kupiga kura

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DodomaTZ

    GE2025 DC Haniu: Wananchi jitokezeni kupiga kura Oktoba 29, msikubali wasio na nia njema na Nchi

    Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Haniu ametoa wito kwa Wakazi wa Halmashauri ya Rungwe na Busekelo kujitokeza kwa wingi kushiriki zoezi la Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika siku ya tarehe 29, Oktoba, 2025. Uchaguzi Mkuu utahusisha Wananchi Kumchagua Rais, Wabunge pamoja na Madiwani...
  2. Mafyangula

    GE2025 Zitto: Kesho tutawaambia namna ya kupiga kura ya urais

    Kamati ya Uongozi wa Chama cha ACT Wazalendo inatarajiwa kukaa kikao cha dharura usiku wa leo Oktoba 15, 2025 ili kujadili na kuamua ni namna gani wanachama wa chama hicho watapiga kura ya Urais au watampigia nani. "Usiku wa leo kamati ya uongozi wa chama chetu chini ya kiongozi wetu wa chama...
  3. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Kamanda Muliro: Jeshi la polisi limejipanga kuhakikisha wananchi wanatimiza haki yao ya kupiga kura bila hofu na vitisho

    Vitisho vinaendelea ============== Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro, ametoa onyo kwa watu wanaotoa matamko na vitisho kwa wananchi kuhusu kwenda kupiga kura na kwamba limejipanga kuhakikisha wananchi wanatimiza haki yao hiyo ya kikatiba kikamilifu...
  4. Kitimoto

    GE2025 Nitasamehewa na Historia? Sitoshiriki Kupiga Kura Uchaguzi wa Mwaka Huu 2025

    Mwaka 2025 umekuja na msisimko mkubwa wa kisiasa nchini Tanzania. Ni mwaka wa uchaguzi mkuu, kipindi ambacho Watanzania wanapata fursa ya kikatiba kumchagua kiongozi wao mkuu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na wabunge na madiwani. Lakini kwa mara ya kwanza tangu nianze kushiriki...
  5. Analogia Malenga

    GE2025 Kama watoto wanakusanywa kwenye kampeni, basi waruhusiwe kupiga kura

    Haya sio mawazo yangu, ni mawazo ya mdau mmoja ambaye ni mwanaharakati wa watoto, ameshangazwa na baadhi ya vyama kukusanya watoto kwenye mikutano ya kampeni zao. Watoto hawa hukusanywa kama mafungu ili kuweka wingi kusikiliza ahadi za wagombea lakini hawana uwezo wa kuuliza maswali wala...
  6. Mafyangula

    GE2025 Gerson Msigwa: Serikali itahakikisha hakuna 'mtu wala sisimizi' wa kuwazuia Watanzania kupiga kura

    Huyu jamaa anaongea kwa vitisho sana! tusubiri tuone nguvu ya wanachi -============== Serikali Itahakikisha Tarehe 29 Oktoba Hakuna Mtu Atakayewazuia Watu Kwenda Kutimiza Haki Yao Ya Kupiga Kura. Msemaji Mkuu Wa Serikali Na Katibu Mkuu Wa Wizara Ya Habari Sanaa Na Michezo Gerson Msigwa...
  7. R

    GE2025 TAKUKURU yawahamasisha wenye ulemavu kupiga kura

    Kwani TAKUKURU wamemaliza jukumu lao la kupambana na Rushwa? hadi kuhamia kwenye jukumu la kumasisha watu kupiga kura ------------- Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 wa kuwachagua Madiwani, Wabunge na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...
  8. L

    GE2025 Dkt Samia: Wasiwatishe kwenda Kupiga Kura ,Tumejipanga Kuwalinda

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge. Ametoa kauli nzito na yenye kuleta furaha na tabasamu kwa...
  9. Mafyangula

    GE2025 Machifu Simiyu: Wananchi jitokezi kupiga kura Oktoba 29, 2025

    Machifu wa Mkoa wa Simiyu wamewataka Wananchi wenye sifa ya kupiga kura kujitokeza kwa wingi kutimiza haki yao ya kikatiba ya kuchagua Viongozi wanaowataka. Wamesema amani ndiyo msingi wa Taifa la Tanzania, hivyo wananchi wote wanapaswa kuilinda.
  10. Mafyangula

    GE2025 Mkomi: Watumishi wa umma tujitokeze kwa wingi siku ya Oktoba 29 kwenda kupiga kura

    Hapa naweza kusema ni kama imetoka oda fulani kwa watumishi wote wa Umma. Na kuwaza kwa ndani kabisa inawezekana ikawekwa lokoo watakapiga kura na wasio piga kura halafu wasiopiga kura kitawalamba! ================= Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora...
  11. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Sheikh Mkuu wa Tanzania Dr Abubakar: Oktoba 29 jitokezeni kwa wingi kupiga kura

    Sheikh uchaguzi huu hadi sasa ni haramu, je unalifahamu hilo. Lakini hali si nzuri watu wanatekwa sana sijasikia ukilisemea au halina umuhimu kabisa? ==================== Waumini wa dini ya Kiislamu kutoka Halmashauri ya mji wa Makambako wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi mkuu...
  12. D

    KERO Jumbe nyingi za “Jitokeze kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025” kila siku!

    Habari za asubuhi ndugu zangu! Nimekuwa nikisumbuliwa na jumbe nyingi kwenye simu yangu zenye ujumbe unaofanana huu: ‎ ‎“Jitokeze kupiga kura tarehe 29 Oktoba, 2025 kumchagua Rais, Mbunge na Diwani. Kura yako ni haki yako.” ‎ ‎Huu ujumbe umekuwa ukijirudia mara kwa mara kwa siku tofauti, na...
  13. K

    GE2025 Hakuna wakati sahihi zaidi kuliko huu wa Oktoba kwa waTanzania kubadili mwelekeo wa taifa letu

    WaTanzania hawataweza kubadili mwelekeo wa taifa lao kupitia kwenye sanduku la kura tarehe 29 Oktoba; kwa sababu wamenyimwa HAKI hiyo. Kwenda kupiga kura vituoni siku hiyo ni kwenda kuhalalisha tu mipango haramu ya kuendeleza utawala uliopo madarakani sasa hivi. Nafasi pekee waliyo baki nayo...
  14. Mafyangula

    GE2025 Mwananchi: Oktoba mwaka huu, jitokezeni kwa wingi kupiga kura na kuchagua viongozi wanaofaa

    Ujumbe wangu kwa vijana na Watanzania wote: Oktoba mwaka huu, jitokezeni kwa wingi kupiga kura na kuchagua viongozi wanaofaa. Lakini muhimu zaidi, amani yetu ni kipaumbele kuliko yote.”—Mwananchi mzalendo
  15. heartbeats

    Kuitwa kwenye Usahili wa Wasimamizi,makarani wa vituo vya kupiga kura 2025

    Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi huko nchini Tanzania imeanza kutoa majina kwa wilaya tofauti kwa ajili ya usahili , wasimamizi wa uchaguzi ngazi za wilaya watakuwa na jukumu la kuwafanyia usahili Baadhi ya wilaya majina yapo zinaendelea kutolewa
  16. J

    GE2025 Hakuna haja ya kusumbuka Oct 29.Kura haibadili chochote, na haihitajiki

    Atakayekwenda kupiga kura Oct 29 namuita MPU*MBAVU. Kura haibadili chochote katika uchaguzi wa mwaka huu. Kama hazibadili chochote maana yake hazihitajiki. Sasa mtu anakwenda kupiga kura kwa minajili gani, kama sio upumbavu tu. Ukiacha hayo kila mtu anajua kuhusu Polisi watakaokuwa mitaani...
  17. Damaso

    GE2025 Sms za kukumbusha kupiga kura: Je, ni kuhamasisha au kero kwa wananchi?

    Katika siku za hivi karibuni, simu za Watanzania zimefurika na ujumbe mfupi wa maandishi (SMS) unaosema: “Kura yako ina thamani, kuwa sehemu ya mabadiliko unayoyataka, hakikisha unapiga kura tarehe 27.11.2024 kumchagua kiongozi unayemtaka kwenye Kijiji, Kitongoji au Mtaa wako.” Kwa wengine...
  18. Richard

    GE2025 Je, watanzania wale wanojiandaa kupiga kura ni wale ambao hawana cha kupoteza? Na ni kwanini wafanye hivyo?

    Kesho ni tarehe 1 Oktoba 2025 siku ya kwanza ya mwezi wa uchaguzi, mwezi muhimu na wenye kubeba mstakabali wa siasa za Tanzania. Mie nina suali kwa watanzania ambao wamekuwa wakijitokeza kudandia magari ya kukodi na kwenda kushabikia mikutano ya kampeni ya CCM na baada ya hapo kurudi majumbani...
  19. Abraham Lincolnn

    GE2025 Hakuna mtu mwenye akili timamu isipokuwa wale wanaonufaika moja kwa moja na asali anayeweza kupoteza muda wake kupiga kura oktoba 29

    Ni kichaa, Mtu asiye na elimu, mjinga ma mbinafsi (hapa nawazungumzia wale wanaoonjeshwa asali au wanaonufaika na mfumo kisa ndugu zao wapo kwenye system pasipo kufikiria maslahi mapana ya taifa), Watu hawa pekee ndiyo wanaoweza kupoteza muda kwenda kupiga kura, Lakini hata kwa mtoto wa kidato...
  20. Lord Denning

    Tarehe 29 ni mwendo wa Nepal. Watachagua walinde vituo vya kupiga kura au nyumba za Viongozi wa CCM au barabara za kwenda Ofisi za CCM

    Kati ya maandamano yaliyopangwa vizuri ni haya maandamano ya Tarehe 29 Oktoba 2025 Wanaotutisha kufanya mazoezi watajua wenyewe walinde vituo vya kupiga kura au nyumba za Viongozi wa CCM au Ofisi za CCM au nyumba za Wabunge na Mawaziri au Ofisi za Umma. Enough is Enough Lazima turudishe...
Back
Top Bottom