Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepongeza uandaaji wa hafla nzima ya uzinduzi wa harambee ya kuchangia kampeni ya CCM.
Pia, ametoa pongezi kwa wasanii, watu mashughuli na watu wote kwa ujumla kwa makundi tofauti tofauti walioshiriki...
Wachimbaji wadogo wa madini wamechangia Bilioni 16.2 kwenye harambee ya kuchangia kampeni za CCM 2025, zilifanyika Mlimani city (CCM gala dinner 2025)
Soma Pia: Harambee ya kuchangia kampeni za CCM 2025, Mlimani city (CCM gala dinner 2025) Hadi sasa wamekusanya Bilioni 56.31 cash
Je ni...
Mfanyabiashara maarufu nchini Mzee Azim Dewji katika harambe ya kuchangia kampeni za CCM ambayo inakwenda kwajina la CCM gala diner amesema Rais Samia asisumbuliwe na kinambimbio ambapo hawana jambo bali wivu tu.
Rais Samia usisumbuliwe na wakina mbiombio hawana jambo bali ni witu tu...
Hizi ni baadhi ya Sababu za nyuma ya pazia kuchangia CCM.
1. Kuwa "Untouchable": Unajenga taswira ya kuwa mtu muhimu kwa chama na serikali.
2. Kupata Taarifa za Uchunguzi: Kupitia uhusiano wako na viongozi, unaweza kupata taarifa za mapema kama kuna uchunguzi wowote unaokulenga
3. Unaweza...
Vigogo sita wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamechangia jumla ya Sh.milioni 150 katika harambee ya chama hicho, inayolenga kupata kiasi cha Sh. bilioni 10 za kuwezesha kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu.
Wametoa michango yao leo Agosti 12, 2025, katika harambee inayoendelea ukumbi wa Mlimani City...
Naam wakuu,
CCM inaendelea kukusanya michango. Ghalib Said Mohamed wa GSM (zamani Home Shopping Center) na wenzake waichangia CCM Sh. Bilioni 10 za Uchaguzi.
Michango inaendelea
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amechangia Milioni 50 Harambee ya kuchangia kampeni za CCM 2025 Harambee hii inalenga kukusanya shilingi bilioni 100 kwa ajili ya maandalizi ya kampeni, ikiwemo gharama za magari, mabango, mafuta, fulana na kanga.
Watanzania tunapaswa kutumia kampeni hizi kuuliza maswali ya msingi kwa viongozi wanaotaka kutuongoza kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Tunahitaji majibu ya kweli, siyo ahadi za maneno matupu.
Zifuatazo ni baadhi ya kero ambazo zimekuwepo kwa muda mrefu, lakini viongozi waliopo madarakani...
Wanachama wa CCM Kata ya Namwanga, mkoani Mtwara wamekutana na kuazimia kumkataa diwani aliyeteuliwa katika uchaguzi wa kura za maoni. Hatua hiyo imefikiwa baada ya vikao vyao vilivyofanyika katika kijiji cha Nakalola, wilayani Masasi ambapo wameeleza hoja zao za kumkataa mteuliwa huyo.
Wajasiriamali wadogo wakiwemo mamalishe, babalishe na vijana wa bodaboda mkoani Arusha leo Jumanne Agosti 12, 2025 wamejitokeza kwa wingi kumuunga mkono na kumdhamini mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan.
Wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Kenani Kihongosi...
Buchosa imeitika! Sikiliza wananchi mbalimbali wanavyotoa maoni yao kuhusu kazi zilizofanywa na mbunge aliyemaliza muda wake na mshindi wa kura za maoni za kuwania ubunge wa jimbo hilo kwa mara ya pili, Eric Shigongo.
Serikali imetoa wito kwa vijana nchini kuhakikisha wanalinda amani ya Taifa katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, ikisisitiza kuwa amani ni msingi wa maendeleo endelevu.
Akizungumza Jumanne, Agosti 12, 2025, katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Vijana jijini Dodoma...
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Kijamii (CCK), David Daud Mwajojele, amewasili katika Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Njedengwa, Jijini Dodoma, akiwa ameambatana na mgombea wake mwenza, kwa ajili ya kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi ya Rais na...
Mgombea Urais kupitia Chama cha National League for Democracy, Doyo Hassan Doyo Akizungumzia Moja ya Sababu Iliyomfanya Agombee Kiti Cha Urais na matarajio yake ni kuiondoa CCM madarakani
Soma Pia: Mgombea wa nafasi ya urais kupitia chama cha (NLD) Doyo amefika kuchukua fomu akiwa na Bajaj
HUKU vikao vya Chama ngazi ya Mkoa vikiendelea kwa ajili ya kufanya maamuzi ya mwisho kwa Wagombea Udiwani na Ubunge, siasa za Kisiwa cha Mafia zinatajwa kuwa moto.
Pamoja na ushindi wa Omar Kipanga katika kura za maoni bado kunaonekana kunafukuta chini kwa chini huku maamuzi ya mkoa yakiwa...
Akizungumza leo Agosti 11, 2025, katika ufunguzi wa mkutano mkuu wa mwaka wa maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi uliofanyika katika shule ya Polisi Moshi, Inspekta Jenerali wa Polisi, Camillus Wambura ameeleza kuwa hali ya usalama ni shwari na Jeshi hilo linajiandaa na uchaguzi kwa kuweka...
Mgombea Udiwani Kata ya Masakta, Wilayani Hanang, Mkoani Manyara, Mathias Daqaro, ametoa malalamiko kuhusu kubadilishwa kwa jina lake kwenye fomu za kupigia kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM), jambo ambalo alidai limechangia kushindwa kwake katika mchakato huo.
Mathias amesema baada ya...
Siasa ni kama mchezo wa karata. Mjanja anayeweza kuzicheza karata zake vizuri kwa kawaida huibuka mshindi.
Zitto Kabwe ni hodari wa kuucheza huo mchezo. Anajua kuwa kumeguka kwa vyama vikuu vya siasa kuelekea uchaguzi mkuu vinatoa fursa za kuimarisha chama chake.
Mwaka 2015 chama cha CUF...
Akizungumza Jijini Mwanza kwenye Mahafali ya Chuo cha Muziki cha Amvot siku ya Jumatatu, Mkuu wa Bodi ya Chuo hicho, Profesa Paul Nyabagaka amesema kuwa uchaguzi hauwezi kufanyika kwa ufanisi endapo nchi haina amani na utulivu hivyo vijana wanapaswa kuepuka kushawishiwa kushiriki vurugu...
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kongwa kimetangaza kuanza tena mchakato wa kuchukua na kurejesha fomu za kuwania nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Kongwa, kufuatia kifo cha aliyekuwa Spika wa Bunge na Mbunge wa jimbo hilo, Job Ndugai kilichotokea Agosti 6, 2025.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.