kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    PreGE2025 Amos Makalla: 'No Reforms No Election' yapigwa na CHADEMA, vyama vingine na Watanzania nao hawaitaki

    Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, CPA Amos Makalla amesema madai ya kwamba kauli ya "No Reforms, No Election" imepingwa na watawala si ya kweli, kwa kuwa kauli hiyo ilianza kupingwa ndani ya CHADEMA yenyewe kupitia kundi la G-55, kabla haijakataliwa na vyama vingine 17 vya...
  2. Cute Wife

    PreGE2025 Lissu achaguliwa kuwa sehemu ya jopo la Makamu Wenyeviti IDU akiwa gerezani

    Wakuu, Mama anapata usingizi vizuri kweli? Unatoka kutoa boko unapa taarifa ya kukuchapa kibao🥲😂😂 Yaani ni bandika bandua, kila ukijaribu kumkandamiza ndio kama unamuweka kwenye spotlight ili aonekane vizuri😂. ==== TAARIFA KWA UMMA KUCHAGULIWA KWA MHE. TUNDU LISSU KUWA MAKAMU MWENYEKITI WA...
  3. Cute Wife

    PreGE2025 Ubalozi wa Marekani wasikitishwa tukio la kuwateka na kuwatesa Agather na Mwangi, watoa wito wa uwajibikaji kwa wote waliohusika

    Muda si mrefu na ban za safari zitakuja, mama yupo zake kimya, kama vile haya mambo hayamhusu, ndio kwanza anafurahia kutegenezewa program za uchawa! Mambo yanaenda kuwa magumu kwetu Trump effect huenda ikaongezeka na kwa wengine na ikawa kali zaidi. ==== Marekani imesikitishwa sana na...
  4. Cute Wife

    PreGE2025 Wana masumbwi waja na Knockout ya Mama, uchawa unaua michezo kidogo kidogo kadri siku zinavyoenda

    Wakuu, Haya sasa mmeletewa knockout ya mama huko, mkapigane kwaajili ya mama, aloo🤣🤣. Naona huu uchawa ndio umekuwa sehemu za kumuondolea stress kwenye sekeseke ukatili wa polisi na haki za binadamu pamoja na kesi zinazofunguliwa huko dhidi ya Tz, asije akafa kwa presha🥲🥲.
  5. Waufukweni

    PreGE2025 Uchawa umekuwa mtamu mpaka A.Y anasema wanaomkasirikia kwa sababu ya Samia Kings hawana utimamu wa akili

    Wakuu! Msanii Ambwene Yesaya maarufu A.Y amesema wanaomkasirikia kisa kuwa Samia Kings hawana utimamu wa akili, akijibu madai ya baadhi ya mashabiki wanaomtuhumu kwa Uchawa.
  6. Cute Wife

    PreGE2025 Waandishi wa Habari Kikeke, Baruani Muhuza na Shaffih watajwa kuwania ubunge 2025, ndio maana uchawa umepamba moto kwenye vyombo hivyo?

    Wakuu, Ndio maana uchawa umeongezeka kwenye vyombo vya habari sababu wameahidiwa viti vitaoatikana kwa udi na uvumba? Maana Baba Levo kwenda kuwania ubunge kwenye jimbo analohombea Zitto its insane! Kwa kujipima hawezi kwenda kule kama hajaambiwa ama apeleke shida tu kuna kitu wanatengeneza...
  7. Waufukweni

    PreGE2025 Mtangazaji Mkongwe Baruan Muhuza atangaza nia ya kuwania Ubunge Kigoma Mjini, awaomba wananchi wajiandae kumpokea

    Mjumbe wa mkutano mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Gwiji wa Utangazaji na Mawasiliano kwa Umma, Baruan Muhuza amefunguka juu ya taarifa zinazoendelea mitandaoni kuhusu yeye kuwania nafasi ya ubunge wa jimbo la Kigoma Mjini. Ikumbukwe kuwa pia hivi karibuni msanii na Mtangazaji wa...
  8. Waufukweni

    PreGE2025 Mchimbaji wa Madini atoa TSh. Milioni 4.5 kulipia bima ya gari la CCM Nachingwea

    Mfanyabiashara na Mchimbaji mdogo wa Madini na Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kuruthum Issa Runje, amechangia kiasi cha Shilingi milioni 4,555,183 kwa ajili ya kukata Bima ya gari chama hicho Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi...
  9. Cute Wife

    PreGE2025 Agather Atuhaire asimulia alivyoteswa na kufanyiwa ukatili na polisi wa Tanzania, hili ni doa kubwa kwetu

    Wakuu, Aisee ni inasikitisha na kutia hasira kwa vitendo hivi vinavyosimuliwa, kwa mara ya kwanza tumesikia mambo machafu yanayoelezea ukatili wa kutisha zaidi ya kipigo kilichozoeleka. Inaonekana wote waliowahi kukamatwa na polisi nchini wamefanyiwa ukatili mkubwa wa kijinsia na hata kingono...
  10. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Salma Kasanzu: Waliohama CHADEMA kwenda CHAUMMA wako kwa ajili ya kupambania matumbo yao, tuwazomee popote

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Taifa kutoka Mkoa wa Mwanza Salma Kasanzu awataka wananchi mkoani Mwanza kuwazomea viongozi wakuu wa CHAUMMA ambao wametoka CHADEMA akidai kuwa viongozi hao wapo kwa ajili ya kupambania matumbo yao na sio wananchi. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa...
  11. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Kilimanjaro: Wanachama 168 wa Chadema na CUF wamejiunga na ACT Wazalendo

    Wanachama 168 wa Chadema wakiongozwa na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Ndugu Godson John Mmbaga na Chama cha CUF wakiongozwa na aliyekuwa Katibu wa Wilaya wa Chama hicho Ndugu Ally Ramadhan Mngashwa wamejiunga na ACT Wazalendo na kupokelewa na Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado...
  12. Erythrocyte

    PreGE2025 Washington: Watanzania Waandamana kushinikiza Tundu Lissu na Mateka Wengine Waachiwe huru

    Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa Duniani, Usipitwe. Watanzania waishio nje ya nchi wanaandamana muda huu Washington DC kushinikiza serikali ya Tazanzia kuwaachilia huru mateka wote na Mh. Tundu Lissu Toa maoni yako
  13. USSR

    PreGE2025 Mbunge wa biharamulo amehakikishiwa kujengwa miradi wa maegesho ya magari eneo LUSAHUNGA kuinua mapato ya wilaya

    MBUNGE WA BIHARAMULO ATAKA UHARAKA WA UJENZI WA MAEGESHO YA MAGARI KATIKA CENTRE ZA BIHARAMULO, LUSAHUNGA, NYAKAHURA NA BIHARAMULO MJINI (NYAMAHANGA) ILI KUKUZA PATO LA JIMBO. Leo 6.5.2025 bungeni Dodoma mbunge wa biharamulo Eng Ezra John Chiwelesa ameitaka serikali kutoa majibu ya kwanini kuna...
  14. Waufukweni

    Nashauri tuungane kukataa kusapoti kazi, biashara za Wasanii Machawa wa Kisiasa

    Wakuu! Kwa muda sasa nimefuatilia mwenendo wa wasanii wetu hasa kipindi hiki ambacho joto la uchaguzi Mkuu limepamba moto. Sina shida na msanii yeyote kuonesha mlengo wake wa kisiasa huo ni uhuru wa mtu binafsi. Ila kinachokera na kuumiza ni pale msanii anapogeuka kuwa CHAWA wa Kisiasa...
  15. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mbunge wa zamani achukua fomu kuwania urais wa Tanzania kupitia Chama cha ADC

    Leo Mei 23, 2025 aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mwibara, Muttamwega Bhatt Mgaywa, amechukua fomu ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADC makao makuu ya chama hicho Buguruni, Dar es Salaam. Mgaywa amesema amechukua uamuzi huo kufuatia maombi mengi ya baadhi...
  16. Mikopo Consultant

    PreGE2025 Tanzania itakuwa imeingia kwenye mzozo mbaya wa kidiplomasia na nchi za Afrika Mashariki

    Mimi ni mmoja ambao sijafurahishwa na namna raia wa Kenya na Uganda walivyobagazwa na kutwezwa utu wao na mamlaka za Tanzania. Kitendo cha viongozi wakubwa wa Kenya na Uganda kuwa kimya muda huu, ni mlio wa sauti kubwa sana kwenye mustakabali mzima wa mahusiano ya kidiplomasia. Tanzania...
  17. R

    PreGE2025 Uasi ni nini? Rebellion ni nini? Uhaini ni nini?

    uasi = rebellion A rebellion is a violent organized action by a large group of people who are trying to change their country's political system. Rebellion: When a group of people openly and forcefully go against the government or leader in charge. It can also mean when someone goes against a...
  18. M

    PreGE2025 Vita ya CHADEMA hamishieni pia kwenye Tehama na propoganda ndani na nje ya nchi. Msililie. Hii ni vita ya kiubunifu

    Nimemsikia Heche analalamika kuhusu jitihada za kuiua CHADEMA kuweni proactive badala ya kuwa reactive lakini pia wekeni mpango mkakati wa kuivusha CHADEMA kwenye mawimbi na kubaki na nguvu yake. Fanyeni SWOT anlaysis. TEHAMA na TEAM WORK ni silaha KUBWA sana
  19. Dennis Robert Shughuru

    PreGE2025 Nikiwa Rais ntapiga marufuku matumizi ya simu ndogo a.k.a viswaswadu

    Katika kuifanya Tanzania kuwa nchi ya kidigitali ntapiga marufuku matumizi ya simu ndogo a.k.a viswaswadu ili kuhimiza matumizi ya digital Mpango huu uatenda sambamba kuhakikisha bei ya smartphone inakuwa chini sana hata kwa elfu 30 unapata smartphone mpya kwenye box
  20. Mshana Jr

    PreGE2025 Je, Mbowe anatumika ama anatumiwa?

    Mbowe si muongeaji sana ni mkimya na mtulivu sana! Huwa hapendi kuongea mwanzoni, hupenda kuongea mwishoni na kufunga mjadala. Ni jambo zuri lakini kuna baadhi ya mazingira hupaswi kukaa kimya muda mrefu sana. Mwenyekiti huyu mstaafu wa CHADEMA kahusishwa mara nyingi sana na CHAUMMA, chama...
Back
Top Bottom