kuna mamilioni ya watu tanzagiza tangia wazaliwe hawajawahi kufungua bomba la maji, hapo wala sijaongelea switch ya umeme kuwasha taa.
let that sink in, karne ya 21 mtu hajui jinsi ya kufungua bomba la maji na hajawahi kuliona, na siyo mtu mmoja mamilioni ya watu, thats how poor na backward we...