kumbukumbu

The Kumbukumbu Room, or Kumbukumbu Room: Africa, Memory and Heritage, or Kumbukumbu Exhibition, was one of the spaces of the National Museum of Brazil, destroyed by the fire of 2018. The name of the room refers to a word in Swahili, used for "objects, people or events that make us think about the past."
In the room, objects from the African and Afro-Brazilian collections were on display. In particular, the collections Police of the Court and Heloísa Alberto Torres were featured. Also in the room were the set of gifts from Africa sent to John, the Clement, in 1810, including the Throne of the King of Dahomey. Most of the objects on display were from the 19th century.
The room was organized from nine showcases, six side and three central, and a map from which one could establish the origin of the exposed pieces. According to the official book of presentation of the exhibition:

View More On Wikipedia.org
  1. Foffana

    JamiiForums Tanzania PICHA MBAO - Kumbukumbu Zitakazodumu Milele! 🖼️✨

    Je, unatafuta zawadi ya kipekee au mapambo ya ukuta yatakayoboresha nafasi yako? Tunachapisha picha zako pendwa kwenye mbao zenye ubora wa hali ya juu Ubora : Picha zako zinaonekana hai na za kuvutia kwenye mbao asilia. Zawadi Pekee: Kamilifu kwa harusi, siku za kuzaliwa, au kumbukumbu...
  2. haszu

    JamiiForums Tanzania Watoto wengi hasa waliokulia mjini hawatakua na kumbukumbu nzuri ya utotoni.

    Kwa tuliobahatika huwa kuna muda unakaa, unakumbuka nyumba yenu/ kijiji chenu utotoni wakati unakua, watoto wenzio uliokua ukicheza nao na maisha ya ujumla ya utotoni. Kwa bahati mbaya kwa sasa watoto wengi wanalelewa kwenye nyumba lakini hawana nyumbani. Wazazi wanahama nyumba za kupanga mara...
  3. Dkt. Gwajima D

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu na shukrani kwa ushirikiano

    Wasaalam. Tarehe 14 Julai, 2025 nimekuwa sehemu ya Kikao cha mwisho cha Baraza la Mawaziri la Serikali ya Awamu ya Sita tangu iingie madarakani, kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 14 Julai, 2025. Picha ya 1 ni ya kumbukumbu ya Wajumbe wa Baraza tukiwa pamoja na Rais wa Jamhuri...
  4. Unju27

    JamiiForums Tanzania msaidizi wa kumbukumbu II mahakamani.

    Mwenye hits zozote kuhusu written ya interview kuhusu kada tajwa hapo juu tunaomba uje hapa ikiwezekana kama tutakuwa wengi tuanzshe ata group whatsapp nipo tayari, Asanteni..!!
  5. mugah di matheo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi wadau wa soka Bongo hatuna kumbukumbu?

    Juzi palikuwa na msiba wa mzee Ally Pazi Samatta,,media zote zilitoka na kumuaddress kama baba mzazi wa Mbwana Samatta it's true but hamna anaekumbuka kuwa mzee Samatta ni gwiji mstaafu wa soka la nchi hii? Amekuwa kamptain wa Simba na Taifastars for more than 5 years hilo...
  6. Nitaenda Misaa yaTatu

    JamiiForums Tanzania Usiku ule ulikuwa mkubwa na mzito sana kwetu.Tukio lililoacha kumbukumbu nzito maisha mwangu

    Mapendo Daima. Mwanzoni mwa miaka ya 2000 nikiwa na umri wa miaka 10 Famili yetu ilipatwa na tukio kubwa lenye kuacha historia kubwa sana. Tukio la kinyama ambalo daima tulikuwa tuna sikia tu kwa wengine. Majira ya saa12 jioni jua likielekea kuzama nikiwa mimi na wadogo zangu wa3 tukirudisha...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Dhana na maisha kama safari ya kumbukumbu

    DHANA YA MAISHA KAMA SAFARI YA KUMBUKUMBU. Ikiwa maisha ni mkusanyiko wa kumbukumbu, basi kuishi ni kukumbuka. Na kama mwanadamu amezaliwa na kumbukumbu za maisha ya nyuma, basi kuishi ni kuendeleza mfuatano wa kumbukumbu hizo. Kifo basi si mwisho wa uhai tu, bali ni mwisho wa uwezo wa kukumbuka...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Kila mtu ana malaika wake special wa kutunza kumbukumbu za Kila ukifanyacho duniani MAISHA yako yote

    Salaam, Shalom! Usilolijua ni kuwa, Kila mtu anaye malaika special toka kwa Mungu tangu kuzaliwa aliyeweka kuchukua kumbukumbu zote za mtu Akali akiishi na kuziandika kwenye KITABU maalum. Killa ukifanyacho kinaandikwa, matendo yote, mazuri kwa mabaya ynaandikwa, ndio maana Mungu huwa anapata...
  9. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Sina kumbukumbu kama amewahi kutokea Mwanasiasa mwenye akili nzuri na smart nchi hii kama Tundu Lissu

    Mpende mchukie The guy is truly gifted. Huyu jamaa sio wa sayari hii. Sidhani kama Tanzania imewahi kupata mwanasiasa smart na aliyejaaliwa akili kubwa kama huyu. Akiongea. Hata uwe kilaza wa namna gani lazima utamsikiliza na kumuelewa. Akiwasilisha hoja hata uwe unamchukia na haumpendi kiasi...
  10. Peter Mwaihola

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu; Leah Ulaya, Maganga Walivyogomea uteuzi wa Rais kisa CWT

    Mwezi Septemba, 2023 Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alimteua aliyekuwa Rais wa chama cha walimu Leah Ulaya kuwa mkuu wa Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita, hata hivyo Leah aligomea uteuzi huo wa Rais hakwenda kituo cha kazi alichoteuliwa. Sambamba na uteuzi huo Rais pia alimteua aliyekuwa wa...
  11. nzalendo

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu baada ya msoto mkali

    Naam ni msoto baada ya kupoteza muelekeo kwa miaka kadhaa. Kila kitu kilikwama kuharibika na kuchakaa. Nguo viatu vyote viliisha yaani kuna mashati yalichakaa mpaka yakawa kama neti. Habari ya kulala njaa ilikuwa jambo la kawaida sana,muhimu watoto wapate japo chai jioni. Tulichakaa mpaka...
  12. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Taazia: Ninavyomkumbuka Mzee Mustafa Songambele (1925 - 2025)

    TAAZIA: NINAVYOMKUMBUKA MZEE MUSTAFA SONGAMBELE (1925 – 2025) Mzee Mustafa Songambele Katika Uzinduzi wa Nyumba ya Kumbukumbu ya Julius Nyerere Juma hili ajabu sana ubongo wangu umekuwa ukishughulishwa na kumbukumbu za watu na mambo mengi ya nyuma nikiwa mtoto mdogo sijafikia hata umri wa...
  13. Chibike

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kumbukumbu za Irene

    Irene, ... jina lako bado linatoa furaha moyoni mwangu, kama upepo wa bahari, kwenye majira ya joto, upepo ulionitunza kwa huruma. Sikiliza, leo hii napenda kukumbuka wewe kwa maneno haya, kwa kuwa wakati haukuruhusu kuwa wangu, moyo wangu kamwe haukusahau. Nilikupenda kwa uaminifu mkubwa...
  14. Fbn

    JamiiForums Tanzania Wazo kwa wataalamu na serikali: Kwanini kusiwe na taasisi ambayo inatunza kumbukumbu za familia, koo na DNA

    Ni wazo na mwenye kuona lina mlipa sawa. Wenzetu USA wana taasisi za kutunza kumbukumbu za koo mpaka familia huku zikiambatanishwa na DNA. Ulazimishwi ila utakapo taka kuweka taarifa zako kwa msaada maana wafungua zipu na vifuniko vya asali wameongezeka. Kuna ndugu,watoto wanaotaka kujia koo...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Ibrahim Traore awasili Moscow-Urusi kuhudhuria sherehe za kumbukumbu ya ushindi dhidi ya Wanazi

    Kiongozi wa kijeshi wa Burkina Faso, Kapteni Ibrahim Traore amewasili mjini Moscow nchini Urusi leo tarehe 8 Mei 2025. Kapteni Traore ni miongoni mwa viongozi walioalikwa nchini Urusi kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za kumbukumbu ya ushindi walioupata Urusi dhidi ya wanazi kutoka nchini...
  16. Intelligent businessman

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Keep resting in peace champ, kumbukumbu zako nzuri daima zitaishi ndani ya mioyo yetu

    Bado naikumbuka Ile siku jembe langu, ili kuwa saa 11 asubui nili amka ili ni download nyimbo mbili tu za kusikiliza asubui hiyo. sijui Kama ili kuwa ni kuandaliwa au kujulishwaa, ila sikumbuki hata hiyo mood ya nyimbo za tutaonana baadae na I can't forget you zili toka wapi?. dakika chache...
  17. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kwenye Siku ya Kumbukumbu ya Holocaust:

    "Ikiwa Iran itatushinda - nchi za Magharibi ndizo zitafuatia. Baada ya Oct 07,20203 Israeli haitaruhusu tena madhara kwa Wayahudi na wala Hatutasamehe kwa yeyote aakayejaribu kutushambulia. Hatutasahau utawala wa Ayatollah lazima uanguke siyo baadaye bali ni Sasa!!.
  18. L

    JamiiForums Tanzania Furaha ya kusherekea Sikukuu ya Kumwagiana Maji ya Kabila la Wadai yarejesha kumbukumbu za utotoni

    China ni nchi yenye historia ndefu sana pia ikiwa imesheheni utamaduni wa aina mbalimbali. Sikukuu zote za jadi zinazofanyika huwa zinaakisi mila na desturi zake nyingi. Kwa wageni wanaoishi China kama mimi ama hata watalii wanaokuja kutoka nje, kusherehekea sikukuu hizi za jadi za China huwa ni...
  19. USSR

    JamiiForums Tanzania Askofu Benson: Kwa wema au kwa ubaya, tusimsahau Magufuli

    Na Askofu Benson Kalikawe Bagonza KWA WEMA au KWA UBAYA, TUSIMSAHAU MAGUFULI Miaka minne imepita tangu tangazo la kifo cha Rais wa awamu ya tano, hayati JPM litolewe. Kama kilivyo kitendawili cha umri wa mwanadamu unaanza kuhesabiwa lini (anapoingia tumboni au anapotoka), ndivyo kilivyo...
  20. Banxbanxson

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu zisizofutika

    Habari ndugu na Jamaa, Napenda kushare kwa wanajamii forums jinsi ya kunisaidia kusahau au kupata relief ya kumbukumbu ya rafiki yangu.. Hatukusoma pamoja shule ya msingi ingawaje tulitoka kijiji kimoja. Tulibahatika kwenda shule moja ya sekondari wakati huo. Tukawa marafiki wa kushibana kwa...
Back
Top Bottom