Uisafishe iwe smart!Maana wachawi wenyewe mimi ndiyo kiranja wao.Makonda asiposhinda nikatwe dudu yangu iwe filimbi ya wachawi
ZOTE NI TAKATAKA, WAUAJI........Nikiwa na pitapita zangu jijini jana nikakutana na mama mmoja mwandamizi wa chama mjini
Nikamuuliza kwahiyo mama ndo tunaenda kumpa Arusha mtu ambae hata haijui Arusha, hata miaka mitatu hana.
Mama kaniambia KULA KWA MAKONDA, KURA KWA GAMBO
Ukimaanisha kwamba makonda atashindwa..?? That will never happen,,as am sure that the founder of JF is max melo,am also sure that makonda will take an easy winUisafishe iwe smart!Maana wachawi wenyewe mimi ndiyo kiranja wao.
Wanawapa vijana pikipiki za bureRushwa imeanza kutembea?
Vijana wachukue tu.Wanawapa vijana pikipiki za bure
Nyie vijana mmesoma wapi? Mmetoka vyuo vya kata, you can not make sense out od rubbish! hawa wote ni CCM. swali kuu, nani atapita mchujo wa CCM?Kama makonda alishindwa kigamboni ambapo Kila mtanzania alikuwa anajua atashinda, sijui Kwa Arusha. Japo kama kigezo ni kupitia Kwa Rushwa basi makonda ana pesa nyingi sana za kifisadi lakini sijui kama Wana Arusha watasemaje
Watu wa Arusha Hela haijawahi kuwa Tatizo kwaoKama makonda alishindwa kigamboni ambapo Kila mtanzania alikuwa anajua atashinda, sijui Kwa Arusha. Japo kama kigezo ni kupitia Kwa Rushwa basi makonda ana pesa nyingi sana za kifisadi lakini sijui kama Wana Arusha watasemaje
Kwenye green wao kura wanazitia kwenye sanduku.Maana yake ubunge atashinda makonda , kura kuzilinda nikubaki nazo tu🤔