wa Green Light kutoka kwa wajumbe.
Hatua hiyo...
Umemsalimia mjumbe wako asubuhi ya leo?
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema CCM itahakikisha inateua wagombea wazuri wanaokubalika kwa wapiga kura, akiwataka wajumbe wa vikao vya kura za maoni kusikiliza maoni ya wananchi wanapoenda kupiga...
Wajumbe Mbalimbali wa Mkutano Mkuu Wa UVCCM hapa Mtumba Dodoma, Kwenye Mkutano Mkuu Maalumu , ambapo Leo Vijana wa Chama Cha Mapinduzi wanapiga kura kuchagua Wabunge wa Viti Maalumu watakaowakilisha Vijana wa Chama Hicho
Wanabodi
Na leo ni kama jana mwendo wa Harusi ya Kana,nimekutana na kichupa kidogo kinaitwa Imagi!,hii kitu ni noma!nimezamisha kamoja tuu!kamenituma nishuke JF,natiririka tuu。。。
Mada ya leo ni kuhusu Katiba Ilidhamiria nini kuhusu haki ya kuchagua na kuchaguliwa。
Katiba ilidhamiria watu wawe...
Tume ya Uchaguzi na CCM yenu mnatakiwa mjitafakari sana kwamba;
Vijana na Gen Z kujiandikisha kwetu kwa wingi kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, kusiwafanye muwe na uhalali wa kuamua na kuwa na kauli moja kwamba tutapiga kura!. Kura hatutapiga ila tutatumia hivyo vitambulisho kuombea...
Nimepitia takwimu ya Sensa ya taifa iliyofanyika 2022, katika jedwali la mgawanyo wa idadi watu kiumri katika makundi ya miaka mitano mitano ( Population Distribution by Age Group).
Ukianzia na kundi la chini kabisa la miaka (15 - 19) mpaka la wale zaidi ya umri 85 .
Jumla ni watanzania...
Kinachoshangaza ni hivi wanawake na wanaCCM wanaojumuika jimboni humo wameahidi kwamba hawatashiriki katika kura za maoni zinazopangwa kufanyika tarehe 2 Agosti 2025 – iwapo jina la Luhaga Mpina halitarudishwa kwenye mchakato huo .
Hali hii inaashiria mgawanyiko ndani ya chama na wasiwasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.