Mie sio mtu wa kuandika sana humu.
Natafuta mke wa kuoa,now kwangu Mimi ni muda mwafaka wa kuwa na wife.
Sina sababu ya ku hide my id , coz Niko serious na hili jambo
Sifa zangu.
Miaka 30
Elimu: Bachelor
Occupation:Employed.
Dini: Mkristu
Ninayemtaka
Awe serious, na ndoa narudia serious...