kula

Kula - kitendo cha kuingiza kitu kinywani (hasa chakula) kwa lengo la kupoza njaa
  1. Bmw m5

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa mara ya kwanza nimeshindwa kula tunda

    Wakuu salaaam.. Moja kwa moja kwenye mada Leo nilipata kutembelewa ofisini na bibie mdogo miaka 18 hivi. Katika moja na mbili nikatupia ndoano kumvua kimwana huyu mzuri wa sura na shape. Ilivyo bahati ikabidi tuandae mazingira ya kula hapo hapo ofisini mida ya jioni saa mbili kasoro. Piga...
  2. stan john

    JamiiForums Tanzania Bei ya mafuta ya kula itakuaje Baada ya Israel kuishambulia iran

    Habari, Baada ya Israel kuishambulia iran Leo usiku ,Bei ya mafuta ya kula itapanda au itashuka ????
  3. ngara23

    JamiiForums Tanzania Ni hatari kiroho kula nyama zilizogawiwa siku ya Eid El adhaa

    Hapa majuzi ilikuwa siku ya Eid El Adhaa almaarufu kama Eid ya kuchinja Hii siku maalum ya kuchinja ni siku ya kishetani, Kuchinja wanyama wengi hivi ni ibada chafu, tukio la kuchinja ni kumwaga damu na kunuia maneno ambayo walaji wa hizo nyama hawajui Kuchinja kiroho ni jambo gumu, na zito...
  4. technically

    JamiiForums Tanzania Ni kweli serikali ya Samia inaagiza Mayai na kuku wa kula Ikulu Marekani?

    Hivi ni kweli Samia anaagiza kuku na mayai ya kula Marekani Tena na fly Emirates? Hiki ni Nini wakuu ?? Yaani Tanzania hakuna kuku mayai mpaka yatoke Marekani? Soma Pia: Heche: Serikali ya Samia Iliagiza Mayai, Nyama na Vipapatio vya Kuku kutoka Marekani kwa Dola Milioni 24.8 Ikulu njooni...
  5. U

    JamiiForums Tanzania Ndugu Wasabato kama ni kweli kula kitimoto ni dhambi leteni ushahidi kimaandiko wa adhabu kwa anayeitumia. , dhambi nyingine adhabu zimetajwa

    Wadau hamjamboni nyote? Ushahidi huu adhabu kwa dhambi nyingine:. ::: 19 Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, Wagalatia 5:19 20 ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, Wagalatia 5:20 21 husuda, ulevi, ulafi, na...
  6. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kumekucha: Wanaume wengi wa Dar hawana Nguvu za Kiume kwa kupenda kula Chips zenye Mafuta mengi hivyo waanze kula Chips zinazokaangwa na Maji

    Wala tusipotezeane sana muda nendeni manaratv mkamsikie wenyewe, ila Mimi nauliza tu Utakaanga vipi Chips na Maji? Sasa taratibu naanza kuamini kuwa huenda Tanzania ikawa na Madaktari Vihiyo (wa Mchongo) na ambao huenda wakawa wanavuta mno Bangi kuliko hata ambao wanazilima huko Tarime (Mara) na...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Leo pale Kisutu kama sio busara za mahakama watu walikuwa wanaenda kula miezi sita gerezani kwa contempt of court

    Kuweni na adabu mahakamani, huwezi muona hakimu kakaa pale wewe unapiga makelele ya kijinga no reform no election. Wengi tumewahi kwenda jela kwa milio ya simu zetu tu, wengine tumekula vibano jela kwa kucheka mahakamani. Mahakama iheshimiwe, unajitia mwendawazimu sasa, umehangaika kimataifa...
  8. Daby

    JamiiForums Tanzania Umeshindwa kuacha kula nini?? Binafsi nimeshindwa kuacha Kula idadi kubwa ya Tende licha kujua athari zake.

    Nimejitahidi kuacha sukari na chumvi kwa kiasi fulani ila nimeingia kwenye uraibu wa tende. Kwa siku naweza kula 50. Meno yananiuma ila nikiziona tu roho inanianza. Nimeshindwa kuacha tende. Wewe umeshindwa kuacha kula nini ambacho unajua kabisa hakihitajiki kiliwe kwa wingi kama unavyokila??
  9. Kighono kighonk

    JamiiForums Tanzania Wadau ivi tra oral wanayatoa lini au ndo kula kwenda

    Wadau ivi tra oral wanayatoa lini au ndo kula kwenda
  10. Nitaenda Misaa yaTatu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnaokula Cone na kuzama chumvini hivi mdomo huohuo ndo unaoutumia kumsifu Mungu?

    Kristo ni tumaini letu, Mapendo daima. Samahani kwa yeyote yule nitamkwaza au uzi huu akaona una machukizo kwakwe basi aniwie ladhi. Wakuu wiki iliyopita katika kuzagaa huku, kule, na humo kwenye mitandao ya kijamii hasa X zamani Twiter nilikutana na clip kadhaa za mtoto wa mchungaji akifanya...
  11. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Mchungaji aliyetekwa aeleza mateso na kwenda kutupwa porini ashindwa kutembea "Mengine tuyaache "

    Mchungaji wa Kanisa la Huduma ya Kristo lililopo Mtaa wa FFU, Kata ya Murieti, Steven Jacob Gumbo (35) ambaye iliripotiwa ametekwa na ‘Watu Wasiojulikana’ Mei 16, 2025 amezungumza na Wanahabri na kueleza kuwa Watu waliomchukua walijitambulisha kuwa ni Askari Polisi na wanamhitaji kwa ajili ya...
  12. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania KITAA INTELEJENSIA: Wanaoongoza kula wake za watu.

    1: Doctors 2: Marafiki wa mitandaoni 3: Headmasters/Mwalimu wa mwanao 4: Boda Boda 5: Boss wake kazini 6: Garden boys 7: Graduate alieko kitaa muda wote 8: Mfanyakazi mwenzio 9: Mpangaji mwenzio/Jirani 10: Wachungaji/Manabii feki/Mashehe ubwabwa 11: Wauzaji dukani
  13. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Ukibahatika kula kuku kwa mrija acha mdomo sana. Kuwa humble na utulie uenjoy maisha

    Unakuta una taarab nyingi utafikiri umeshafika mwisho wa safari. Ofcourse atukufundishi namna ya kuishi na hayo mafanikio yako ila kumbuka kushuka chini ni kwa kasi sana zaidi ya ulivyokuwa una panda juu.
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Lissu asitisha mgomo wa kula, Wakili asema hali gerezani ni shwari baada ya uamuzi wa Mahakama

    Wakili Dickson Matata, mmoja wa mawakili wa utetezi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, amesema kuwa baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutoa uamuzi wa kesi ya mteja wao kusikilizwa kwa uwazi badala ya njia ya mtandao, hali gerezani imeanza kubadilika na Lissu ameacha mgomo wa...
  15. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mboga unayoweza kula na chakula chochote

    Kama unapenda ubunifu wa mapishi mbalimbali ya mboga basi pitia huu uzi Unajua ufundi na ladha viko kwenye mboga na sio ugali au ubwamba?
  16. Braza Kede

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rai huru:: Warembo pendeni kula mlo wenye ndizi mtanishukuru baadae

    Baada ya miaka mingi ya utafiti nimegundua vitabu vya hawa wanaopenda kula ndizi vinalainika na kufunguka mapema tena bila shida na maandishi husomeka kwa uzuri sana ukilinganisha na hawa wenzao wasiotumia ndizi. Kuna vitabu unakuta kurasa zake ni kavu kama kaukau inakuwa mtihani sana kufungua...
  17. Komeo Lachuma

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuliowahi kula wasanii wakubwa wakubwa tujuane

    Nmekumbuka tu mara 3 kwa wanawake watatu tofauti wasanii ambao nimewahi kuwala. Mmoja huyu kwa sasa anaolewa olewa na kuachika yeye nlimla kipindi hicho kwa tsh 600,000 mpaka asubuhi. Ingawa alianzia na dau la 1,000,000. Nikamwambia ni 600,000 no more no less. Akaniambia nimwache afikirie...
  18. Kitchener

    JamiiForums Tanzania Yale mabehewa ya SGR ya ngazi mbili yapo wapi? au tulishapigwa na kula hasara?

    Kwa wapenzi wa kupanga train ya mwendo kasi, kuna mabehewa fulani tulitunua kwa kodi za wananchi, tukatumia garama kubwa kusafirisha toka korea hadi hapa, ila sijaona yakitumika. Zipo fununu kwamba hayakuwa compatible, tunataka kujua why not compatible? yapo wapi? mazima au walituletea...
  19. ukwaju_wa_ kitambo

    JamiiForums Tanzania BONTA NAUZA KULA YANGU

    Bonta Maarifa ni Katibu wa Afya Halmashauri ya Ushetu Wilaya ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga. Makazi yake ni Kahama Mjini maeneo ya Igomero (Masaki). Lakini pia ni member wa Crew ya Weusi kampuni , crew ambayo ina wasanii kama Vile joe makin, nikk wa pili, lord eyez na G nako.. Bonta maarifa...
  20. Dr Akili

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu ameamua kugoma kula ili kushinikiza hukumu ya mahakama badala ya kukata rufaa. Madhara ya kutokula au kunywa yatakayompata haya hapa

    Mtu anaweza kufunga kula chakula kwa mwaka mmoja na akabaki hai na salama. Mr Angus Barbiel, mwanaume wa Scotland, alifunga kula chakula (akiwa nyumbani kwake) kwa siku 382 kuanzia tarehe 14 June 1965 hadi tarehe 30 June 1966. Katika muda huo alikuwa anatumia tu maji, chai, kahawa na vitamins...
Back
Top Bottom