Askofu Gwajima: Hebu CCM tumieni vichwa vyenu kufikiri na kuamua vizuri. Madai ya CHADEMA yana msingi hata kama una kiwango cha chini kabisa cha elimu kuyapima na kuyaelewa..
Askofu Gwajima: Hebu jaribu kufikiri hili. Kwamba, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya sasa ni mteule wa Rais Samia ambaye...
Salaam!
Nimesikia speech ya Leo ya Askofu Gwajima, nimeona
1. Uongozi,
2. Maono.
3. UWEZO WA kuunganisha makundi yote na uongozi thabiti.
4.Weledi wa Hali ya juu.
5. Uthubutu.
6. Uzalendo na upendo wa Hali ya juu kwa nchi.
Na kwa kuwa ameshauri reforms zifanyike ndani ya chama na...
Katika kipindi cha miaka 5 ndani ya Jimbo la Kawe nimejenga ofisi za chama 42 halafu mtu anasema siipendi CCM, ila mimi naipenda CCM sio awo wanaongea kwa maneno tu. Ndio maana sitaki kuiona CCM inapotea Askofu Gwajima
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo, Monalisa Ndala amepinga uamuzi wa chama hicho, kumteua Luhaga Mpina kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, akidai amekosa sifa.
Kada huyo amedai kanuni za chama hicho, zimekiukwa katika uteuzi wa Mpina, kinyume na taratibu na sheria...
Kama kuna mtu alifikiri uchaguzi wa Rais utakuwa mteremko kwa CCM sababu tu Chadema wamezuiwa kushiriki basi amekosea,
Chama cha Mapinduzi kinaenda kupata wakati mgumu kuliko kilivyofikiria,Watu watasusia mikutano yao na itakuwa mitupu tofauti na kipindi cha Magufuli watakachokifanya watatumia...
GSM kama mfanyabiashara yeyote anachoangilia ni kupata faida, popote pale anapokuwa yeye anaona fursa na kufanya aingize pesa zaidi na power ya kumbakisha hapo alipo na Hersi kama mfanyakazi/Mtendaji wa GSM ambaye yupo kwenye kitengo muhimu cha Uwekezaji ni kuhakikisha anacheza karata zake...
Mgombea wa kiti cha Rais kupitia chama cha NCCR Mageuzi, Haji Ambar Khamis, amesema iwapo atapata nafasi ya kuongoza nchi, ataweka kipaumbele katika kurejesha maadili kwa wasanii wa muziki wa kizazi kipya, waigizaji na vijana wanaotumia mitandao ya kijamii kutukana viongozi wa serikali
Ambar...
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Makini, Coaster Jimmy Kibonde amezidi kusisitiza kuwa endapo atashinda Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, atamwacha Rais wa sasa, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ndani ya serikali yake kwa kumpa nafasi maalumu ya kushughulikia...
"Kwa muda mrefu nimejitofautisha sana. Maana yake, kama ningekuwa pandikizi tu, si ningekuwa nashangilia haya mambo? Kama ningekuwa pandikizi, hata huko CCM ningekuwa nashangilia kama wale wanaomwambia mgombea wa CCM kwamba "wewe hatukudai", wakati wananchi wao hawana barabara, hawana madaraja...
Hamjambo wote!
Sijajua Watani zangu, Ngoshaz kwa nini wanapotezaga umakini hasa wakiwa katika nafasi ya kufunga. Yaani karibu na Goli kabisa.
Nitakupa Mfano kupitia JPM.
JPM aliamua kutangaza vita ambayo kwa kweli alikuwa mstari wa mbele kukabiliana na adui zake. Ambao kwa sisi wanasaikolojia...
Uhuru kwa vyama vya siasa kufanya siasa za kistaarabu umeongezeka na mazingira bora zaidi ya kisheria kwa wananchi na wanasiasa kufanya shughuli za kisiasa kwa usawa, uhuru, uwazi na haki yameboreshwa na kua bora zaidi.
Kuelekea uchaguzi mkuu wa October, vyama vya siasa nchini vinaenjoy kwa...
Waswahili wana msemo akiutaka mpe,yeye ndiye atakayejua.
Hakuna asiyejua Magufuri alifanya mambo makubwa sana ambayo hatukuwahi kuyashuhudia maishani mwetu
Tanzania ilipaa na kusifika kila mahali,alipofariki Samia aririthi kiti chake na kuendeleza yale ya Magufuri ndiyo maana kulikuwa na...
Sakata la Zubeir Mkalaboko ambaye pia ni mchambuzi wa masuala ya soka lilianza mapema akiwa siyo sehemu ya majina yaliyoteuliwa kugombea licha ya kuwa ndiyo Diwani aliyekuwa anayemaliza muda wake Madarakani.
Hata hivyo, busara za marekebisho ya Katiba na maagizo ya Kamati kuu CCM Taifa kutaka...
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora, Said Nkumba, ametumia kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani humo kutoa onyo kali na kutishia kuwafukuza uanachama wati nia ubunge, wanadaiwa kuwatuma wapambe wao kupinga maamuzi ya vikao halali vya kupendekeza majina.
Kupata matukio na...
Viongozi wa jamii ya kimasai nchini (Malaigwanani) wametoa msimamo wao wa kumchagua tena rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kuendelea kuongoza nchi kwa miaka mitano ijayo kutokana na utendaji kazi wake.
Akizungumza baada ya kikao kilichowakutanisha viongozi hao kutoka Siha na Longido, mwenyekiti wa...
Zaidi ya Wanachama 3000 wa chama cha Mapinduzi CCM mkoani Kilimanjaro wamejitokeza leo agosti 13 2025 kumdhamini mgombea Urais wa chama Dkt.Samia Suluhu Hasan ambae pia ni Rais wa awamu ya sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Tukio hilo limefanyika katika ofisi za mkoa CCM Kilimanjaro...
Matajiri wa ndani ya nchi wamechangia CCM bilioni 86 kwa ajili ya uchaguzi .Kuwa ùpo
Matajiri wawekezaji na wafanyabiashara na walipa kodi wakubwa wanasema uchaguzi utakuwepo lofa gani awezaye sema hautakuwepo? Malofa wakubwa Chadema imekula kwenu
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Samandito Gombo, akiambatana na Mgombea wake mwenza Husna Abdallah, leo Agosti 13, 2025, amechukua fomu ya kuteuliwa kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Akizungumza na wanahabari mara baada ya...
CCM imejiupgrade ubabe
CCM imetoka kutoka chama cha WAKULIMA na wafanya kazi hadi kuwa kikundi cha mabillionaire .
Kama budget ya chama cha siasa inaweza kuchangiwa na watu ambao uadilifu wao unatiliwa shaka unadhani nini kitarajiwacho hapo?
CCM ya Babu yangu Bye-bye
Kwa muundo wa siasa za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.