kupiga kura

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Lord Denning

    Tuseme ukweli tu: Yeyote atakayepiga kura Oktoba atakuwa na Mtindio wa Ubongo

    Kwa sisi Wanasheria Kanuni na Sheria Kuu za Ushahidi zinasema Ushahidi usiotiliwa mashaka na unaopaswa kuzingatiwa moja kwa moja na Mahakama au Mfanya maamuzi ni Ushahidi wa Mtu aliyetenda kitendo husika au aliyekuwepo eneo la tukio wakati kitendo hisika kinafanyika. Kwa maneno ya Humphrey...
  2. comrade_kipepe

    Swali: Kuna umuhimu gani wajumbe wa CCM kupiga kura kuchagua wagombea?

    Inakuaje walioshinda Kwa Kura za wajumbe wamekatwa halafu wamepitishwa wale ambao hawakupitishwa na wajumbe?? Nguvu ya wajumbe haithaminiwi au hawana umuhimu?
  3. B

    INEC ili kujibu tuhuma hizi za kutumika na CCM, walazimishwe ku print majina yote mil 37 ya waliojiandikisha kupiga kura

    Lengo ni watu wafanye Cross checking ya majina hayo kama kweli watu hao walienda kujiandikisha. Nje ya hapo Uchaguzi wa 2025 ni batili kwa sababu matokeo sio takwa la wananchi CCM B (ACT, CHAUMA, NCCR, TLP, CUF n.k) sijui mnaingiaje kwenye uchaguzi huu mkiwa tayari mmeshapigwa 3 bila.
  4. K

    Hakuna democracy hata kwa wateule wa ndani ya chama tawala wamejaza ndugu, machawa

    Kuna ushahidi bila shaka kwamba tume ya uchaguzi inapika data na kupiga kura ni kiini macho tu. Pili hakuna democracy hata kwa wateule wa ndani ya chama tawala wamejaza ndugu, machawa na marafiki. Tatu vyama vya ACT na Chauma ni vya CCM. Sasa ni ujinga gani kwenda kupiga kura🤦🏾‍♂️😂🤮
  5. Erythrocyte

    Watanzania kwa Umoja wao waidharau Tume ya Uchaguzi, Waamua kutopiga Kura

    Hii ndio Taarifa ya sasa ambayo tunaweza kuithibitisha bila shaka yoyote baada ya timu yetu ya Uchunguzi kukamilisha kazi katika Mikoa 7 tuliyoitumia kama Sampo, baada ya Humphrey Polepole Kuikata mtama kwa style ya Kata funua mifumo ya Uchaguzi ya Tanzania Pamoja na Kailima kujitokeza kupiga...
  6. and 998 others

    Nimejiona mjinga kwa kupiga Kura 2015 & 2020

    Awali, 2015 nilisimama kwenye foleni zaidi ya masaa matano. Nilimpigia Kura Lowasa kumbe Nilikua najisumbua tu. 2020 tena kumbe narudia kosa la 2015. Asante MIDA. Mnaupiga mwingi. 2025 sasa ujinga umeniisha rasmi.
  7. Lord Denning

    Level ya Uhuni unaofanywa na CCM kwa Watanzania imevuka uhuni wanaoweza kuufanya Wanasiasa wowote hapa Duniani

    Level ya Uhuni unaofanywa na CCM kwa Watanzania imevuka uhuni wanaoweza kuufanya Wanasiasa wowote hapa Duniani. Inajulikana duniani kote kuwa Wanasiasa wanawadharau sana raia ila wanawaogopa sana Wanajeshi. Ila kwa Tanzania hali ni tofauti. Kiburi cha CCM kimevuka hadi level ya kuwadharau raia...
  8. Think2

    Kwa nilivyomuelewa Polepole hata kama wananchi wakisusia kupiga kura, CCM itashinda tu

    Kwa mfumo wao wa NIDA asee unaweza usifike kituo cha kupiga kura lkn mfumo ukatick umepiga kura tena umechagua CCM kabisa Yaani kura inajipiga automatically wewe ukiwa om afu utasikia 30 millon wamemchagua Samia then hiyo 7 million ni CHAUMMA na matawi mengine
  9. upupu255

    PreGE2025 POTOSHI Gwajima aliahidi makanisa yake kupiga kura

  10. Tajiri wa kinyankole

    Naona inawezekana Watanzania wote kufanya shughuli zao tarehe 29.10.2025 kutoenda kwenye vituo vya kupiga kura

    Kwasababu serikali yetu siyo sikivu na inaamua nani awe nani asiwe wote kwa pamoja tunaweza kuacha kwenda kupiga kura siku ya tarehe 29.10.2025 👉Ushahidi upo wazi kama mama alisema magwajina yote hayatakiwi kwenye chama kwa kukemea utekaji iweje atuhamasishe tupigie kura watekaji waendelee...
  11. funaku

    Ulijisikiaje Kupiga kura kwa mara ya kwanza?

    Unakaribishwa kutoa maoni namna ulivyojisikia siku yako ya kwanza kupiga kura. weka maoni yako kwenye kura hii.
  12. Waufukweni

    GE2025 Wajumbe walivyombeba Juujuu Kigwangalla kabla ya Kupiga Kura na Kumbwaga

    Wakuu! Waswahili wanasema uUsiamini vicheko! Hali ilivyokuwa kabla ya zoezi la upigaji wa kura za maoni kwa nafasi ya ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Nzega Vijijini, ambapo Neto Kapalata ameshinda kwa kura 2,570 dhidi ya kada mkongwe wa chama hicho na mbunge...
  13. The Supreme Conqueror

    jimbo la Kisesa, wajumbe wamegoma kupiga kura wakimtaka mbunge wao aliyekatwa jina.

    Inawezekana kabisa CCM inazihitaji zaidi REFORMS kuliko hata Chadema na wenzao. Leo huko mkoani Simiyu, jimbo la Kisesa, wajumbe wamegoma kupiga kura wakimtaka mbunge wao aliyekatwa jina. Wao wamesema wanamtaka mbunge wao, hawapigi kura za maoni siku ya leo hadi waletewe mbunge wao. Hawana...
  14. W

    GE2025 Wajumbe Tabata watakiwa kutoka nje baada ya kupiga kura

    Wajumbe wa Kata ya Tabata Jimbo la Segerea, jijini Dar es Salaam wametakiwa kutoka ndani ya ukumbi mara baada ya kupiga kura. Hata hivyo, tangazo la kuwataka watoke ndani kwenda nje limeibua malalamiko leo Jumatatu, Agosti 4, 2025 katika ukumbi wa Green Light kutoka kwa wajumbe. Hatua hiyo...
  15. W

    GE2025 Nchimbi: Wasalimieni wajumbe wakiwa njiani kuelekea kupiga kura, waambieni tuletee fulani

    Umemsalimia mjumbe wako asubuhi ya leo? Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema CCM itahakikisha inateua wagombea wazuri wanaokubalika kwa wapiga kura, akiwataka wajumbe wa vikao vya kura za maoni kusikiliza maoni ya wananchi wanapoenda kupiga...
  16. R

    GE2025 Wajumbe Mkutano Mkuu UVCCM kupiga kura kuchagua wabunge viti Maalum, Dodoma

    Wajumbe Mbalimbali wa Mkutano Mkuu Wa UVCCM hapa Mtumba Dodoma, Kwenye Mkutano Mkuu Maalumu , ambapo Leo Vijana wa Chama Cha Mapinduzi wanapiga kura kuchagua Wabunge wa Viti Maalumu watakaowakilisha Vijana wa Chama Hicho
  17. Pascal Mayalla

    Katiba Ilidhamiria Watu Wawe Huru Kushiriki Uchaguzi kwa Uhuru wa Kuchagua Viongozi Wanaowataka na Uhuru wa Kugombea,Uhuru Huo Haupo!ni Dhambi Kubwa!

    Wanabodi Na leo ni kama jana mwendo wa Harusi ya Kana,nimekutana na kichupa kidogo kinaitwa Imagi!,hii kitu ni noma!nimezamisha kamoja tuu!kamenituma nishuke JF,natiririka tuu。。。 Mada ya leo ni kuhusu Katiba Ilidhamiria nini kuhusu haki ya kuchagua na kuchaguliwa。 Katiba ilidhamiria watu wawe...
  18. DON YRN

    Nilijiandikisha kupiga kura ili nipate kitambulisho na Siyo kupiga kura

    Tume ya Uchaguzi na CCM yenu mnatakiwa mjitafakari sana kwamba; Vijana na Gen Z kujiandikisha kwetu kwa wingi kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, kusiwafanye muwe na uhalali wa kuamua na kuwa na kauli moja kwamba tutapiga kura!. Kura hatutapiga ila tutatumia hivyo vitambulisho kuombea...
  19. T

    GE2025 Sensa 2022, watanzania umri miaka 15+ wapo 29,842,718 na hao ndio wanasifa kupiga kura 2025. Tume ya uchaguzi itujibu 37,655,559 wanatoka wapi?

    Nimepitia takwimu ya Sensa ya taifa iliyofanyika 2022, katika jedwali la mgawanyo wa idadi watu kiumri katika makundi ya miaka mitano mitano ( Population Distribution by Age Group). Ukianzia na kundi la chini kabisa la miaka (15 - 19) mpaka la wale zaidi ya umri 85 . Jumla ni watanzania...
  20. M

    Tetesi: GE2025 Wanaccm jimboni kwa Mpina wagoma kupiga kura za maoni

    Kinachoshangaza ni hivi wanawake na wanaCCM wanaojumuika jimboni humo wameahidi kwamba hawatashiriki katika kura za maoni zinazopangwa kufanyika tarehe 2 Agosti 2025 – iwapo jina la Luhaga Mpina halitarudishwa kwenye mchakato huo . Hali hii inaashiria mgawanyiko ndani ya chama na wasiwasi...
Back
Top Bottom