Mgombea ubunge wa Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda ametoa elimu ya namna ya kupiga kura kwa baadhi ya wananchi wa visiwani Zanzibar.
Makonda ambaye amewasili visiwani humo mapema leo Ijumaa, Oktoba 24, 2025 kwa ajili ya kumuombea kura mgombea urais wa Jamhuri ya...
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema moja ya sharti la haki za binadamu ni kutowazuia wengine kupata haki yao ya kikatiba ikiwemo kupiga kura kuchagua viongozi na watakaodanya hivyo hawatavumiliwa.
Amesema CCM inaheshimu haki za binadamu, lakini...
Jeshi la Polisi limesisitizwa kusimamia ipasavyo Sheria ili kuhakikisha zoezi la Uchaguzi Mkuu linafanyika kwa amani, usalama na kuaminika katika jamii kwani wao ni wadau wakubwa katika kufanikisha zoezi hilo.
Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Mhe.Awadh A. Said, aliyasema hayo...
Wananchi wa Jimbo la Ushetu, wilayani Kahama, mkoani Shinyanga, wametakiwa kujitokeza mapema kuhakiki majina yao katika vituo 565 vya kupigia kura vilivyoandaliwa, huku waliopoteza vitambulisho vya kura wakiruhusiwa kutumia hati za kusafiria, leseni za udereva au vitambulisho vya Taifa (NIDA)...
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Salum Nyamwese amewahimiza wananchi wa wilaya hiyo kujitokeza kwa wingi kushiriki katika zoezi la kupiga kura litakalofanyika Oktoba 29, 2025, akisisitiza kuwa kila raia ana wajibu wa kutumia haki yake ya kikatiba badala ya kutegemea wengine wawapigie kura.
Nyamwese...
Miongoni mwa kundi lililopewa elimu na jeshi la polisi kipindi hichi cha uchaguzi basi ni bodaboda.
Yani sijuwi wameona kwamba ni rahisi kutumika na wanasiasa au vipi?
=================
Afisa Mnadhimu Mkoa wa Polisi Tarime Rorya Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Joswam Kaijanante amewataka...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Almachius Mchunguzi, ametoa wito kwa wananchi wa Mkoa wa Tanga kuendelea kudumisha umoja, amani na utulivu katika kipindi hiki cha kuelekea siku ya kupiga kura.
Ametoa wito huo leo tarehe 21 Oktoba 2025 kupitia kipindi maalum...
Inawezekana nikaonekana nauliza swali la kijinga lakini litakua na athari kubwa sana hiyo siku ya uchaguzi.
Kila anaetoka barabarani Hana alama kwamba anakwenda kupiga kura au kuandamana. Bado sijajua mamlaka hasa vyombo vya Ulinzi vitatumia mbinu gani kuepuka huu mchanganyiko.
Tusishangae...
Amani iwe nanyi
Asante sana
Itakuwa rahisi sana kukamatwa na kupigishwa kura kama tutakutana kwenye vituo vya kupigia kura
Tukutane tu barabarani wengine mitaan kwetu tushajipanga tiari tuna subiri mda tu tukiwashe
Naona sasa tunaanza kuangashana bado mapema
LONDON BOY
Cecilia naona hela inafanya kazi! Maana unajituma kuzipiga hizo kampeni kwa Samia. Au unautafuta uteuzi?
=================
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Cecilia Paresso ametoa wito kwa wapiga kura kupiga kura kwa usahihi ili kuepuka kura zao kuharibika.
Ametoa wito huo...
Ni kweli, lakini uchaguzi wa mwaka huu umejaa dosari mapema sana!
Ukitizama hata mgombea wa chama tawala ndani ya chama chao utaratibu ulivunjwa kumpitisha, lakini wakakaza fuvu! Tunasema uchaguzi huu ni batili
=====================
Mkurugenzi wa Everlasting Legal Aid Foundation, Dokta Khamis...
Kwa huzuni sana nimelazimika kuweka status kuwa mwanafamily yeyote ambae kwa namna moja ama nyingine kutokana na tamaduni zetu kiafrica wenye nafuu huzisaidia jamii zao mimi kwangu nimetoa angalizo kwa yeyote atakae kwenda kushiriki kupiga kura ajue nitasitisha msaada wangu kwao. Kwa watoto wao...
GT
Ivi unaanzaje kupoteza mda kwenda kumchagua Samia.Wenye mtindio wa ubongo pekee ndiyo watapiga kura
1.Kauza Bandari na Rasilimali zingine nyingi tu
2.Kafukuza wamasai Ngorongoro kwa uonevu mkubwa.
3. Deni la Taifa Tr107 bila maendleo ya kuonekana
4. Muuaji na mtesaji.Mkubwa huyu hana...
Jamani njooni msikilizeni mzee wa protokali Steve Nyerere! Hapo kashapata posho yake ya kifisadi basi ananguvu zote za kutanua mdomo wake
===============
Watanzania wamenituma, wameniambia Nyerere tunatoka kwenda kupiga kura tunatoka kwenda kutiki, wamama wa Tanzania wamenitumia meseji Nyerere...
Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Amani Mkoa wa Mwanza, Askofu Charles Sekelwa, amewasihi Watanzania kwenda kupiga kura, akibainisha kwamba kutaka kufanya fujo na maandamano siku ya kupiga kura ni jambo ambalo halina manufaa kwa yeyote. Akizungumza katika kongamano la amani la viongozi wa dini...
Na. M. M. Mwanakijiji
Oktoba 29, 2025 yaweza kuwa siku itakayoamua mwelekeo wa demokrasia katika Tanzania. Siku hiyo inaweza kuamua yale yatakayoendelea kutokea katika nchi yetu kuanzia Oktoba 30 na kuendelea kwa miaka mingi ijayo. Tukio moja limepangwa na huwa linatabirika; Uchaguzi Mkuu wa...
Bi mkubwa amewambia wanaCCM kama wanavyojaza kwenye kampeni basi wakajaze hadi kwenye masanduku ya kura.
Ila kuna waTanzania nao watatoka kwaajili ya maandamano
=====================
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema kama ambavyo wananchi...
Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Frederick Shoo, amesema ni makosa kuacha kujitokeza kushiriki kupiga kura, huku akiwataka Watanzania wasikubali mtu yeyote awaondolee haki na wajibu wao wa kuchagua kiongozi wanayemtaka.
Akizungumza leo...
Nimekaaa nikatafakari nikagundua silver spoon ya Maandamano.
Tanzania bara kuna vituo vya kura 97K, hata ukipeleka Askari polisi Mmoja mmoja kila kitu unacover asilimia 50 pekee ya vituo na vingine vinakuwa havina ulinzi wala usimamizi.
Polisi wakisema watumie nguvu kutawanya watu, watawanya...
Maandamano yetu yawe ya amani hatupigi kura hadi reform zifanyike sasakm tume ni yao, majaji ni wao unategemea watashindwa ??
Tayari NIDA wamepewa magari 140 ya nini?? ili yasafirishe nini? Kwanini wapewe wakati huu wakufanya uchaguzi?
Njia nzuri na ya amani nikutokwenda kuwachagua ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.