Mbunge wa Jimbo la Lupembe (CCM), Edwin Swalle, amesema ni makosa kuzuia uchaguzi au kuhamasisha watu wasishiriki kwa kuwa kushiriki uchaguzi ni haki ya kikatiba kwa kila Mtanzania.
Swalle ametoa kauli hiyo leo Aprili 30, 2025 bungeni jijini Dodoma wakati akichangia mjadala wa Makadirio ya...
Naimani Watanzania wengi wangepiga Kura, ila Uchaguzi huu, 2025.
Watakao Piga Kura Wengi ni CCM.
Mimi Sina Chama na sijawai Kupiga Kura toka nazaliwa kwa Sababu zangu Binafsi tu.
Na Kingine Kwa Mtazamo wangu mbona Kama Government inatumia Nguvu Nyingi Kuwaaminisha watu kua usahihi wa walioko...
Mi kwa mtazamo wangu, naona Haliwezekani Chama kilicho shika Dola, kuachia mamlaka kwa kupitia Box la kupigia kura kwa nikiangalia mfumo ulivyo, na Katiba ya Nchi inambeba alieko madarakani kwa Kila nafasi, Kwanza yeye ndio anaechagua Tume ya Uchaguzi.
2. Polisi Wote wanatumika kwa maslahi ya...
Habari ndo hiyo. Kwenye uchaguz serikali za mitaa nilienda nipogekura nikaahirisha baada ya kuona mgombea mlengwa ameenguliwa eti hajui kujaza form. Strangely huyo ni mgombea aliyekua mwenyekiti wakati wa rais kikwete
Kamwe siwezi kwenda kinyume na viongozi wangu wa kiroho, Wamewekwa wakfu ili kusimamia masuala ya Kiroho na Kijamii. Katika Biblia kitabu cha Wafalme tunaona Nabii Eliya akimkemea Mfalme Ahabu na kumueleza kwamba kwa sababu ya ubaya wake, hakungekuwa na mvua katika Israeli.
Kiburi, Jeuri na...
Wakuu,
Hivi ndio inavyotakiwa, sio viongozi wa dini wanageuka kuwa machawa na kuimba nyimbo za mitano tena wakati wanaona mambo hayaendi sawa.
====
"Madkteta wengi Duniani na hata hapa Afrika hawataruhusu uchaguzi ufanyike, kwani wataogopa uchaguzi ukifanyika hawatachaguliwa. Na kama...
Tangu nianze kupiga kura 2010 sijaona uchaguzi ulipoa kama huu.
Wapiga kura wa CCM wapo relaxed wana uhakika na matokeo hata wasipopiga kura.
wapiga kura wa vyama pinzani hawana imani kabisa na tume ya uchaguzi wanaona kupiga kura ni kupoteza muda.
Ikiwa imebaki miezi mitano tu mpaka uchaguzi ufanyike bila shaka maandalizi kabambe yatakuwa yameshaanza, Je ni kampuni gani walipewa tenda ya vifaa vya uchaguzi ikiwemo karatasi za kupiga kura?
Nmefatilia comments zinasikitisha sana
Swali liliulizwa na EATV Facebook lakin majibu yake yanasikitisha sana unaweza ukasoma nawewe
https://www.facebook.com/100064269896228/posts/1100106142141705/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
Baadhi ya wananchi katika mtaa wa Muriet kata ya Skokoni one mkoani Arusha wametishia kususia kupiga kura huku wakimtuhumu diwani wa kata hiyo na Mbunge wa Arusha mjini kwa kushindwa kutekeleza ahadi ya kujenga kivuko kinachounganisha zaidi ya kata tatu ikiwemo kata ya Muriet Sokoni one pamoja...
Baada ya CHADEMA kutangaza kutoshiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 na chaguzi ndogo zote kwa kipindi cha miaka mitano kutokana na kutosaini kanuni za Maadili ya Uchaguzi, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, CPA Amos Makalla amesema kila Mtanzania ana haki ya kupiga kura, hivyo...
Mara yangu ya mwisho kupiga kura ilikuwa mwaka 2019, wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Mwaka 2020 sikupiga. Haukuwa na mvuto kwangu.
Mwaka huu naona changamoto ya mwaka 2020 inaninyemelea. Huenda nisipige kura.
Na, kwa kuwa kupiga kura ni haki yangu, naamini na kutokupiga nako pia ni...
Sasa rasmi chadema hawatashiriki uchaguzi 2025 kwa kutosaini fomu ya maadili. Je hapo ulipo umejiandaa kupiga kura? Wananchi waliokuzunguka hapo ulipo wanasemaje? Unadhani Kuna namna ushiriki utapungua?
Habari Wana JF, naomba kujuzwa kidogo kwa Wenye uelewa wa Sheria, Je Kuto kupiga kura ni Kosa kisheria, na kama nikosa adhabu zake ni zipi.
Maana mi Binafsi naomba Kujua Hilo kwa Manufaa yangu na kizazi changu na Jamiii inayonizunguka.
Kila siku nasema hapa kuwa CCM + Serikali tulieni na tafuteni Watu wenye kujua KUFIKIRI vyema ili wawe Wanawashauri katika Mambo mengi ya Kimsingi (hasa ya Siasa na Matukio) kwani kuna Maamuzi mengi yanatoka Ngazi za Juu kwenda kwa Upinzani / Wapinzani ukiyapima kama Mtu MWEREVU unaona kabisa...
"Haiwezekani kuna wenzetu hawajapata haki ya kuandikishwa kuwa wapiga kura Zanzibar, kisha sisi tutoke kwenda kushiriki kwenye uchaguzi kirahisi hili haliwezekani na lazima tupambane nalo" Othman Masoud Othman.
Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Taif, Othman Masoud Othman amesema kuwepo kwa...
kwanza ni wawapi huyo yahaya? na familia yake inaishi wapi?
Yaani ameshindwa kuzuia watu wasijiandikishe kwenye daftari la kudumu la taifa la kupiga, hataweza kuzuia vyama vya siasa kuteu wagombeaji wa vyama vyao kushiriki uchaguzi huo muhimu, hataweza kuzuia tume huru ya taifa ya uchaguzi...
Tunajenga Tanzania bora kwa pamoja! Jiandikishe kwenye Daftari la Kudumu la Kupiga kura ili kushiriki kikamilifu katika Demokrasia.
Dkt. Kuduishe Kisowile
Influencer wa Mtandaoni (Kudu_ze_Kudu)
Unapofikisha Umri wa Miaka 18 au unapoelekea kutimiza ni jukumu lako kuhakikisha unakuwa na Kadi ya Kupiga Kura, Watu wanatakiwa kutambua unapokuwa na kadi hiyo siyo lazima uwe Mwanachama wa chama fulani, hiyo ni haki yako na una haki ya kupiga Kura
Rita Paulsen maarufu Madam Rita
Mwanzilishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.