kuelekea uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Wananchi: Tutahamasishana kumchagua rais Samia

    Wananchi huko mtaani wanapeana nondo za kwenda kumchagua Rais Samia itakapofika Oktoba 29, hamasa kwa kila mwananchi si kwa ajili ya Uchaguzi tena bali ni kwa ajili Rais Samia yumo kwenye sanduku la kura......watamchagua yeye.
  2. kavulata

    GE2025 Mpatieni Mama Samia watu wenye akili, maarifa, uchapakazi na uchungu wa wananchi,

    Haiwezekani Rais Samia kupata watu wa kumsadia waliopatikana tu kwa rushwa, ukaribu na kujuana. Haiwezekani kuwe na viongozi wa nyumba kumi, serikali ya mtaa, Kijiji, kata, tarafa na wilaya ambao hawawezi kumchukulia hatu mtu anaeunguza na kuharibu barabara zetu kwa kupika n kukaanga chips...
  3. Mshana Jr

    GE2025 CCM na harambee ya bilion 100 kwa ajili ya uchaguzi mkuu

    Je kuna haja ya kufanya haya maigizo ya kijinga namna hii? Upotevu na ufujaji wa pesa na muda ? Kwa uchaguzi upi lakini? Huu wa kiini macho uliokwisha malizika kwa kura za wizi? Mabilioni yalishatengwa, mabilioni yalishakusanywa toka vyanzo tata na vyenye walakini mkubwa Kuna wafanyabiashara...
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Erick Shigongo aamini kuteuliwa kugombea Ubunge wa Buchosa Kupitia CCM 2025

    Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Erick Shigongo, amesema ana matumaini kuwa jina lake litateuliwa kugombea ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu wa 2025. Akizungumza na wanahabari wakati wa maziko ya Hayati Job Ndugai wilayani Kongwa, mkoani Dodoma, Shigongo amesema...
  5. DR HAYA LAND

    GE2025 Mtazamo wa Afande Sele kuhusu chama alichokiita "magirini"

    Anaandika Afande sele ,✍. Eti chama chake "magirini" kimempitisha tena kuwa mgombea urais mwaka huu2025...😳 Hii ni kudhalilisha siasa sio za upinzani tu,ila siasa za nchi na bara zima la Afrika au Dunia nzima✊🏽 Inaonyesha ni kwa kiasi gani baadhi ya wanasiasa wamejaa tamaa na ubinafsi hata...
  6. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Saumu Rashid apitishwa Rasmi Kupeperusha Bendera ya Urais kupitia UDP

    Saumu Rashid amepitishwa na mkutano mkuu kuwa mgombea wa urais baada ya kupigiwa kura za ndiyo na wajumbe 376 kati ya 390 katika mkutano wa chama hicho Saumu ambaye ni Katibu Mkuu wa UDP, ametangazwa leo Jumatatu Agosti 11,2025 na mkurugenzi wa uchaguzi wa chama hicho, Hussein Lutambi, katika...
  7. Erythrocyte

    GE2025 Kituko: 75% ya Wagombea Urais wa Tanzania hawa Mamluki waliowekwa hawajawahi kuhutubia Mkutano wowote wa hadhara Popote

    Hili ndio jambo Jipya Tulilolichunguza na kulibaini kutoka kwenye Kinachoitwa Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025. Wagombea wa Urais wa vyama Mamluki vilivyotangaza kushiriki Uchaguzi Mkuu huu unaonadiwa, kwa % Kubwa hawajawahi kuhutubia Mkutano wowote wa kisiasa kwenye Jukwaa lolote Nchini...
  8. J

    GE2025 Kwanini Wafuasi wa Chadema waliohamia Chaumma bado Akili zao zote zinawaza Chadema ila Matumbo yao ndio yameketi Chaumma?

    Kama unabisha Angalia Yericko Mengele anavyohangaika kuitangaza Chadema mitandaoni ilhali ameshahamia Chaumma Je Utumbo unakishinda kichwa au ikoje? Mlale unono 😄✔️
  9. Hismastersvoice

    GE2025 Wanasheria nendeni mahakamani haraka kuzuia Rais kuchangisha pesa za kampeni ya CCM

    Hapo kesho tarehe 12 mwezi wa 8 rais Samia ataongoza harambe ya kuchangisha pesa kwa ajili ya kampeni ya CCM, rais kuongoza uchangishaji huo kutawafanya baadhi ya wafanyabiashara kulazimika kuichangia harambe hiyo kwa woga badala ya hiyari kwa kuwa tukio litachukua sura ya kitaifa. Soma Pia...
  10. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Sigrada: Serikali kuletewa maendeleo si fadhila, ni utaratibu wa kisheria kwa mujibu wa katiba

    Mtia nia wa Ubunge wa Jimbo la Njombe Mjini kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Sigrada Mligo, amewataka wananchi wa jimbo hilo kutokuwa waoga wa kudai huduma wanazostahili, akisisitiza kuwa serikali ina wajibu wa kuwafikishia maendeleo kwa mujibu wa sheria na si kama fadhila. Sigrada...
  11. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Serikali ya zionya NGOs na AZAKI kuepuka kutumika kuelekea uchaguzi mkuu 2025

    Serikali imeonya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) na Asasi Za Kiraia (AZAKI) kutokubali kutumika kama njia ya kutakatisha fedha kwa maslahi ya watu binafsi au vikundi mbalimbali, ikiwemo vya kisiasa, hasa katika kipindi hiki ambacho taifa linajiandaa kwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na...
  12. J

    GE2025 RC Mara Kanali Evans Mtambi: Miaka minne ya Rais Samia Mkoa wa Mara umekusanya shilingi trilioni 7 kwenye madini

    Mradi Taarifa Aina za madini Dhahabu, fedha, shaba, chuma, madini ya ujenzi, madini ya viwandani, madini ya vito Idadi ya leseni hadi Juni 2025 2,288 (uchimbaji, utafiti, uchenjuaji, biashara) Uzalishaji wa dhahabu Tani 58.90 Thamani ya dhahabu TSh trilioni 6.90 Mapato ya Serikali TSh...
  13. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 CHAUMMA ya aahidi elimu bure chekechea hadi vyuo

    Chama cha ukombozi wa Umma (CHAUMMA) wameahidi kutoa elimu bure kwa watoto wa kitanzania kuanzia Chekechekea hadi elimu ya juu bure iwapo watanzania watakipa nafasi kushika dola. Akizungumza na vijana kwenye kongamano la vijana wa CHAUMMA kuelekea siku ya vijana Augosti 12 mwaka huu naibu...
  14. DuaZaMama

    GE2025 Kadege: Nikipata Urais waandishi mtegemee uhuru wa habari, tutawapa vitendea kazi

    Mgombea wa Urais kupitia Chama cha United People Democratic Party (UPDP), Twalib Kadege, amewasili katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi majira ya saa 7:53 mchana, akiwa ameambatana na mgombea mwenza wake kwa ajili ya kuchukua fomu za kuwania nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa...
  15. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mgombea wa urais wa chama Makini aahidi ekari 5 kwa kila kijana endapo atashida

    Mgombea Urais wa Chama cha Makini, Coaster Kibonde, amechukua fomu ya kugombea nafasi hiyo katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), akiahidi kwamba iwapo ataibuka mshindi, kila kijana wa Kitanzania mwenye umri kuanzia miaka 21 atapewa ekari tano za ardhi kwa ajili ya shughuli za...
  16. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Agness Kaiza: CHAUMMA kina dira, sera, na mikakati yake ya kipekee inayolenga kuleta mabadiliko halisi kwa Watanzania

    Mgombea Ubunge kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) jimbo la Tabata Segerea, Agness Kaiza, amekanusha madai kwamba chama chake si mbadala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kaiza amesema mtazamo huo si sahihi kwani CHAUMMA kina dira, sera, na mikakati yake ya kipekee inayolenga kuleta...
  17. S

    GE2025 Watafanya yote, ila siku ya uchaguzi ndio ukweli wa mambo utakuwa wazi kwenye vituo vya kupigia kura

    Kinachoendelea sasa ni matumizi ya vyombo vya dola na rasilimali fedha kuhakikisha taratibu zote za uchaguzi zinakamilika ikiwemo wagombea kuchukua form, kuhakikisha maandalizo yote ya uchaguzi yanakamilika mpaka kufikia hiyo Oktoba 29, 2025. Hata hivyo, ukweli ni kwamba, vyombo vya dola na...
  18. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Tanzania yazuia waangalizi wa Uchaguzi wa EAC na SADC, bali imezipa vibali balozi 12 za nchi za Magharibi Uchaguzi wa Oktoba 29

    Tanzania imewazuia waangalizi wa uchaguzi kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki (#EAC) na Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (#SADC), ambazo zote ni jumuiya ambazo nchi hiyo ni mwanachama, kushiriki katika uchaguzi wa Oktoba 29. Badala yake, imezipa vibali balozi 12 za nchi za...
  19. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Wanawake wa CHAUMMA wakutana Tabata, wakiwa na matumaini

    Wanawake wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) leo Jumamosi Agosti 9, 2025 wamekutana katika kongamano maalumu lililofanyika kwenye viwanja vya Tabata Shule, jimbo la Segerea mkoani Dar es Salaam. Tukio hilo limeandaliwa na aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia CHADEMA, Agnesta Kaiza...
  20. ChoiceVariable

    GE2025 Kwa hili Nyomi la CHAUMMA ,Bonnah Kalua Atang'olewa Segera na Devotha Minja

    My Take Miaka 15 Inamtosha ================ Devotha Minja ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CHAUMMA na Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama hicho amewasili hapa Tabata Shule Jijini Dar es Salaam kuongea na Wanachama Wanawake katika kikao cha ndani lakini kutokana na kuwa wengi wamefanyia Mkutano...
Back
Top Bottom