Una mpango wa kuoa?

Una mpango wa kuoa?

TheGreatest Of AllTime

Senior Member
Joined
Mar 14, 2025
Posts
173
Reaction score
553
9501b41701af51b0693e3b1175b0e7f2.jpg

Muda muafaka haujafika?

Bado unajipanga?

Hauplan kuishi katika ndoa?

Au bado upo 50 kwa 50 kuhusu uamuzi huo?

Haujapata mdada sahihi?
 
Yeah watoto ninao, ila suala la kuoa sijajua imetoakeaje nimejikuta sijawahi kuoa, halafu huwezi kuamini sijawahi ku-plan imetokea tu, kila nikitaka hata nioe najikuta hata sioi.. I don't know hiyo hali imetokeaje..
Hiyo hali imewatokea Millennials wengi sana. Changamoto huwa ni kipato na uchumi hautoshelezi Kuoa ingawa wadada wa Kuoa wapo wengi kinachokukatisha tamaa ni Kwamba wadada wengi Sasa hivi wapo financially broke unajikuta wewe una afadhali.

Hivyo unajikuta hata hamu ya kuoa inakata, ipo siku utakuja Kuoa mdada ambaye yupo financially stable more than you huyo ndiyo utakayemuoa na utaona Maisha yanakuwa Marais na mazuri lakino Hawa wadada wa kuombana hela za saloon na kucha aisee wanakata sana stimu za kuhitaji kuwaoa
 
Back
Top Bottom