Binafsi nafikiri kuna changamoto watu hawajaziangalia vizuri kabla ya kufikiri kuwa wachina ni tatizo nalo ni ukosefu wa Elimu, Elimu, Elimu ya Biashara
1. Wafanyabiashara wa Tanzania walio wengi hawana Elimu ya biashara
2. wafanya biashara walio wengi ni wabinafsi
3. baadhi ya wafanya biashara...