kuelekea uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    GE2025 Familia 5 za vigogo CCM zilizopenya mbio za Ubunge

    Chama cha Mapinduzi (CCM), miongoni mwa vyama vikongwe zaidi barani Afrika, kinaendelea na maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Tayari kimethibitisha kuwa Rais Samia Suluhu Hassan atapeperusha bendera kuwania nafasi ya urais, huku kikitangaza orodha ya wagombea wa Ubunge, Udiwani na...
  2. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Chaumma kimetangaza rasmi hakitasimamisha mgombea wa urais kwa upande wa Zanzibar

    Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimetangaza rasmi hakitasimamisha mgombea wa urais kwa upande wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu ujao. Badala yake, kimeelekeza nguvu zake katika kinyang'anyiro cha urais wa Tanzania na nafasi za ubunge nchini kote. Uamuzi huo umetangazwa leo Jumapili, Agosti...
  3. O

    GE2025 Ni wangapi umu Jukwaani Mmeshagundua mchezo wanaoucheza CCM? Wa kuengua Walioshinda kura za maoni na kuweka walioshindwa!

    Kiukweli nasikitika sana kuona kadri miaka inavyoenda Jukwaa hili linazidi kuwapoteza watu ambao ni Great Thinkers na badala yake Jukwaa kwa sasa lmejaa watoto ambao ata kung'amua michezo kama hii wa nashindwa! Iko hivi,. CCM wa nachokifanya ni kuwaengua wale watu ambao walipata kura nyingi...
  4. James Hadley Chase

    GE2025 Baada ya Ummy Mwalimu kukatwa "Tutapigia Upinzani Kura si CCM"

    Wilayani Tanga, hali ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imefikia kiwango cha juu cha mvutano baada ya wanachama wa chama hicho kuandamana kwa umakini na kutangaza kurejesha kadi zao za uanachama. Chanzo cha malalamiko ni uamuzi wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kumtangaza Kassim Amari Mbaraka kuwa...
  5. M

    GE2025 Kama Uchaguzi ukiwa fair fair Zitto Kabwe hatoboi dhidi ya Baba Levo Kigoma.Labda Serikali imbebe kwa kuzuga No reform kwamba upinzani nao wameshinda

    Jimbo la kigoma ni gumu sana kwa zitto kabwe kushinda kwa kura za fair fair Mgombea wa CCM Baba Levo ana nguvu sana kigoma
  6. Mikopo Consultant

    GE2025 Ingawa ni uchafuzi; kwa moto wa Chawa Pro Max (Baba Levo); Kijicho Upembe asipokimbia mpambano nipigwe ban ya milele JF!

    Historia imeandikwa, Revocatus Chiponda (Baba Levo aka Chawa Pro Max), amezipiga bao husda na hila za Maalhaji wa Ujiji! Kwanini namkubali Baba Levo? au ni kwanini anakubalika na wanakigoma? (Ukimuangalia kwa miwani ya uchawa huwezi kuona hizi sifa) 1. Pragmatic (ni mwalisia wa mandeleo)...
  7. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Ester Bulaya ateuliwa kugombea ubunge wa Jimbo la Bunda Mjini

    Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa kimemteua Ester Bulaya kuwa mgombea atakayepeperusha bendera ya chama hicho katika Jimbo la Bunda Mjini mkoani Mara. Soma Pia: Ester Bulaya aliyekuwa CHADEMA atimkia CCM, achukua fomu ya Ubunge Bunda Mjini Hayo yamesemwa na Katibu wa...
  8. A

    GE2025 Ahmed Shabiby aaminiwa tena na CCM kupeperusha bendera jimbo la Gairo

    Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Gairo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Ahmed Shabiby ameaminiwa tena na chama chake kupeperusha bendera kwenye mbio za ubunge wa jimbo hilo kwa mwaka 2025-2030. Akitangaza majina ya waliyoteuliwa kugombea ubunge katika Mkoa wa Morogoro kupitia CCM, aliyekuwa...
  9. Mlalamikaji daily

    CCM sio wajinga angalia mpango wao hapa

    Kutokana na hali ilivyo CCM hawawezi kukubali nchi nzima washinde wao tu.. Kumbuka kuna makubaliano na ACT na Chaumma kuachiwa baadhi ya majimbo ili kuaminisha taasisi na jumuiya za kimataifa kwamba kuna uhuru na demokrasia.. Sasa watafanyaje? Mtu kama Zito anaweza kuwa potential hivyo ili...
  10. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Ummy Mwalimu adondokea pua jimbo la Tanga Mjini, nafasi yake yachukuliwa Kassim Baraka

    Aliyekuwa Mbunge wa Tanga Mjini Ummy Mwalimu Ummy ametupwa nje na chama chake cha CCM kugombea kwa awamu nyingine jimbo la Tanga Mjini na nafasi yake imechukulia na Kassim Baraka
  11. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Kimei atupwa nje jimbo la Vunjo, Enock Kaola achukua nafasi

    Kada wa CCM , Msomi wa masuala ya Uchumi na Usimamizi wa Miradi, Mfanyabiashara na mdau wa maendeleo ya jamii, Comrade Enock Koola ameteuliwa na chama chake cha CCM kugombea jimbo la Vunjo uchaguzi mkuu 2025
  12. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Clayton Chipando (Baba Levo) ateuliwa kugombea ubunge jimbo la Kigoma Mjini kupitia CCM

    Msaanii wa muziki nchini Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo ameteuliwa kugombea ubunge jimbo la Kigoma Mjini kupitia CCM kuelekea uchaguzi mkuu 2025
  13. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Paul Makonda ateuliwa kugombea ubunge jimbo la Arusha Mjini

    Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda ameteuliwa na Chama chake CCM kuwa mgombea wa Ubunge jimbo la Arusha Mjini kupeperusha bendera ya chama hichi kuelekea uchaguzi mkuu 2025 Soma Pia: Paul Makonda achukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Arusha Mjini
  14. J

    CHADEMA wangekuwa wanashiriki I Uchaguzi CCM pangelikuwa na utulivu?

    Nawaza tu maana Chaumma wameshasahaulika kama Sno Chama au Kampuni Baadae Mlale unono 🙏✔️
  15. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Polepole: ACT Wazalendo na CHAUMMA ni mradi wa kundi mtandao ambao wamewezesha

    ACT Wazalendo na CHAUMMA ni mradi wa kundi mtandao ambao wamewezesha na wakamka, ndivyo hivyo Chaumma ni project ilikuwa inahusu ubwabwa leo hii inamgombea Amesema Polepele
  16. ndege JOHN

    Kama huwezi kushindana nao ni heri kuungana nao

    1.Kama NI mtumishi wa umma na ushaambiwa CCM wamejiconnect mpaka na NIDA si Bora ukatafute card ya chama na wewe hata kama huwapendi basi wapende hata kinafki unaweza ukala uteuzi ukijihusisha kwenye jumuiya zao. 2.Pesa ndo inayo run dunia hara ingekuwa wewe kwenye michongo ya hela ingetokea...
  17. R

    GE2025 Ni kweli Lissu anatumiwa na CCM kuiondoa CHADEMA kwenye uchaguzi kijanja?

    Wengi wanadhani kwamba Lissu ndo mkombozi wao kisiasa huku “no reform no election” ikionekana kama ndo mapinduzi rasmi katika uchaguzi na kupelekea mapinduzi makubwa ya uraisi endapo movement ikifanikiwa. Ila msichokijua ni kwamba “no reform na no election”imeletwa kama distraction ya uchaguzi...
  18. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Polepole: Mwaka huu hakuna uchaguzi, ni CCM VS CCM, CCM na ACT-Wazalendo ni kitu kimoja!

    Humphrey Polepole, amesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu hauna ushindani wa kweli, kwa kile alichodai kuwa kinachoonekana ni “CCM dhidi ya CCM.” Polepole ameeleza kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) na chama cha upinzani ACT-Wazalendo haviwezi kuonekana kama wapinzani wa dhati, akisisitiza kuwa vyama...
  19. Mikopo Consultant

    Nini kitatokea ikiwa wananchi watakuwa na msonono na kutoufurahia uchaguzi wa 2025?

    Tukiwa tunazielekea siku sitini (60) kabla ya tarehe 27 Octoba - inayotajwa kuwa ya uchaguzi; bado huku mitaani na vijijini watu hawaujadili uchaguzi; ikimaanisha kwa jicho la uchambuzi kwamba: kuna hali ya kuendelea kwa msonono miongoni mwa wananchi tunapoikaribia hiyo tarehe, tofauti kabisa na...
  20. R

    GE2025 Usaliti mbaya: Kama si vyama shikizi kuchukua fomu za Urais , CCM isingeliendesha uchaguzi peke yake

    Usaliti ni kitu kibaya sana. CCM isingeliweza kuenda kwenye uchguzi peke yake kama vyama vya usaliti visingelikuwepo. CCM haiwezi kusimama peke yake kwenye uchaguzi, hivyo hao wanaojiita wenyeviti wa vyama vya mfukoni, kuna siku will face the wrath of betrayal of democracy from the oppressed...
Back
Top Bottom